Hawa akina mahrez na firminho wanatekenywa sio bure
 

Attachments

  • Screenshot_20230824_224232.jpg
    Screenshot_20230824_224232.jpg
    108.9 KB · Views: 3
Hawa akina mahrez na firminho wanatekenywa sio bure
Achaneni na hii ligi. Pesa sio ushindi. Ule ushindi au uchezaji wa ligi za ulaya, unatengenezwa. Hawa jamaa bado wao wanatumia hela. Hata makocha si wao wanawaita hao wachezaji ni matajiri, na wamiliki wa hvo virabu. Achaneni nazo. Kuna mkeka nimeuchukua humu. Kuja kushtuka ziko timu za kiarabu zenye hayo mashetani kutoka ulaya. Na no cashout. Nimetamani kulia.
 
Achaneni na hii ligi. Pesa sio ushindi. Ule ushindi au uchezaji wa ligi za ulaya, unatengenezwa. Hawa jamaa bado wao wanatumia hela. Hata makocha si wao wanawaita hao wachezaji ni matajiri, na wamiliki wa hvo virabu. Achaneni nazo. Kuna mkeka nimeuchukua humu. Kuja kushtuka ziko timu za kiarabu zenye hayo mashetani kutoka ulaya. Na no cashout. Nimetamani kulia.
Pole mkuu huu mchezo hauhitaji hasira, iyo ligi inatoa sana 1.5+
 
Back
Top Bottom