Jumaa1079
Member
- Feb 23, 2021
- 8
- 7
Uteja wa kubet ni mbaya sana sijui kuna pastor au shekhe wa kukemea hili pepoBado ujajinoa kwenye izi mambo Mkuu asikudanganye mtu amnaga fixed match za kununua kwa mtu utapigwa pesa mpaka akili ikukae sawa kwasasa aisee bet imekua Ngum sanaaa mpaka unaweza kujiiliza unagundu au?? Amna njia inayofanya kazi kwa % zote lakini njia bora labda ya kuweka odds chache 2-3 na stake ya maana kama apo bado ni shida niko kwenye channel Telegram unaweza kuisearch pale kwenye seaech engine inaitwa "Alphabet 2+ sure odds" sijui ni wabongo au wakenya ila wanatoa odds mbili tu mambo ya Fixed match sahau iyo ndio njia yenye angalau View attachment 1715713
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app