Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,677
- 71,488
Umeweka 12,000 ili upate 17,300 😁😁Hela yamaziwa hiyo kama nimnywaji naww ichukue..View attachment 1973005
What A Brain!!!
Umeweka 12,000 ili upate 17,300 😁😁Hela yamaziwa hiyo kama nimnywaji naww ichukue..View attachment 1973005
Leta team niweke mbupu 1Umeweka 12,000 ili upate 17,300
What A Brain!!!
Leo hakuna team za maana...zitunze hizo mbupu kwa ajili ya jumamosiLeta team niweke mbupu 1
Unajua viwandan wanalipa kiasi gani kwasiku nzima???Umeweka 12,000 ili upate 17,300
What A Brain!!!
Ww ndio kichwa boksi joanah mm namahesabu yamaranyingi kwasiku,wakati ww ukinipigia hesabu yamara1 kwasiku..Umeweka 12,000 ili upate 17,300
What A Brain!!!
Unajua viwandan wanalipa kiasi gani kwasiku nzima???
Nimekwambia kua nimecheza ticket za 12000 kalibia 7??? Unajua faida ya 5000x7 nikiasi gan kwasiku???
Ww ndio kichwa boksi joanah mm namahesabu yamaranyingi kwasiku,wakati ww ukinipigia hesabu yamara1 kwasiku..
Leo England ameondoka na kijiji, hakika betting haijawai kuwa rahisi.
Shukrani kwa walio share mikeka yao humu. Twende mdogo mdogo mpaka kieleweke.
Nikipata. Lazima nije nikupe mtaji kwa sababu kuna behewa moja linapuwa hadi sasa. Linaenda vizuri tu52ACA07 Betpawa...hili behewa nimezingatia usalama kadri nilivyoweza, Mimi mhindi ameshanikausha damu, ntatupia tu mabehewa ninayofikir ni salama, likitick hata moja naamini waungwana mtaniinua tena. Muingereza ndio alipigilia msumari wa mwisho Jana
Huu ni mtaji tosha kabisa. Ukisuka mkeka usitusahau.Wee acha tu kasepa na kijiji,ila namshukiru Mungu nilipata ya supu sh 37,000 kwa stake ya buku
behewa la tarehe gani tumalizie timu zilizobakiNikipata. Lazima nije nikupe mtaji kwa sababu kuna behewa moja linapuwa hadi sasa. Linaenda vizuri tu
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
DFBCDEAbehewa la tarehe gani tumalizie timu zilizobaki