Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,181
- 21,321
Bet pawa hawana game za bongo
App gani nzuri kubet
wadau habarini za asubuhi poleni kwa vichapo toka dortmund na besiktas wameshindwa kutoa gg wala 2+ ni mbaya snApp gani nzuri kubet
ila nimeona jana game ya juventus vs spezia kwenye kampuni ya play master ilikuwa na odds kubwa sn juve alipewa 1.47 na kampuni zingine odds zilikuwa ndo haizidi 1.25 ,kwa nn kampuni zingine odds zilikuwa ndogo hadi nimeshangaawadau habarini za asubuhi poleni kwa vichapo toka dortmund na besiktas wameshindwa kutoa gg wala 2+ ni mbaya sn
Duuuuuu.....Asante kwa somo zuri.Over 1.5 ili uwin lazima zipatikane goal 2 na zaidi yaani 2:0, 1:1, 0:2 nk. Zikipatikana goal chini ya mbili yaani 0:0, 1:0, 0:1 ni BIG LOST
Over 1.75 ili uwin lazima zipatikane goal 3 na zaidi mfano 3:0, 2:1, 4:2, 0:3 nk.
zikipatikana goal 2 inakuwa HALF WIN HALF REFUND yaani mfano;
uliweka TZS 10,000 kwa over 1.75 yenye odds 1.50;
Yakipatikana magoal ma3 itakuwa full win utapata 15,000
Yakipatikana magoli mawili, itachukuliwa stake yako ambayo ni TZS 10,000 itagawanywa kwa 2, tunapata TZS 5000 (5000 iliyobaki haifanyiwi kazi, inakuwa refunded) kisha tunazidisha kwa odds 1.50 tunapata 7500.
Kwa hiyo 7500 + 5000(refunded) unakuwa na 12,500 kwenye akaunti.
Kwa ufupi kabisa zikipatikana goal 2 kwa over 1.75 unapata nusu faida.
bora zinichanie timu 2 kuliko 1..mwenyewe jana FOREST GREEN nlimpa WIN OR DRAW kazngua yeye tu.daah hi mikeka jamani ivi
ugonjwa wa timu moja kuchana mkeka utaisha lini
hiyo system inakua applied for SINGLE BET au MULTIBET??kwa mfano nmeweka timu 10..9 nimezipa direct win na zimetoa...Moja nkampa over 1.75 ambayo ina odd ya 2.00 akashinda 2-0...na nliweka 20000..ikatoka 500000..vpi hpo inakuwaje?msaada plsOver 1.5 ili uwin lazima zipatikane goal 2 na zaidi yaani 2:0, 1:1, 0:2 nk. Zikipatikana goal chini ya mbili yaani 0:0, 1:0, 0:1 ni BIG LOST
Over 1.75 ili uwin lazima zipatikane goal 3 na zaidi mfano 3:0, 2:1, 4:2, 0:3 nk.
zikipatikana goal 2 inakuwa HALF WIN HALF REFUND yaani mfano;
uliweka TZS 10,000 kwa over 1.75 yenye odds 1.50;
Yakipatikana magoal ma3 itakuwa full win utapata 15,000
Yakipatikana magoli mawili, itachukuliwa stake yako ambayo ni TZS 10,000 itagawanywa kwa 2, tunapata TZS 5000 (5000 iliyobaki haifanyiwi kazi, inakuwa refunded) kisha tunazidisha kwa odds 1.50 tunapata 7500.
Kwa hiyo 7500 + 5000(refunded) unakuwa na 12,500 kwenye akaunti.
Kwa ufupi kabisa zikipatikana goal 2 kwa over 1.75 unapata nusu faida.
Leo vipi?Alienifata tena.Won ingawa odds zimeshuka game ya Lazio postponed.
Salama mkuu, hii website niliwahi kuwa nayo. Unaweza nipatia link
Dah mkuu nitakujibu vizuri badae, nimeandika majibu marefu wakati nasend yamefutika yote. Ila kwa ufupi kwa swali lako hapo, badala ya laki 5 utapata 375,000.hiyo system inakua applied for SINGLE BET au MULTIBET??kwa mfano nmeweka timu 10..9 nimezipa direct win na zimetoa...Moja nkampa over 1.75 ambayo ina odd ya 2.00 akashinda 2-0...na nliweka 20000..ikatoka 500000..vpi hpo inakuwaje?msaada pls
Badae kidogoLeo vipi?
Hongera sana mkuu unamyoosha sana kanjibah😁Live bet TAMU sana View attachment 1715947
Tunajalib tuu mzeeHongera sana mkuu unamyoosha sana kanjibah