Sasa kama kwenye uwanja wako wa nyumbani unapata sare! Tena ya magoli 2-2!!! Kweli??? Halafu wakati huo huo unajifahamu fika huna rekodi nzuri kwenye viwanja vya Waarabu, kama ilivyo kwa kaka yako!!!

Kweli kuna shabiki anaamini timu yake itasonga hatua inayofuata kwenye haya mashindano ya Bonanza!!! Au ndiyo mwendo wameumaliza!!!
Nakuheshimu sana mkuu, naomba unisamehe kwa kusema hv

ACHA BANGI
 
Hawaamini macho yao kutokana na matokeo ya sare ya 2-2! Tena kwenye uwanja wa nyumbani!!

Kimahesabu kilicholindwa hapo ni heshima tu ya kutokufungwa. Zaidi ya hapo, mnafahamu fika mkifika Cairo Misri, ni kichapo tu. Ila msiumie sana. Kaka zenu Yanga watakuja kuwafuta machozi.
Una haha sana, pambania utopoloo yakoo nayo iwe ktk ramani ya Dunia,


Hii haiwahusuuuuu!!! Polee shostitooooo
 
Kwanza niambiwe kesho ratiba ikoje Nan atacheza na wapi atacheza


Ila rwanda Wana majasusi Bora sana wamejipenyeza Hadi ikawa ndio makao makuu ya AFL na Kisha ktk mabango yey ndio kinara alfu Tanzania Hakuna tangazo lolote linalo tuhusu sisi tulio weeka bilion 30 kukarabati uwanja nimenitafakati sna
Mkuu umewaza nje ya boksi. Hii ndio tunita akili kubwa.
Kongole kwako
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Nguvu moya
Screenshot_20231020-134613.jpg
 
Back
Top Bottom