Mbochong'a
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 763
- 1,295
Hahahah watu wabaya. Wameamua waishi nae anavyotaka.naona wanamsnitch kwa kumuunga mkono
Hahahah watu wabaya. Wameamua waishi nae anavyotaka.naona wanamsnitch kwa kumuunga mkono
Haya tuma salamu kwa watu watatucashout inasoma 64 na point bado game mbili kesho na j mos maomb yenu tafathari
AkikuoneshaTuone mkuu
Dah mimi nimempa mazima, yaani wakati nabet nilikuwa na wasiwasi nae sana ila nikampa.Foreintina anasepa na hela huyu.toa hata draw basi tupate maokoto ya Mr matee
Ndo uamini kwamba kanji ana majini yakeDah mimi nimempa mazima, yaani wakati nabet nilikuwa na wasiwasi nae sana ila nikampa.
Naona unacheka huko uliko.....umetokea kwenye tundu la sindanoSlavia prague vs luhansk
Wazee wa 1.5 sijui tutatoboa
Hadi sasa ni 0-0 hawasomeki
Mm naomba hata nisiposti. Acha niweke mtaji kesho tena, nalala kwa sasa😂😂😂😂... kaaahFrolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
Timu ya kifala sana hiyoFrolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
kwahiyo natania sioYaani mnamuamini?