chawa wa mama
JF-Expert Member
- Jun 8, 2020
- 292
- 1,083
1. Wanalalamika kuwa rais Samia kachagua mzee kuwa kamishina, kisa ni mwalimu wake.
-Mwendazake alichagua professor aliyemsimamia PHD yake kuwa katibu mkuu wa wizara X nasi tulikaa kimya.
-Mbona ana nakinda naye ni kamishina wa sensa, tena bibi haswa, hamjamsema, kisa uzanzibari wake yule mdada(maana kwangu namwona mwali tu).
2.Kupanda kwa gharama za bidhaa
-Ni mjinga tu anaweza lalamika hili, wakati hata kwa beginners wa kutumia mtandao akigoogle hilo ataona ni duniani kote kwa sasa hadi ulaya.
3....................
Niulizeni haraka maswali yenu niyahibu hapa, tumechoka sasa wajinga mliotumwa kumchafua kipenzi chetu.
Sitaki maswali ya sijui ufisadi, wizi, upigaji, hadi yule jamaa arudishe 1.5t yetu ndo nitajibu ujinga huo.
bado tuna hasira nae, tunamdai pesa yetu, shwaiiinnnnn!!!
-Mwendazake alichagua professor aliyemsimamia PHD yake kuwa katibu mkuu wa wizara X nasi tulikaa kimya.
-Mbona ana nakinda naye ni kamishina wa sensa, tena bibi haswa, hamjamsema, kisa uzanzibari wake yule mdada(maana kwangu namwona mwali tu).
2.Kupanda kwa gharama za bidhaa
-Ni mjinga tu anaweza lalamika hili, wakati hata kwa beginners wa kutumia mtandao akigoogle hilo ataona ni duniani kote kwa sasa hadi ulaya.
3....................
Niulizeni haraka maswali yenu niyahibu hapa, tumechoka sasa wajinga mliotumwa kumchafua kipenzi chetu.
Sitaki maswali ya sijui ufisadi, wizi, upigaji, hadi yule jamaa arudishe 1.5t yetu ndo nitajibu ujinga huo.
bado tuna hasira nae, tunamdai pesa yetu, shwaiiinnnnn!!!