Mtoto wa nzi
JF-Expert Member
- Jun 6, 2012
- 9,100
- 16,405
Mkuu acha tu.... Atakayefanikiwa kutoa atupe mrejesho tutoe tuhame maana....Atakayefanikia kuwidraw meridian atupe taarifa, nitoe hela zangu rasmi nihamie mkekabet tu maana nashinda afu bado hela yangu naisumbukia kuipata, natoa hela inarudi daaah toka jana, then leo nawapigia simu wananambia ni tatizo la kiufundi wanalishughulikia....***** zao mbona kuweka hela hakuna tatizo la kiufundi???