Dah mimi nimempa mazima, yaani wakati nabet nilikuwa na wasiwasi nae sana ila nikampa.
Ndo uamini kwamba kanji ana majini yake
Yaani timu una wasiwasi nayo kabisa ila unajikuta ubaiweka tu halafu baadae unaanza jitukana🤣🤣🤣
 
Frolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20230824-220554.png
    Screenshot_20230824-220554.png
    16.3 KB · Views: 3
  • Screenshot_20230824-221058.png
    Screenshot_20230824-221058.png
    16 KB · Views: 5
Hawa akina mahrez na firminho wanatekenywa sio bure
 

Attachments

  • Screenshot_20230824_224232.jpg
    Screenshot_20230824_224232.jpg
    108.9 KB · Views: 3

Similar Discussions

Back
Top Bottom