makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 28,143
- 81,016
Yes, position. Ni ujinga wa kocha kumjaribu acheze namba 9 kwenye game kubwa.Position, ila anatakiwa awemo
Yes, position. Ni ujinga wa kocha kumjaribu acheze namba 9 kwenye game kubwa.Position, ila anatakiwa awemo
Uto wameomba waachiwe hayo mapipaYale mapipa yao wasiyasahau maana hayajasaidia chochote
Polee sanaa, mpira umechezwa na matokeo yameridhishaa,Mimi nasburia tu kipyenga cha mwisho cha mwamuzi, ili zile kelele zetu za kumkataa kocha na baadhi ya wachezaji, zianze upya.
Mifi yako
Tumejipanga kuwafuta machozi. Tutawapiga nje ndani hawa Waarabu wenu.Yanga mkiwafunga hawa waarabu msiseme kuwa mnaifutia Simba aibu au kuilipia kisasi.
Shadeeya Bantu Lady Tate Mkuu zipompa
Hujaona baadhi ya mbumbumbu wenzako wakimtupia lawama kocha bila shaka.Polee sanaa, mpira umechezwa na matokeo yameridhishaa,
Afu hii haiwahusuuu.
Mbona Ihefu huwataji kulikoni?Nipo na wanasimba wenzenu hapa wanahangaika tu...🤣
Utopolo kweli ni utopolo. Kwa hiyo hujaona kabumbu iliopigwa na mnyama na kufunga magoli mengi kipindi cha pili ? Hakika wewe ni utopolo.Inaonekana hujaangalia Mpira na kama umeangalia basi Hujui mpira
Mbona kuna timu ilikufa mbili hapo kutoka kwa waarabuHawaamini macho yao kutokana na matokeo ya sare ya 2-2! Tena kwenye uwanja wa nyumbani!!
Kimahesabu kilicholindwa hapo ni heshima tu ya kutokufungwa. Zaidi ya hapo, mnafahamu fika mkifika Cairo Misri, ni kichapo tu. Ila msiumie sana. Kaka zenu Yanga watakuja kuwafuta machozi.
Nakuheshimu sana mkuu, naomba unisamehe kwa kusema hvSasa kama kwenye uwanja wako wa nyumbani unapata sare! Tena ya magoli 2-2!!! Kweli??? Halafu wakati huo huo unajifahamu fika huna rekodi nzuri kwenye viwanja vya Waarabu, kama ilivyo kwa kaka yako!!!
Kweli kuna shabiki anaamini timu yake itasonga hatua inayofuata kwenye haya mashindano ya Bonanza!!! Au ndiyo mwendo wameumaliza!!!
Una haha sana, pambania utopoloo yakoo nayo iwe ktk ramani ya Dunia,Hawaamini macho yao kutokana na matokeo ya sare ya 2-2! Tena kwenye uwanja wa nyumbani!!
Kimahesabu kilicholindwa hapo ni heshima tu ya kutokufungwa. Zaidi ya hapo, mnafahamu fika mkifika Cairo Misri, ni kichapo tu. Ila msiumie sana. Kaka zenu Yanga watakuja kuwafuta machozi.
Mkuu umewaza nje ya boksi. Hii ndio tunita akili kubwa.Kwanza niambiwe kesho ratiba ikoje Nan atacheza na wapi atacheza
Ila rwanda Wana majasusi Bora sana wamejipenyeza Hadi ikawa ndio makao makuu ya AFL na Kisha ktk mabango yey ndio kinara alfu Tanzania Hakuna tangazo lolote linalo tuhusu sisi tulio weeka bilion 30 kukarabati uwanja nimenitafakati sna
pambania utopoloo yakoo shogaa angu, hii Simba itakutesaa sanaa.Hujaona baadhi ya mbumbumbu wenzako wakimtupia lawama kocha bila shaka.
Subiri mechi zinazofuta halafu tuone kama hamtaanza kubweka kama ilivyo kawaida yenu.
Pale kwa Ihefu ni kambi kuuIgeni ya yanga
Popote kambi
Tatizo lenu hamtaki kuambiwa ukweli.Nakuheshimu sana mkuu, naomba unisamehe kwa kusema hv
ACHA BANGI
Sawa, Ile penati ilikuwa maamuzi mazuriFaulo ya kupelekea goli kurudi la waarabu refa ametoa maamuzi mabaya,Baleke hakumgusa yule mchezaji