kibu

In the mythology of the Mabuiag people of the Torres Strait, Kibu is the mythical land of the dead, believed to exist over the horizon far to the west. The correct full term is Kibukuth Horizons End. The basic meaning of the word kibu is midpoint of an upright broad object, such as small of back, mid-slope of a hill, and horizon, which is the midpoint of the universe, between the bottom part which is the earth (apagœwa lower-ground, or arkath pit), and the top half, which is the sky (dapar). The reference to Kibu, the land of the markai (the spirits of people who have travelled to Kibu after death) is a specialised, religious use of the word. Traditional Torres Strait religion can be characterised as totemic and ancestor worship, and as such the markai are the ancestors, and are specially revered. The ancestors are with the augadh totem, and the augadh generates the buwai clan/moiety, and the markai ultimately has a direct relationship to the augadh, though not necessarily being seen as being the augadh.
In the traditional mythology, the world (arkath hole, apagoewa underfurrow/ditch/garden) is at the bottom of a sphere, with the sky (dapar) above and around it. The markai live in Kibu, the main gateway of which is in the west (Kibukuth Horizons End). However, the markai often come back to visit. The land of the markai actually surrounds the world, so markai can be seen passing from east to west as well as west to east, coming down from the sky, and sometimes even coming up from under the ground via Apangab Netherway, Underway, the mythical pathway under the earth used by markai and others, such as dhogai long-eared witch women, maidhalaig magic-men, and others to travel under the earth and the sea from place to place.
Before becoming markai, the spirit of the dead person is called mari. Mari are the spirits of the dead who have not yet passed to the other side. The passage to the other side is made on the sand banks just west of Boigu, in north-west Torres Strait. At Boigu, the mari either leave a sign or otherwise talk to the mariumulaimoebaig spirit talker, to let people know how he or she died, and if he or she was murdered (and if so, who killed them). This is done where the cemetery is at Boigu, just west of the village.
In the passage over to the other side, at the sandbanks west of Boigu, the mari, which is black (kubikub) just as in life, becomes white (gamulnga) (this is a belief common to many Pacific and Australian peoples). Therefore, when Asians and Europeans visited Torres Strait, they were at first believed to be markai returning. In the modern language, markai is still often used to refer to Europeans, though no longer to Asians. However, this is considered to be impolite, and the correct term is either Yurupau Moebaig European or Gamulmoebaig (Light) Coloured Person. One favourite means of transport of the markai is the markaigub spirit wind, that is to say, waterspouts, which appear in the North-West Monsoon season, the favorite time for the markai to come to Torres Strait. As this was the season the Makkasarese and similar Indonesian fishermen came to Northern Australia, they were associated with the markai.

View More On Wikipedia.org
  1. mdukuzi

    Sijawahi kusikia mtu akisema Kibu Denis snajua mpira,bali husema anajituma sana

    Hii huwa inanishangza,je mpira ni kipaji au kujituma? Kibu ana kipaji au anajituma Utaambiwa anajituma
  2. ward41

    Kibu Dennis hana maarifa ya mpira

    Kibu Dennis anajichosha tu na mikimbio yake, maarifa kidogo Sana. Kwa haraka anaonekana kwamba ana bidii lakini ni mchezaji mbovu Gwede haonekani Sana lakini ana maarifa makubwa. Gwede anabadilisha matokeo muda wowote. Hana mengi uwanjani Ila jamaa ana target sana.
  3. Mr mutuu

    Kibu Denis anakaza anapokutana na Yanga tu

    Huyu jamaa ni tapeli sana, anajua mashabiki wa Simba ni bendera fata upepo na hawana maarifa hivo kaamua kuwaingiza kwenye mfumo wake Jamaa ye mechi anazokaza ni vs yanga tu maana anajua akipiga hata goli Moja watamsifia msimu mzima, haiwezekani msimu mzima kibu Kila mechi anacheza alafu ana...
  4. J

    lets be real, Mzize is just another Kibu Denis

    Iko hivi i will be short. mzize ni copy paste ya kibu denis. worthless in front of the goal. ila kwenye swala la mikimbio yupo vyema sana. my views kwa mzize 1. Mzize ni useless player in striking force sema Yanga sijui wanamuona ana nini? statistics zinanibeba kwenye hili. 🚮🚮 ni kibu...
  5. mdukuzi

