tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. cheusimangala_

    JamiiForums Tanzania Michezo ni chachu ya muungano wa Tanzania

    APRILI 26 mwaka huu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaadhimisha miaka 54 ya Muungano, tangu kuungana kwa iliyokuwa Jamhuri ya watu wa Zanzibar na ile ya Tanganyika, na kupata jina moja la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Muungano huo ulisimamiwa vyema chini ya viongozi wawili marehemu mzee...
  2. Kanungila Karim

    JamiiForums Tanzania Chozi la nchi yangu Tanzania

    Tanzania ni Jamhuri, na ni muungano wa nchi 2, yaani Tanganyika na Zanzibar,kabla ya mwaka 1884, hapakuwa na historia ya nchi iliyoitwa Tanzania, isipokuwa zilikuwa ni tawala cha kichifu, kitemi kutegemeana na makabila ya maeneo mbali mbali yalipopatikana katika eneo ambalo hapo baadae liliitwa...
  3. K

    JamiiForums Tanzania Sheria za kazi: Kufanya kazi kampuni ya nje ukiwa Tanzania

    Sijajua kama kuna sheria na utaratibu wa kufanya kazi kwenye kampuni ambayo haipo Tanzania lakini wamekuajiri na kukulipa. Kwa teknologia ya siku hizi unaweza kufanya kazi ukiwa popote duniani kwa kutumia software za siku hizi na internet. Sasa je unalipaje kodi? Ni kodi zipi hizo? Na ni...
  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania ya KWANZA East Africa na ya PILI Africa kwa usambazaji umeme(eletric power).

    Tanzania imetajwa kuwa nchi ya kwanza Afrika Mashariki na ya pili Barani Afrika kwa usambaziji huduma ya umeme kwa wananchi, ikiongozwa na Afrika kusini. Kwa mujibu wa Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani, hadi sasa Tanzania imeshasambaza umeme katika vijiji 8102 sawa na 70%
  5. kilam

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenya yafuata nyayo za Tanzania kwa wahujumu uchumi

    Graft suspects who return money can enter plea bargain — Haji 25 October 2019 - 00:00 Director of Public Prosecutions Noordin Haji has asked leaders and civil servants facing corruption allegations to return the stolen money threefold or face the consequences. Haji revealed that the move is...
  6. beth

    JamiiForums Tanzania Benki ya Dunia: Vikwazo 12 vya kufanya biashara Tanzania

    LICHA ya serikali kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini, Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) imetaja vikwazo 12 vya ufanyaji biashara nchini. Katika ripoti hiyo ya mwaka 2019/20 imeonyesha kuwa Tanzania imeboresha baadhi ya mambo kiasi ya kuifanya kushika nafasi ya 141 kati ya 190 mwaka huu...
  7. Ng'wamapalala

    JamiiForums Tanzania Ukomo wa Rais wa Tanzania na Zanzibar ulipangwa au nasibu?

    Katika mazingira na suala muhimu ambalo linaisaidia sana CCM kuendelea kuwa madarakani ni ukomo wa Rais wa Tanzania na Rais wa Zanzibar kutokuisha mwaka mmoja/wakati mmoja kwa pamoja. Ni ukweli kuwa ni vigumu sana katika chaguzi zetu za nchi za Afrika kuweza kumuondoa madarakani Rais anayetetea...
  8. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Sekta ya mawasiliano yachangia ukuaji wa uchumi Tanzania

    TANZANIA kwa muongo mmoja uliopita imekuwa ni nchi ambayo uchumi wake umekuwa ukiimarika na pato lake la taifa likikua kwa wastani wa asilimia nane. Hayo yamebainishwa katika takwimu za Benki ya Dunia ambazo zinaonesha kuwa Tanzania kwa muongo mmoja uliopita imekuwa na uchumi imara na ukuaji...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Wangapi mko tayari kuchangia gharama ya kesi ya kuomba kurekebishwa Sheria ya Mikopo?

