stardust JK
JF-Expert Member
- Jan 7, 2018
- 2,976
- 4,208
Timu ya kifala sana hiyoFrolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
Timu ya kifala sana hiyoFrolentina.... asante kwa kunirudisha kijijini..... Itanichukua wiki kadhaa kama si miezi.... kuja kufika hapa tena..... 👇
kwahiyo natania sioYaani mnamuamini?
Achaneni na hii ligi. Pesa sio ushindi. Ule ushindi au uchezaji wa ligi za ulaya, unatengenezwa. Hawa jamaa bado wao wanatumia hela. Hata makocha si wao wanawaita hao wachezaji ni matajiri, na wamiliki wa hvo virabu. Achaneni nazo. Kuna mkeka nimeuchukua humu. Kuja kushtuka ziko timu za kiarabu zenye hayo mashetani kutoka ulaya. Na no cashout. Nimetamani kulia.Hawa akina mahrez na firminho wanatekenywa sio bure
Pole mkuu huu mchezo hauhitaji hasira, iyo ligi inatoa sana 1.5+Achaneni na hii ligi. Pesa sio ushindi. Ule ushindi au uchezaji wa ligi za ulaya, unatengenezwa. Hawa jamaa bado wao wanatumia hela. Hata makocha si wao wanawaita hao wachezaji ni matajiri, na wamiliki wa hvo virabu. Achaneni nazo. Kuna mkeka nimeuchukua humu. Kuja kushtuka ziko timu za kiarabu zenye hayo mashetani kutoka ulaya. Na no cashout. Nimetamani kulia.
Boom aliyeifuata huu mkeka hongera kwake maana game zote 10 za Europa league zimetoa 1.5 over.152BEBC Betpawa, 1.5 over full time Europa league game zote za leo.
Mkeka umetiki huuWeka hata laki upate faida 40k saafiView attachment 2727596
Niliufata huu mkuu. Kesho napiga supu ma pepsi baridiiiBoom aliyeifuata huu mkeka hongera kwake maana game zote 10 za Europa league zimetoa 1.5 over.
Kudadeki, timu 60 odds 7 😂 😂2FFF3AB
Betpawa wazee wa ma treni
Hahaha ukiweka mzigo unapata mabonasiKudadeki, timu 60 odds 7
2FFF3AB
Betpawa wazee wa ma treni
Mkeka wa odds 100, anaelekea kuuchana huyu mpuuzi peke yake. Nilimpa direct win.Az alkmar tupieni sasa msiwe mafala
Kudadeki, timu 60 odds 7
Pole mzee kazingua drawMkeka wa odds 100, anaelekea kuuchana huyu mpuuzi peke yake. Nilimpa direct win.
Na bado kuna pimbi wa odd 1.02 anachana🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kudadeki, timu 60 odds 7 😂 😂
Nadhani hasira unazo wewe. Soma vizuri uelewe comment yangu. Alfu come with proof na nilichokisema kuwa ni batili.Pole mkuu huu mchezo hauhitaji hasira, iyo ligi inatoa sana 1.5+
Hiyo market ya basketball 'will match be tied'.. kuna kibwengo atazingua2FFF3AB
Betpawa wazee wa ma treni