    Kocha wa Al ahly asema anamtaka Kibu Denis kuziba nafasi ya Percy Tau

    Sio maneno yangu bali ya kocha wa Al ahly,msikilize hapa
  6. LIKUD

    Said Mwamba Kizota has come back to life as Kibu Dennis and Mohamed Mwameja has come back to the pitch as Djigui Diarra

    Said Mwamba Kizota ni nani? Said Mwamba Kizota ni mchezaji bora kabisa wa wakati wote, wa mpira wa miguu kutoka Tanzania. Nikiambiwa nimtaje mchezaji mmoja alie wapi kucheza mpira wa Tanzania ambae ndio bora kabisa kuliko wachezaji wote basi kwa haraka sana nitamtaja Said Mwamba Nassoro Kizota...
  7. LIKUD

    Said Mwamba Kizota has comeback to life as Kibu Dennis and Mohamed Mwameja has comeback to the pitch as Djigui Diarra.

    Said Mwamba Kizota ni nani? Said Mwamba Kizota ni mchezaji bora kabisa wa wakati wote, wa mpira wa miguu kutoka Tanzania. Nikiambiwa nimtaje mchezaji mmoja alie wapi kucheza mpira wa Tanzania ambae ndio bora kabisa kuliko wachezaji wote basi kwa haraka sana nitamtaja Said Mwamba Nassoro...
  8. LIKUD

    Said Mwamba Kizota has comeback to life as Kibu Dennis and Mohamed Mwameja has comeback to the pitch as Djigui Diarra.

    Said Mwamba Kizota ni nani? Said Mwamba Kizota ni mchezaji bora kabisa wa wakati wote, wa mpira wa miguu kutoka Tanzania. Nikiambiwa nimtaje mchezaji mmoja alie wapi kucheza mpira wa Tanzania ambae ndio bora kabisa kuliko wachezaji wote basi kwa haraka sana nitamtaja Said Mwamba Nassoro...
  9. LIKUD

    Said Mwamba Kizota has comeback to life as Kibu Dennis and Mohamed Mwameja has comeback to the pitch as Djigui Diarra.

    Said Mwamba Kizota ni nani? Said Mwamba Kizota ni mchezaji bora kabisa wa wakati wote, wa mpira wa miguu kutoka Tanzania. Nikiambiwa nimtaje mchezaji mmoja alie wapi kucheza mpira wa Tanzania ambae ndio bora kabisa kuliko wachezaji wote basi kwa haraka sana nitamtaja Said Mwamba Nassoro...
  10. sky soldier

    Sio Chama wala Kibu Dee, Hofu yetu Yanga ni Moses Phiri, Sub yake inatisha kama giza

    Kwanza nikiri kabisa nimewahi kumuona Kibu Dee laiv pale Sokoine uwanja wa Mbeya, ni mchezaji mzuri sana mwenye nguvu, spidi, akili, n.k. ila huyu wanaweza kummudu kimtindo jumapili. Kwa Chama nae sio kitisho mbele ya watu kama Yao Yao. Ila kuna huyu Noses Phiri sio wa kumchukulia poa hata...
  11. Andre-Pierre

    Mgeni Rasmi mechi ya Simba Vs Yanga ni Kibu Dennis

    Klabu ya Simba ambayo ni mwenyeji katika mchezo wake wa wikend hii dhidi ya Yanga imemtangaza Kibu Dennis kama mgeni rasmi wa mchezo huo. Hili ndio soka letu sasa kivyetuvyetu.
  12. Suley2019

    FT: Simba 2-2 Al Ahly | Benjamin Mkapa Stadium | 20.10.2023 | African Football League

