Maujohnsimba
JF-Expert Member
- May 20, 2018
- 245
- 222
Tatizo watu wanakimbilia kutafuta odds wanazoona ni nyepesi bila kufanya upembuzi yakinifu... Pitia historia ya timu zote znazocheza tafuta habari kujua zipo msimamo gani.. Kisha rudi kwa bookmaker angalia unaweza kubetia option gani kutokana na upembuzi wako.. Ukifanya hivo utakula mara nyingi na utakosa marachache... Tumia muda kufanya upembuzi.. Option za kubetia zipo tuuu... Ni wewe kujikaanga tu na mafta yako.Unaweka tips zipi mkuu