Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,023
- 10,194
Nawasalimia Kwa jina LA jamhuri maafisa ubashiri
Nimzikuta 92 ods , ahsante huu utawinodd 100
5291A84
betpawa
Raha ya betting ni hii
ABB4257
Yaani hapo unaweka Tsh 50/=
Ukiwin unapata 600k
Ukiliwa unaliwa only tsh 50
Tuendelee kubeti wanangu. Hakuna tunachopoteza. Ni kama kunywa bia tu
Nawasalimia Kwa jina LA jamhuri maafisa ubashiri
Sijakuelewa mkuu. Hiyo ni code ya betpawa. Unataka kujiunga na betpawa au?Nisaidie namba ya kujiunga nao ili niingie keo leo.
Raha ya betting ni hii
ABB4257
Yaani hapo unaweka Tsh 50/=
Ukiwin unapata 600k
Ukiliwa unaliwa only tsh 50
Tuendelee kubeti wanangu. Hakuna tunachopoteza. Ni kama kunywa bia tu
😄😄😄5841777 TIMU 51 under 5 & 4 ods 13
Bora ligi zirudi aisee
Msaada, napata changamoto kwenye ku withdraw pesa from Helabet.. Sijajua ni mimi tuu au kila mtu..Umeniita.... Am here... tell me dude!
Natumia airtelUmeniita.... Am here... tell me dude!
Kampuni zinazokiki humu ni batpawa, sportybet na 1xbet. Hiyo ya mwisho wanasema ni nzuri changamoto yake ni kuweka na kutoa ni kupitia mawakala kama huna accounts hata moja zinazoruhusiwa na kampuni kwa ajili ya kutoa na kuweka hela.Pia naomba makampuni yasiyo na urasimu, yaani yale ambayo ukishinda bet hela inaingia moja kwa moja kwenye simu badala ya kwenda kwa wakala. Naijua kampuni moja ambayo ni sport pesa!
Nenda kwenye menu fuata icon ya setting utaona withdrawMsaada, napata changamoto kwenye ku withdraw pesa from Helabet.. Sijajua ni mimi tuu au kila mtu..
Ahsante mkuu, kulikuwa na shida kwenye system zao.. issue resolvedNenda kwenye menu fuata icon ya setting utaona withdraw
chagua mobile payment
- airtel money selcom
Ingiza kiasi
Andika Namba yako ya simu ianze na 255
Kumbe Helabet wameshaongeza option ya tigopesa na M Pesa. Nina account kule inabidi nikaifute mavumbiNenda kwenye menu fuata icon ya setting utaona withdraw
chagua mobile payment
- airtel money selcom
Ingiza kiasi
Andika Namba yako ya simu ianze na 255