Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 28,490
- 82,212
Hii timu inaruhusu sana magoli kwenye safu yake ya ulinzi. Yaani ni kawaida sana kuiona imeshinda 4-2, 2-1, nk. Ukija upande wa pili, mambo ni tofauti kabisa.Ukuta wa Yeriko kimataifa. 😭😭
Hii timu inaruhusu sana magoli kwenye safu yake ya ulinzi. Yaani ni kawaida sana kuiona imeshinda 4-2, 2-1, nk. Ukija upande wa pili, mambo ni tofauti kabisa.Ukuta wa Yeriko kimataifa. 😭😭
🤣🤣🤣🤣Wapo kimyaa leondo maana mnaishia robo fainali na hizi kauli zenu etiih hatuwadaiView attachment 2787594
Kabisa timu yao beki zake ni 🚮 wale waarabu kwa mpira ule wakija hapa wakicheza na yanga watakufa mapema sanaHii timu inaruhusu sana magoli kwenye safu yake ya ulinzi. Yaani ni kawaida sana kuiona imeshinda 4-2, 2-1, nk. Ukija upande wa pili, mambo ni tofauti kabisa.
Bwana wee kunywa maji ushushe jazba...hayo hayatuhusu kwa sasa tunawacheka nyie mlotaga mayai...Hawaamini macho yao kutokana na matokeo ya sare ya 2-2! Tena kwenye uwanja wa nyumbani!!
Kimahesabu kilicholindwa hapo ni heshima tu ya kutokufungwa. Zaidi ya hapo, mnafahamu fika mkifika Cairo Misri, ni kichapo tu. Ila msiumie sana. Kaka zenu Yanga watakuja kuwafuta machozi.
Kwani mbali sasa, wanawajia mwezi ujaoUkuta wa Yeriko kimataifa. 😭😭
Sawa na uto huwa havuki hatua za awali CAFCL (miaka 25) japo mwaka huu kaingia makundindo maana mnaishia robo fainali na hizi kauli zenu etiih hatuwadaiView attachment 2787594
Magoli yapi ya kushangiliaKusema ukweli hata kama hatujafungwa lakini haya magoli siyo ya kushangilia, sababu japokuwa tumetoka draw ila kwenye aggregates ni kama tumefungwa tu, huko kwao tuna shughuli pevu ambayo siyo rahisi sisi kutoka salama
Sasa kwa walivocheza leo na una amini watanifunga kabisaKwani mbali sasa, wanawajia mwezi ujao
Huko hatuna cha kupoteza . Ni kushambuli mwanzo mwisho hadi mwarabu aite maji mmaKusema ukweli hata kama hatujafungwa lakini haya magoli siyo ya kushangilia, sababu japokuwa tumetoka draw ila kwenye aggregates ni kama tumefungwa tu, huko kwao tuna shughuli pevu ambayo siyo rahisi sisi kutoka salama
Wewe ni mwepesiii kuliko biscuit iliyolowekwa, ama Ihefu ni kubwa kuliko Aly Hilal?Sasa kwa walivocheza leo na una amini watanifunga kabisa
Naunga mkono hoja 👍👏 jaddaKusema ukweli hata kama hatujafungwa lakini haya magoli siyo ya kushangilia, sababu japokuwa tumetoka draw ila kwenye aggregates ni kama tumefungwa tu, huko kwao tuna shughuli pevu ambayo siyo rahisi sisi kutoka salama
Robo fainali kwenye mashindano ambayo wewe umeweka malengo ya kufika makundindo maana mnaishia robo fainali na hizi kauli zenu etiih hatuwadaiView attachment 2787594
Ila uwe unaangalia na mahali pa kuleta hoja zako au muda...watu tumefurahi na matokeo yetu ww unaleta negativity zako..any way pole mpendwa jirani msamehe...Kwani kuna mtu nilimtukana humu jukwaani baada ya kufungwa na hao Ihefu? Au kuna mtu nilimzuia kutoa maoni yake humu jukwaani?
Jibu ni hapana! Mimi kama mimi nilimshutumu tu kocha kwa kupanga kikosi cha wachezaji wengi wasio na match fitness. Mechi iliyofuata alipanga kikosi kizuri na tukapata ushindi.
Ushauri; tujitahidi kuvumiliana. Hata kama hufurahishwi na maoni ya mjumbe mwingine.
🤣🤣Haya maumivu ni makali kwa baadhi ya Utopwox kuliko kwa Percy hivi ndo nani sikumuona kabisa...