Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,684
- 71,528
Mimi sipendi options nyingi mkuuJaribu sportybet wako poa sana yaani hadi mechi unaangalia live huku una bet..options kama zote,pesa ukila unaipata wakati huohuo..Sport pesa ni matapeli wakiona kuna options za kupiga pesa kama over 1.5 hawaziweki wanakuwekea game itoe zaidi ya goli 3
Options zangu siku zote,miaka yote ni magoli over(1.5,2.5 fulltime na over 0.5,1.5 first half).....sitaki mambo mengi
Baada ya kuachana na Mbet miaka ile kwasababu ya kunicheleweshea ela yangu nikahamia betpawa....hapa betpawa kuna kila nachokitaka kwenye betting,sijawahi kutumia sport pesa wala mazagazaga mengine
Nitahama betpawa siku wakianza kunicheleweshea mzigo wangu tu