Suley2019
JF-Expert Member
- Oct 7, 2019
- 1,817
- 4,566
Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri.
Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya kwanza.
Mechi itakuwa Mubashara Azam Sports 1HD kuanzia saa 12:00 Jioni kwa masaa ya Afrika Mashariki lakini mapema kutakuwa na sherehe za ufunguzi huku Ali Kiba akiongoza burudani.
Yanayojiri yote utayapata katika uzi huu…
Yapi maoni yako kuhusu mechi hii?
Baadhi ya Watu mashuhuri waliohudhuria tukio hili
Rais wa FIFA, Infantino (kulia) ametua Tanzania
Legendari Arsene Wenger na Moise Katumbi kwenye mkutano na Waandishi wa Habari
Arserne Wenger akiwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa
Hali ya Uwanja mpaka sasa
UFUNGUZI WA TUKIO UMEANZA RASMI
Kikosi cha Simba kinachoanza
- Mpira umeanza huku timu zote zikisomana na kushambuliana kwa kushtukizaRais wa FIFA, Infantino (kulia) ametua Tanzania
Legendari Arsene Wenger na Moise Katumbi kwenye mkutano na Waandishi wa Habari
Arserne Wenger akiwa katika Uwanja wa Benjamini Mkapa
Hali ya Uwanja mpaka sasa
UFUNGUZI WA TUKIO UMEANZA RASMI
Kikosi cha Simba kinachoanza
- Dakika ya 23 bado ni 0 - 0
- 45' Goooooal Ahly wanatangulia hapa
HT: Simba 0 - 1 Al Ahly
Kipindi Cha pili kimeanza
- Mzamiru out - Kanoute in
- Miquisone out - Baleke in
- Kibuuuu anasawazisha hapa
- Kanouteeee anaipatia Simba goli la pili
- 60' Simba 2 - 1 Al Ahly
- 63' Karhaba anasawazishaaaa 2 - 2
80' Bado mabao ni 2-2
FT: Simba 2 - 2 Al Ahly