Jay Gatsby
JF-Expert Member
- Jul 28, 2017
- 696
- 928
Actually nimecheza under mikaka miwli hapa nasubiria tu, sema kuna mkeka mwingine nilicheza Hamburger anashinda!
ANASHINDA 2-0/2-1Actually nimecheza under mikaka miwli hapa nasubiria tu, sema kuna mkeka mwingine nilicheza Hamburger anashinda!
Umeona kama mimi nimeanza vzurActually nimecheza under mikaka miwli hapa nasubiria tu, sema kuna mkeka mwingine nilicheza Hamburger anashinda!
Win/Draw 60%Wolves vipi leo ndo anafungwa au mnaonaje wakuu?
Kuna mkeka kichaa nilimchezea double chance 1x sasa naona anataka kuharibu mitambo hapa!
Pambania maisha yako ndugu, jana nimepiga kilo nane na ushee nipo najipongeza kwa kujilipa mshahara Wa mwezi Kwa siku moja. Void atabaki kileleni daima. Mnaoteseka mtahama jukwaa. Yaani hapo nimepiga hela za akina soka255 mia nane. Halafu wapuuzi kama nyie sometimes inabidi nisiwajibu manaake nawazidi kila kitu. Kinachowasumbua ni inferiority complex.
Hahaha mshahara wa mwezi mkuu umepiga kwa siku afu watu wanaleta mbwembwe emu mtupie elfu 5 kichwani apate akiliPambania maisha yako ndugu, jana nimepiga kilo nane na ushee nipo najipongeza kwa kujilipa mshahara Wa mwezi Kwa siku moja. Void atabaki kileleni daima. Mnaoteseka mtahama jukwaa. Yaani hapo nimepiga hela za akina soka255 mia nane. Halafu wapuuzi kama nyie sometimes inabidi nisiwajibu manaake nawazidi kila kitu. Kinachowasumbua ni inferiority complex.
Pambaneni na hali zenu. AISEEEEEEEE.....!!!!