stori

Kabir Stori (6 April 1942 – 4 April 2006) (Pashto: کبیر ستوری‎) was a Pashtun nationalist, poet, and writer from Kunar Province of Afghanistan. He was chairman of the Pashtoons Social Democratic Party, a political party that he founded, until his death.

View More On Wikipedia.org
  1. K

    JamiiForums Tanzania Stori zingine bwana, eti mwanamke hatakiwi ajue kama una hela benki, au umewekeza pahali fulani sababu anaweza kukuua au kuomba taraka mgawane mali

    1. Nimezikuta hizi stori mahali fulani, yaani mwanamke hatakiwi kujua chochote kuhusu mali zako 2 .Ukizeeka atakuacha hapo nyumbani aende kuishi Kwa watoto wake 3. Ukifikisha miaka hamsini usijihangaishe kujenga kama ulishajenga Nyumba Moja yatosha. Hifadhi fedha yako benki harafu uwe...
  2. R

    JamiiForums Tanzania Msigwa: Mimi ndiye Mwandishi wa habari wa kwanza Tanzania kutuma stori kwa Internet

    Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji wa Serikali, Gerson Msigwa akifanya mahojiano na Bongo FM leo Mei 15, 2026 ameeleza namna alivyopambana wakati anafanya kazi na Radio Tanzania Mkoa wa Songea
  3. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Leo nilipata off kazini na nikawa napiga stori na dereva boda. Akanisimulia jinsi UKIMWI unatembea kimya kimya ila kwa kasi kwenye mji wetu. Inatisha!

    Watu wanaumia aisee jamaa katoka machimboni, karudi anapewa story kuwa mke wake alikuwa anaruka ruka nje, break ya kwanza ni kwenda kupima kwa lazima, imebidi jamaa amkimbie waifu kimya maana wife ana umeme na amemuachia chumba na vyombo vyote. Mzee hapa mtaani ana wake watatu, alivyojigundua...
  4. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Probability ya kuchukua demu AU mtu anayejiuza bar, akawa mzima wa afya ni ndogo sana, nitakupa stori

    Mwaka Fulani awamu ya tano, nilikua geita, yes geita wanapaita gold city, au g town, kama kawaida yetu mapopo, hatulali mapema kiwanja kwa sana, Sasa mwenyeji wangu mmoja, nikimuuliza wapi pa kwenda kuparty, akanielekeza sehemu panaitwa desire park. Nilienda kule lakini sikuona maajabu watu...
  5. MANAGER DOCTOR WENGER

    JamiiForums Tanzania Niki wa Pili ameshow love kwa Binti yake mzuri

    Niki ameshow love kwa Binti yake zuri, nakum wish happy birthday, wale mnaosema kachapiwa mtafuteni aliemchapia nick wa pili aende akamchukue mwanae. Wabongo bhana kwa kukuza, wape picha maneno wanayo, jamaa YUKO na mwanae na alie kuwa mpenzi wake na maisha yanaendelea watu kimya.
  6. N

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake mnatuboa sana wanaume na stori za 'ma -X' wenu waliowatoa bikra, kama mlipendana kwanini mliachana?

    Habari zenu wanajamvi. Moja kwa moja kwenya mada kiukweli wanawake huwa hawajielewi kabisa yaani upo kwa kitanda na mwenzi wako unaanza stori za mwanaume aliekutoa bikra mlivyo wajinga huwa mnawasifia sana. Mwanamke miaka thelathini na tano kwenda juu hivi hujui stori sahihi za kuongea na...
  7. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Ebu tu-share stori mbili tatu kuhusu huyu mwamba uliemuona katika picha hii

  8. Davidmmarista

    JamiiForums Tanzania Hivi Kuna ushahidi wowote Yesu alikuja duniani or it's just a conspiracy theory ya watunga stori?

    Kuna stori hadi sasa nikisikia naona kama hazina utofauti na mere stories. A lot of story kama, yesu alitembea juu ya maji, kufufua wafu, 🤔still doesn't make sense....
  9. Equation x

    JamiiForums Tanzania Uwepo wa majini huwa ni stori za kusadikika tu au uwa ni kweli?

