sunola
JF-Expert Member
- Jun 19, 2013
- 2,781
- 1,738
Dah pole mkuu
Dah pole mkuu
wadau! nataka timu tano zenye chance kubwa ya ushindi ntaka niweke mshiko wa maana.
Dahh tufanyejesasa Mpwaa manakinakanji wanakujakilasiku wenginemkekaa engine bewaylohMkuu ujue tunapoteza pesa we are more thn serious.sema ndo vile kanji katuzidi ujanja
HahahahHebu tutolee mikos hapa kiaz ww
hahaha MUNGU ANAMWONA SIOAtletico Madrid naye kachina kaishia 1.....usimlaumu PSG pekee yake sio vizuri kwa Mungu
Mane Leo ayupo anzanahiimi naomba tuwe tunafanya uchambuzi wa kina, kwa vile mechi za nyuma za timu zinazocheza. wachezaji wanaoiinua timu hizo na kama cku hyo wapo au wanaumwa, mi nadhani tutamla sana huyu muhindi.
mimi niliweka mzigo jana naona ndio zimeingia muda si mrefu,labda mjaribu mnaotaka kutoaMkuu acha tu.... Atakayefanikiwa kutoa atupe mrejesho tutoe tuhame maana....
wanaweka mzigo asubh ya kesho yaje baada ya kushindambet huwa wanachelewa sana bt cjaitumia muda sasa cjui kama wameboresha.
Tuliyemuogopa Brighton katoa hahahaahaaaaaa ni shidaKweli unayemuamini ndio anakulostisha ... of all teams sikutegemea Colchester anikoseshe hela jana ...
View attachment 460183
Tuliyemuogopa Brighton katoa hahahaahaaaaaa ni shida
Ndio natoka church mkuu.... Ngoja ntafuteAcha kbs mkuu ... leo huna hizi double chance tuifanye kazi?