    Haya haya ile siku iliyokuwa ikisubiriwa kwa hamu imewadia. Leo tarehe 20/10/2023 Tanzania itashuhudia mtanange wa kihistoria kati ya timu ya Simba ya Tanzania dhidi ya Al Ahly ya Misri. Mechi hii ni ya ufunguzi wa michuano ya African Football League ambayo inachezwa barani Afrika kwa mara ya...
  13. GENTAMYCINE

    Kwangu Mimi Muzamiru na Kibu ndiyo walicheza vyema Jana huku Job na Mwamnyeto wakicheza vibaya

    Ukikasirika na huu Ukweli wangu Mchungu GENTAMYCINE toka hapo Nje Kwako ukiona Muuza Dawa za Sumu ya Panya nunua haraka, Korogea katika Kikombe cha Maji kisha Kunywa ili Upumzike kwa Amani na Mazima. ANGALIZO Ukijijua tu kabisa kuwa humpendi / hunipendi GENTAMYCINE " hapa JamiiForums na...
  14. Best Daddy

    Kibu Denis: Diarra angedaka ule mshale wangu hadi sasa angekua anajiuguza kwao Mali

    Tukiwa tunaelekea kwenye maadhimisho ya wana-lunyasi "Simba Day 2023" basi matukio na hisia tofauti zimeanza kuipamba siku hiyo. Kati moja ya matukio hayo, basi ni yale aliyoya-eleza Kibu D, anaenda kwa jina la "Kibu Mkandaji", jina ambalo lilipata umaarufu baada ya kuwakanda Wananchi April...
  15. The Burning Spear

    Kibu D ninTishio Wapinzani anawatesa

    Amini usiamini uwepo WA kibunD unamvhngi karibia 30% ya performance ya timu nzima ya Simba. Jamaa anajua kuforce kingi Hadi manejo wanabakia kunywa maji mda wote Huyu jamaa ni Hatari mabeki wanateseka sana. Uwepo wake uwanjani unatengeneza pressure kubwa Sana huko mbele kitu ambacho Wapinzani...
  16. SAYVILLE

    Wydad watamkamia Denis Kibu

    Dhihaka zilikuwa nyingi dhidi ya Denis Kibu ila katika wachezaji ambao wamekuwa wanacheza kwa kiwango kikubwa kwa miezi minne na zaidi Kibu ni mmoja wao. Najivunia kuwa mmoja wa watu ambao nimekuwa namtetea. Hayo tuyaache kidogo maana ni kibwagizo tu. Katika mechi ya Raja vs Simba kule Morocco...
  17. Execute

    Nafasi anayocheza Samatta pale Taifa Stars awe anawekwa Kibu Denis

    Japo Kibu hana akili ya mpira lakini anakupatia kitu kinaitwa work rate. Yaani akiwepo uwanjani anakuwa na pilikapilika nyingi ambazo zinaweza kuleta matokeo chanya. Huyu Samatta ameshapitwa na wakati.. hana chochote anachoiongezea timu awapo uwanjani.. Kibu anaweza kufanya link ya viungo...
  18. GENTAMYCINE

    Wana Simba SC wote mnaomtukana, kumdharau na kutomtaka Kibu Denis akirejea kutoka Kampala mkamuombe Radhi

    Katika uzi wangu wa leo ambao pia nilijaribu kupanga vikosi vyangu viwili tofauti ambavyo niliona vingetupa matokeo na mwishoni, nilisisitiza mno kuwa mechi ya leo kwa uchezaji wa kutumia nguvu nyingi walionao waganda ingemfaa sana na angeisaidia Simba SC kimchezo. Huhitaji kupoteza muda au...
  19. Shujaa Mwendazake

    Mshahara wa Kibu Dennis Vs Muzzamiru Yassin

    Habari wakuu, Kama kuna mwenye usagihi wa mishahara ya Kibu na Muzzamiru aniwekee hapa jamvini...
Back
Top Bottom