Hizi nondo za Asadi ni balaa. Na huo ndio ukweli.
Hizi nondo za Asadi ni balaa. Na huo ndio ukweli.
Watanzania ni hao hao katiba ita wabadilisha vipi?Utakuwa na taasisi zenye nguvu ya kusimamia matumizi mabaya ya mali za Taiafa. Bunge litahakikisha linatunga sheria kulinda maslahi ya nchi kutokana na wabunge hao kuchaguliwa bila mizengwe.Mahakama pia hazitatawaliwa na kupokea rushwa hivyo hukumu zitatolewa kwa haki. Nchi yenye haki hakuna fujo hivyo kutakuwa na uwekezaji na maendeleo yatapatikana kwani kila mtu atafanya kazi zake kwa amani na kujituma!!
Kenya na SA wanasifiwa kuwa na katiba nzuri za kisasa, lakini hazijawasaidia kuwazuia wapigaji kufanya ufisadi. Tafakari!Utakuwa na taasisi zenye nguvu ya kusimamia matumizi mabaya ya mali za Taiafa. Bunge litahakikisha linatunga sheria kulinda maslahi ya nchi kutokana na wabunge hao kuchaguliwa bila mizengwe.Mahakama pia hazitatawaliwa na kupokea rushwa hivyo hukumu zitatolewa kwa haki. Nchi yenye haki hakuna fujo hivyo kutakuwa na uwekezaji na maendeleo yatapatikana kwani kila mtu atafanya kazi zake kwa amani na kujituma!!
UvCCM huwa hawana majibu wanaishia kumtukana tu😁Hizi nondo za Asadi ni balaa. Na huo ndio ukweli.
Aisee, kumbe katiba itatupatia robots, nchi gan walibadili katiba uchumi ukapanda.?Utakuwa na taasisi zenye nguvu ya kusimamia matumizi mabaya ya mali za Taiafa. Bunge litahakikisha linatunga sheria kulinda maslahi ya nchi kutokana na wabunge hao kuchaguliwa bila mizengwe.Mahakama pia hazitatawaliwa na kupokea rushwa hivyo hukumu zitatolewa kwa haki. Nchi yenye haki hakuna fujo hivyo kutakuwa na uwekezaji na maendeleo yatapatikana kwani kila mtu atafanya kazi zake kwa amani na kujituma!!
WaTanzania ni binadamu kama binadamu wengine hivyo nao Huba dilika kadri Mazingira yanavyobadilika!Watanzania ni hao hao katiba ita wabadilisha vipi?
Wanafanya upigaji lakini sio ule wa kiwango cha State Capture ya wakina GUPTA kule South Afrika na ule wa Kamlesh Pattni na GOLDENBERG kule Kenya!! Ukiwa na Katiba kama ile ya Warioba utapunguza sana matumizi mabaya ya mali za nchi lakini sio kana Kwamba utakomesha 100%.Kenya na SA wanasifiwa kuwa na katiba nzuri za kisasa, lakini hazijawasaidia kuwazuia wapigaji kufanya ufisadi. Tafakari!
Aisee, kumbe katiba itatupatia robots, nchi gan walibadili katiba uchumi ukapanda.?
Nchi gani. ? Nipe mfanoNdugu yangu ukiwa na katiba inayokubalika utakuwa na amani nchini hivyo watu watakuja kuwekeza na technology [ROBOTS] kupatikana hivyo nchi kupata maendeleo kwa uchumi wake kupanda!
Nchi gani. ? Nipe mfano
Hatujamuelewa kabisaHongera sana mama kwa kuapishwa kuwa Rais wa Sita wa Tanzania.
Sasa baada ya Tanzania kupata uzoefu wa kutosha kutokana na awamu zake za uongozi, na tukaona mazuri na mapungufu yake, na wewe pia kupata uzoefu wa kutosha chini ya Mzee Magufuli ninakuomba haya yafuatayo:
Kwanza, usiturudishe nyuma tena. Awamu ya tano imetuonyesha nini maana ya uhuru na kujitegemea. Tanzania haina mjomba wala shangazi huko nje. Maendeleo ya watanzania yataletwa na watanzania wenyewe. Jukumu lako ni kutupanga, kutuvuvia, kutushawishi na kutuonyesha kwa mfano wako wewe mwenyewe kwamba inawezekana, tunaweza, tusonge mbele.
Pili, Mzee Magufuli kafa, lakini spirit yake haijafa. Ni askari aliyefia vitani akiwa mstari wa mbele, katika kupambania uhuru wetu na kujitegemea kwetu. Usije kufanya kosa kufanya mapungufu ya style ya Magufuli ya uongozi iwe kigezo cha wewe kubadili uelekeo wa nchi yetu, katika kujiamini na kuthubutu. Magufuli kafa lakini kaacha alama na kaacha spirit. Wenye hiyo spirit wamo ndani ya chama tawala, vyama vya upinzani, serikalini, sekta binafsi, na kwa wakulima na wafanyakazi. Hili ni jeshi kubwa sana usicheze nalo.
Tatu, tutakusikiliza kwa umakini, tutakuangalia sana mienendo yako, tutatizama sana namna zako kama zinaturudisha nyuma au zinatupeleka mbele. Nisiseme sana katika hili lakini itoshe tu kwamba spirit ya Mzee Magufuli haijafa. Tukiona tu dalili kwamba unakotupeleka siko hatutakuvumilia. Tushaonjeshwa uhuru hatutarudi tena kwenye utumwa. Tushaonjeshwa kujitegemea hatutarudi kwenye utegemezi tena.
Mwisho, Mungu akupe hekima ya kuongoza watu milioni 60, kwa akili na ujasiri. Ninaamini utatuvusha salama, karama ya uongozi unayo, itendee haki. Tegemea ushirikano wetu.
Pia soma: Maoni, Ushauri na Mapendekezo kwa Rais Dkt. John Pombe Magufuli
Uko VYEDI tuuUwezo wa Samia kuwa rais upoje?
Bora hayati magufuli hakikaNdani ya miezi miwili ametoa kauli zinazokinzana na 'tata' zihusuzo gharama na bei ya vitu na mafuta.
Mfano,mwezi jana huku akiwa amefura aliagiza tozo zirejeshwe kwenye mafuta kwa sababu ya eti zipo kikodi na naksi yake haijaziliki na akasisitiza lazima vitu vipande bei!
AJABU LEO ETI KIPARA ANATUAMBIA ETI MAMA AMESONONESHWA SANA NA KUPANDA KWA BEI YA MAFUTA NA VITU !
Samia,usitufanye wote wajukuu zako bwana tafadhari eleweka na tofauti na hivyo-HUELEWEKI!
Ni kweli, kushinda atashinda tu, nadhani kinachotafutwa ni asilimia ya ushindi.Rais Samia Suluhu Hasan hawezi kuzuiwa na Sabaya au Bashiru kushinda 2025
Yapo mengi makubwa anawafanyia watanzania na atakayowafanyia watanzania yatakayompa ushindi
Na wanao mtetea Sabaya ni wafaidika wa maovu ya Sabaya.Rais Samia Suluhu Hasan hawezi kuzuiwa na Sabaya au Bashiru kushinda 2025
Yapo mengi makubwa anawafanyia watanzania na atakayowafanyia watanzania yatakayompa ushindi