Maulaga59
JF-Expert Member
- Feb 1, 2021
- 2,989
- 2,954
Raha ya betting ni hii
ABB4257
Yaani hapo unaweka Tsh 50/=
Ukiwin unapata 600k
Ukiliwa unaliwa only tsh 50
Tuendelee kubeti wanangu. Hakuna tunachopoteza. Ni kama kunywa bia tu
Pia naomba makampuni yasiyo na urasimu, yaani yale ambayo ukishinda bet hela inaingia moja kwa moja kwenye simu badala ya kwenda kwa wakala. Naijua kampuni moja ambayo ni sport pesa!