Tambala mbovu
Member
- Sep 9, 2014
- 55
- 62
App Ina hitaji internet yenye kasi na nguvu...kwaiyo kasi ikipungua ins shindwa kufunguka
Mkuu napataje app ya sportybet? naomba link plz..nashindwa kuipakua kutoka kwenye web yao.Jaribu sportybet wako poa sana yaani hadi mechi unaangalia live huku una bet..options kama zote,pesa ukila unaipata wakati huohuo..Sport pesa ni matapeli wakiona kuna options za kupiga pesa kama over 1.5 hawaziweki wanakuwekea game itoe zaidi ya goli 3
Zima hiyo VPNCode hiyo apo wakuu unaweza kuzibetia Kama ilivyo na ukaigawa mara mbili Yani tim 16 za mwanzo na Tim 16 za mwisho
Betpawa 32FB494
App yangu ya jamiiforum sijui imekuaje apa nimetumia website
Alll in all wish marry Christmas and happy new year
Good luck to alll tutakutana mwakani
View attachment 2055267
Mkuu nimeangalia mikeka yako mingi mno, direct win ndio zinaongoza kuchana mikeka.
Mkuu napataje app ya sportybet? naomba link plz..nashindwa kuipakua kutoka kwenye web yao.
Licha ya uchache wa mechi leo, bado kuna raia wanakomaa na matreni tena wanasisitiza kabisa "za leoleo" .
Mkuu ligi yetu ni ya ajabu sana, SIMBA ungempa DCNa haka ka 20k atapita nako??View attachment 2055660
Shukran mkuu
Simba ashinde akidraw unaludishiwa hela yakoWadau ivi nikiweka SIMBA NO BET uwa ina maanisha nn?
Wakati mwingine tunashindwa kunufaika na betting kwaku- complicate mambo. Hiyo mechi ya Simba kwanini mnaiogopa hivyo?Mkuu ligi yetu ni ya ajabu sana, SIMBA ungempa DC
Watu wa treni hawawezi kosa mechi.Kumbe hata leo kuna game nyingi namna hii
Mie nimeona mechi 3 tu
Hahaha nimeona mechi tatu ambazo angalau ni uhakika kwa leoWatu wa treni hawawezi kosa mechi.
Nipe nikufaute aeee mbupu zipo fullHahaha nimeona mechi tatu ambazo angalau ni uhakika kwa leo