JITU BANDIA
JF-Expert Member
- Feb 5, 2023
- 2,712
- 6,112
🏀E175176🏀 Odds 👊. number of events...4
Hizo odds ni za kweli kweli, kama jitu lenyewe ni la bandia🤣🤣.. Joking.🏀E175176🏀 Odds 👊. number of events...4
Hizo odds ni za kweli kweli, kama jitu lenyewe ni la bandia🤣🤣.. Joking.
Wakuu naona mapambano kama kawaida.. mie tangu nichezee vifuti mechi za mwisho za league, kanji haioni yena sarafu yangu. Saa hizi nimejenga shavu, nina uhusiano mzuri na mama mwenye nyumba na nakula milo yote mitatu..
Sio mbaya, sihitaji kwenda gym ili nipungue, mwezi wa nane waja, lazima nikonde tu najua
Kesho beti utakulaDahm Bet Bana.
Kuna mu humu akasema kua BETGEN wako vizurim eti wakiweka over 2.5 mie nishushe iwe Over 1.5.
Sasa leo BETGEN akapost Metta/Lu na AUDA jamaa wa Latvia watatoa over 2.5 nami nikaweka over 1.5. Mpaka mechi inaisha only 0-1 mama yake.
Kipi kinakupa uhakika?Kesho beti utakula
mkuu mkuuuAchana na hayo mambo...
Balance 21,246
Mkuu usiforce incosistence unaongeza odds hadi inakuwa kama tamaa kuna game nzuri tu punguza game za roll over na ukitaka ku roll vyema huwa ni moja au mbili.Balance 21,246
Stake#10,000
Odds 5.72 Status#LOST
Balance 11246
Asanteni
Sent from my Mi 9 SE using JamiiForums mobile app
Point kubwa niliyoipata hapa na ninaunga mkono ni kwamba kama unafanya roll over ya 10 days basi siyo lazima iwe kila siku. Ila unaweza kuzipata safe 10 days ndani ya mwezi mzima depends na game zinazokuwepo.Mkuu usiforce incosistence unaongeza odds hadi inakuwa kama tamaa kuna game nzuri tu punguza game za roll over na ukitaka ku roll vyema huwa ni moja au mbili.
Cheza game moja moja ata kwa mwezi mzima game
Ukiweza tengeneza odd zenye interval ya up and down sio kila siku utapata odd mbili tatu n.k
Anza 1.2 mpaka 2 ikiwa siku iko poa
Anza na laki moja au 50k
Roll over rule
-Epuka tamaa
-Sio kila siku unabeti hatakama ni roll over ya siku kumi unaweza icheza ndani ya mwezi mzima ndo unapata safe 10 days
-Kuwa mvumilivu usione inachelewa
Kinyume na hapo cheza tren
Odds kubwa ndio faida kubwa,and vice versa.Nyie watu hebu tushauriane hizi mbili mi nitupie mzigo hapa View attachment 2673786
Huwa anaposti free bet 3 kwa siku ya kwanza mimi sitilii maanani sana huwa inachana ya pili na tatu naziunganisha zote nikiwa nimezifanyia uchambuzi sofa score!Kipi kinakupa uhakika?