    Wengi tunaamini waarabu ndio wanaongoza kwa majini; kama ni kweli majini yapo, wameshindwaje kuyatumia kwenye hizi vita vya miaka na miaka kati yao na Marekani?
  10. Financial Analyst

    JamiiForums Tanzania Ukiangalia stori za dini zote hapa dunia zilifikishwa kwa watu kwa hiari ila kuna hio moja ilibidi watu wafanyiwe fujo ndio wengine wapokee kwa lazima

    Tena kwa mauaji na unyang'anyi. Nisengependa kuwataja ila mnawajua na watakuja kwenye comment kutisha watu maana wanajijua🤐
  11. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Hii ndio stori fupi ya mabaharia wenzagu walipokuwa wakisikilizia mwaka mpya

    Msoto uko pale pale, kinachobadirika ni namba pekee. ] Tuendelee kupambana, hakuna namna, HAPPY NEW YEAR FRIENDS.
  12. BIG BROTHER ALEX

    JamiiForums Tanzania Hii stori imetaka kuniliza inasikitisha sana

    Kijana John Jay-Z, HUKO Instagram amesimulia, jambo zito, linalo ishi kwenye maisha yake Hadi Leo, baada ya kumaliza elimu yake kipindi hicho. Alijiingiza kwenye kazi ya saidia fundi, anasimulia ILIKUA tarehe 3/10/2021 asubuhi saa kumi na moja. Mama yake mzazi walie kuwa wanaishi NAE,j alikuja...
  13. Cute Wife

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Uchunguzi wa CNN wasema huenda kaburi la halaiki lipo katika Makaburi ya Kondo, Dar es Salaam

    Wakuu, Uchunguzi wa CCN umesema huenda makaburi ya halaiki yapo katika eneo la Kondo, Dar es Salaam. Japokuwa walishindwa kuthibitisha moja kwa moja kuwa walizikwa hapo, kupitia picha za satelait, za kabla na baada ya uchaguzi inaonyesha eneo hilo lilichimbwa na vijana wanasema walipewa kazi...
  14. eli -DEFIANT- cohen

    JamiiForums Tanzania Je ni kweli haya maneno yalitoka kinywani mwa sheikh yahaya au ni stori tu?

  15. Ricky Blair

    JamiiForums Tanzania Stori Tata Ya Mtaani

    Kuna nyumba moja ya kupanga bwana; kuna hao wakaka wawili wenye umri takribani 25 mpaka 30; ni mapacha wa kufanana kabisa yaani(Identical Twins) na wanafanana kila kitu. Sasa hao wakaka wameanza kuwatatiza watu wakiwemo wapangaji wenzao hadi mwenye nyumba; kwani wana tabia ya kufanya kila...
  16. K

    JamiiForums Tanzania DOKEZO NACTVET katibu mtendaji hafanyi kazi, watumishi pia hawafanyi kazi kazi kupiga stori na kuombana rushwa Waziri mwenye dhamana shughulikia hili

    Katibu mtendaji hafanyi hatimizi wajibu wake kimegeuka kijiwe cha kupiga soga na kuombana rushwa bila kutekeleza majukumu yake. Hii Nactvet makao makuu ya Dodoma mnashindwaje kumaliza shida za wanaohusika, kazi ni kuombana posho mnashindwa kumsaidia raisi katika kuwatumikia wananchi. Kazi...
  17. M

    JamiiForums Tanzania Yaani Kuna watu ukikaa nao stori zao nikusifia watu tu, au kuongelea vitu au maendeleo ya watu wengine, Hii imekaaje

    Umekaa na mshikaji au jamaa bar au sehemu nyingine stori zake ni kuongelea maendeleo ya watu wengine. utasikia fulani ana gari zuri, sijui Nyumba tatu , mgodi, mshahara mkubwa, mke mzuri , Yaani hazungumzii habari za maendeleo yake au mipango ya maendeleo yeye ni kuongelea na kusifia...
  18. S

    JamiiForums Tanzania Stori gani ya wizi au wezi uliwahi isikia au kuhishuhudia ukacheka sana

    Naam habari za muda huu ndugu zangu. Msinichoshe nisiwachoshe niende moja kwa moja kwenye kisa changu. Mwaka 2018 mtaani kwetu kuna mtu alikua na duka anauza vitu vingi sana na alikua kalikata mara mbili, Upande mmoja alikua anauza vitu vya electronic pale kulikua na mafridge, TV nk, na upande...
  19. GENTAMYCINE

    JamiiForums Tanzania Mama mpende tu huyo Baba, ila ndiyo anakuumiza japo anakudanganya kwa Stori zake pamoja na Tabasamu lake la Kimafia

    Hapa namzungumzia Mama kama Mama na Baba kama Baba tuelewane tafadhali.
  20. S

    JamiiForums Tanzania Kila nikisikia stori za Mungu nahisi kichefuchefu

    Mungu gani anaruhusu watu wauane, Mungu gani anaruhusu watu wazaliwe kwa magonjwa ( sickle cell, cancer, n.k). Kama kweli huyo Mungu yupo na anaacha watu wateseke basi ni katili na anafaa kupingwa.
Back
Top Bottom