Mhakiki
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 2,306
- 1,993
Nimekupm mzee baba
Sidhan kama Mhakiki haja Tafuta Laini kwa mwingine maana ili takiwa mm nimtumie niko Dar nilikua na ngoja ziingie kwa broo mmoja ivi..kisha nimtumie Mhakiki ila nika poteza Simu Na namba za Mhakiki nika shindwa wasiliana nae tena nilikuja muomba umu ani cheki nadhan hakuona uzi wangu..ila ni vema kusema mapema shida ilo kukumba sote binadam unaweza pata tatzo ata ukatumia pesa yangu ila niambie its ok tutaangalia njia nyingine au kusubir kwa moyo mkunjufu....@Mhakiki naomba uni cheki bloo.