Nimekupm mzee baba
Sidhan kama Mhakiki haja Tafuta Laini kwa mwingine maana ili takiwa mm nimtumie niko Dar nilikua na ngoja ziingie kwa broo mmoja ivi..kisha nimtumie Mhakiki ila nika poteza Simu Na namba za Mhakiki nika shindwa wasiliana nae tena nilikuja muomba umu ani cheki nadhan hakuona uzi wangu..ila ni vema kusema mapema shida ilo kukumba sote binadam unaweza pata tatzo ata ukatumia pesa yangu ila niambie its ok tutaangalia njia nyingine au kusubir kwa moyo mkunjufu....@Mhakiki naomba uni cheki bloo.
 
Wazee wenzangu, promo code ndo nini? Kujiunga na 1xbet kuna sehemu ya kuweka promo code niwekeje? Na je kufungua kwa namba ya simu au email ipi iko bomba?
Promo code wakati unajisajili ni utambulisho wa mtu aliyekualika kujiunga na xbet au kampuni nyingine zina utaratibu huu. Mfano promo code yangu nilicreate ni 1x_48679
 
Nawezaje kuhamisha hela kutoka safaricom kwenda line ya mpesa ya Tz??
Jinsi ya kutoa pesa kwenye M-Pesa ya Safaricom KE kwenda M-Pesa ya Vodacom TZ.

Kwanza nenda kwenye app ya sim card tool kit (STK) - Ni app ya ziada ukiweka line kwenye simu, hii inapatikana kwenye simu zote, smartphone na simu ndogo pia.

Anza hivi SIM toolkit>>Safaricom>>M-PESA>>Lipa na M-PESA>>Pay Bill>>Enter business no.{weka 255255}>>Account no.{no yako ya Vodacom anza na 255_}>>kiasi>>pini .
Ukimaliza M-Pesa itakuuza "kukata huu muamala bonyeza no yeyote" usibonyeze (u kibonyeza utasitisha malipo.
 
Hivi nyie mnaosema betting kuna hela mnafanyaje.? Maana toka nimeanza kucheza bet kwenye basket nimeshinda mara mbili tu juzi ndio ndio nimekula za uso siyo kitoto.

Mtuelekeze jamani.
Nicheki WhatsApp 0719957092 nitakuadd kwa group la live basketball. Uangalie tunavomliza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom