Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 1,658
- 4,866
Kocha wa zamani wa Arsenal, Arsene Wenger ni moja ya wageni watakaokuja Tanzania katika ufunguzi wa Mashindano ya African Football League Oktoba 20.
Wenger ambaye ni moja ya watu wa ufundi wa FIFA atakuwa sehemu ya watu watakaolitazama pambano la mechi ya Simba SC na Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mmoja ya waratibu wa mchezo huo wa ufunguzi (jina limefichwa) alithibitisha ujio wa kocha huyo raia wa Ufaransa.
Wenger ambaye ni moja ya watu wa ufundi wa FIFA atakuwa sehemu ya watu watakaolitazama pambano la mechi ya Simba SC na Al Ahly ya Misri katika Uwanja wa Benjamin Mkapa Jijini Dar es Salaam.
Mmoja ya waratibu wa mchezo huo wa ufunguzi (jina limefichwa) alithibitisha ujio wa kocha huyo raia wa Ufaransa.