tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Ubumuntu

    Uraia Pacha Tanzania: Siasa ya Bernard Membe na hatma yake

    Salaam wanaJF! Katika kipindi kirefu sana kumekuwa na mjadala juu ya kuruhusu uraia wa nchi mbili 'dual citizenship' katika taifa letu. Mjadala huu umepamba moto sana haswa katika uongozi wa waziri Bernard Membe. Hata katika hotuba ya bajeti ya wizara mwaka 2011/2012, ndugu Membe alizungumzia...
  2. n00b

    Police Brutality in Tanzania: The World has a Right to know!

    Tanzania is slowly turning into a brutal Police state right in front of our own very eyes, yet we are doing nothing about it. Police brutality is slowly reaching unbearable limits as witnessed by us all day in and day out, yet we are all quiet about it. The audacity of the police force to beat...
  3. Mwalimu

    Mchezo wa Mieleka nchini Tanzania

    Wadau, Nakumbuka kwenye miaka ya themanini mchezo wa mieleka ulitokea kuwa maarufu sana hapa bongo. Kulikuwa na wababe kama Power Bernado, Power Vuru Mroma, Power TX Chaka, Power Bukuku na wengineo. Kuna yeyote mwenye taarifa za magwiji hawa waliishia wapi?
  4. SMU

    Ajali Tanzania: Mawazo mbadala kuhusu udhibiti wa ajali Tanzania

    Hivi karibuni na hata siku za nyuma tumeshuhudia malumbano kati ya wamiliki wa mabasi ya abiria kwa upande mmoja na serikali (Polisi, Sumatra) kwa upande mwingine juu ya ulazima wa kufunga vidhibiti mwendo (Speed Governor) kwenye mabasi. Wamiliki wa mabasi wanasema speed governor hazijasaidia...
  5. Mchaga

    Jinsi ya Kusajili kampuni katika Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Wana JF naomba mwenye taarifa za taratibu za kusajili kampuni ya madini pale nyumbani Tanzania anisaidie. Natanguliza shukrani zangu. BAADHI YA MAJIBU YALIYOTOLEWA NA WADAU: === === === ===
  6. zomba

    Asili ya jina Tanzania na mwasisi wake: Mohammed Iqbal Dar

    Jee ni kweli Mohamed Iqbal Dar, mwenye asili ya kihindi, aliyekuwa akiishi Tanga, mnamo mwaka 1964 ndiye aliipa nchi yetu jina zuri la "Tanzania". Kama ni kweli huyu mtu yuko wapi kwa sasa? Na serikali yetu inaweka kumbu-kumbu gani za kihistoria kwa huyu mtu kwa vizazi vijavyo? ili vipate...
  7. BAK

    Utapeli wa CIS: Serikali ya Tanzania yaanza kuajiri kampuni binafsi ili kukusanya madeni ya wadai 916 ikiwemo wafanyabiashara

    Wakuu, Baada ya oparesheni dhidi ya ufisadi katika BoT, Serikali sasa inaelekeza juhudi kwenye kashfa ya Import Support Scheme, ambako yen Bilioni 16.6 (takriban shilingi bilioni 180) zilitoweka. Wizara ya Fedha imeamua kuajiri kampuni binafsi za ukusanyaji madeni ili kuwadai wadaiwa 916...
Back
Top Bottom