    Wadau, Naitwa Fredrick Mboma. Ni Mjasiriamali. Kuna sheria ndogo mpya inayoitwa Microfinance (Non-Deposit Taking Microfinance Service Providers) GOVERNMENT NOTICE NO. 679 Published On 13/9/2019 (nimeiambatanisha) Ni miongoni mwa sheria mbovu kabisa ambazo zimetungwa kusimamia sekta husika...
  10. J

    JamiiForums Tanzania Rais Kenyatta amteua mzee wa miaka 91 kuwa mkurugenzi wa Vijana na michezo. Tanzania tuna cha kujifunza

    Rais Kenyatta amemteua raia mwenye umri wa miaka 91 kuwa mkurugenzi wa vijana na michezo. Uteuzi huo umepingwa mahakamani na mwanaharakati mmoja kijana lakini Rais Kenyatta amesema hataubadilisha kwa kuwa vijana ni wabadhirifu wa fedha za umma hivyo amemteua huyo mzee ili fedha isiibwe na...
  11. BenKaile

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa kozi ya foundation Chuo Kikuu Huria cha Tanzania (Open University of Tanzania) mwaka 2019/2020

    https://www.out.ac.tz/wp-content/uploads/2019/09/OFP-Approved-Applicants-for-201920-round-1-and-2-for-website.pdf
  12. BenKaile

    JamiiForums Tanzania Wanafunzi waliochaguliwa foundation course Chuo Kikuu Huria cha Tanzania 2019/2020

    https://www.out.ac.tz/wp-content/uploads/2019/09/OFP-Approved-Applicants-for-201920-round-1-and-2-for-website.pdf
  13. M

    JamiiForums Tanzania Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania!

    Mechi ya leo ,ni kielelezo cha kiwango cha soka cha Tanzania! Leo wanaume wanacheza ...wengine make pembeni muone burudani murua! .... atakaye fanya kosa ndiye atakaye lia!
  14. K

    JamiiForums Tanzania Tatizo: Hatuna chama hata kimoja kizuri Tanzania

    Baada ya kufuatilia kwa muda nimegundua tatizo mojawapo tulilonalo ni la kisiasa. Tanzania hatuna na hatujawahi kuwa na chama chochote cha siasa kizuri. Hivyo tuna chaguzi ambazo wananchi tunalazimishwa kuchagua nani mbaya kidogo kuliko wengine. CCM chama tawala kama wangekuwa wazuri wasinge...
  15. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Tanzania supports China on Hong Kong crisis, blames Western media

    Dar es Salaam. The Tanzanian government said on Wednesday October 23 that it supports China’s position in the Asian country’s ongoing dispute with Hong Kong. Justice and Constitutional Affairs minister Augustine Mahiga said this during a dinner hosted by the Chinese embassy to commemorate five...
  16. U

    JamiiForums Tanzania NSSF Tanzania na mzunguko mrefu wa ulipaji mafao

    Habari wanajamvi! Hoja yangu ni kwa Mfuko wa Hifadhi ya Jamii NSSF kuwa na mzunguko mrefu kwa wateja wanaodai mafao yao. Wanachama tumekuwa tukikatwa fedha kila mwezi na mwajiri hivyo hivyo kwa ajili ya kumsaidia huyu mwajiriwa pindi anapokosa ajira, kustaafu, na faidi zingine kama...
  17. eriqelikplim

    JamiiForums Tanzania Top Universities in Tanzania in 2020

    What are the most popular Universities in Tanzania? uniRank tries to answer this question by publishing the 2020 Tanzanian University Ranking of 32 Tanzanian higher-education institutions meeting the following uniRank selection criteria: being chartered, licensed or accredited by the...
  18. J

    JamiiForums Tanzania Kushabikia siasa za upinzani Tanzania yakupasa uwe na moyo kama wa Mwendawazimu

    Mosi, hakuna Tume huru ya uchaguzi Pili, uchaguzi wa madiwani unasimamiwa na makada wa CCM Tatu, matumizi ya ruzuku kwa vyama vya upinzani hayaeleweki Nne, vyama vya upinzani havifanyi uchaguzi wa viongozi wao mfano Wenyeviti ni kama wa kudumu. Tano, ukiwa mbunge ni lazima kuchangia fedha za...
  19. Nazi Nakaranga

    JamiiForums Tanzania TTCL kupata fursa ya kupeleka internet nchini Burundi, wewe kama mtumiaji wa internet unaonaje huduma hapa nchini?

    Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL Corporation) na Kampuni ya Mkongo wa Taifa ya Burundi (BBS) wamesaini mkataba wa miaka 10 wenye thamani ya TZS Bil. 13.8. Burundi sasa itaanza kunufaika kwa mawasiliano ya uhakika ya simu kwa kushirikiana na Tanzania.
Back
Top Bottom