tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. elivina shambuni

    JamiiForums Tanzania Mitungi ya gesi sasa kuundwa nchini Tanzania

    KAMA unatumia mtungi wa gesi ya kupikia nyumbani kwako, basi fahamu kwamba mtungi huo umeundwa nje ya nchi. Lakini muda si mrefu, mitungi ya aina hiyo itaanza kutengenezwa Tanzania na gharama zake zinatarajiwa kuwa nafuu kuliko ilivyo sasa. Akizungumza katika Maonesho ya Viwanda Mkoani Pwani...
  2. Geza Ulole

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mining and oil and gas reforms, a comparison between Kenya and Tanzania

    Since many Kenyans are mocking the gains to the Government of Tanzania from the agreement between government and Barrick Gold, it's time to see how Kenya fairs in relation to Tanzania. Munyes: Sh300bn Turkana oil deal to remain secret Poor left out of mining profits as 'resource curse' hits...
  3. Wangari Maathai

    JamiiForums Tanzania Jinsi Wakenya wanavyotajirika na pumba za karanga za Tanzania

    Hii ni kwa wale wanaopenda maisha bora! Hawa Wakenya jamani mimi kila week nawaona huku; wanakuja na gari wanasomba pumba nyingi kweli kweli wanapeleka kwao, lakini nimejaribu kuwahoji wanaishia kuniambia endeleeni kulialia tu😭...! Wanatudharau sana pia! Pia, wanachukua karanga kwa wingi sana...
  4. figganigga

    JamiiForums Tanzania Achana na Tanzania, hawa ndio marais waliobadili Katiba zao ili Wasiondoke Madarakani

    Habari zenu wakuu, Hivi karibu kuna Mkulima alienda Mahakamani hapa Tanzania ili kuomba Katiba ibadilishwe ili rais Magufuli aendelee kutawala ili amalizie Miradi yake aliyoianzisha. Rais Magufuli kafanyia makubwa hii nchi kwa kipindi kifupi. Je hawa marais waliobadilisha katiba zao...
  5. Influenza

    JamiiForums Tanzania Barrick na Tanzania waunda Kampuni ya ubia iitwayo Twiga Minerals na Serikali itamiliki asilimia 16

    Waziri wa Mambo ya Nje, Prof Palamagamba Kabudi ametangaza leo kuwa Serikali kwa kushirikiana na Barrick Gold Corporation wameunda kampuni ya ubia inayoitwa Twiga Minerals Corporation. Katika kampuni hiyo Serikali ina hisa asilimia 16 na Barrick asilimia 84. ====== Baada ya mgogoro uliodumu...
  6. Mshana Jr

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania ya mitandaoni

    *1.Tanzania; Una mgonjwa mahututi ndani lakini unamuacha ili uwahi mazishi ya mtu aliekufa ambae hata sio ndugu yako!* *2. Tanzania; Mgeni akija nyumbani anakula vyakula vizuri kuliko familia yako na anatumia vyombo vizuri kuliko familia yako.* *3. Tanzania; Ukiugua Ukaomba michango utibiwe...
  7. WKawishe

    JamiiForums Tanzania Cctv camera installation Arusha

    CCTV INSTALLATION We are dealing with; ✴CCTV Camera Installation and Repair ✴LAN Installation ✴Computer Service & Repair ✴Electrical Fence Installation Also we can connect CCTV camera directly to your mobile phone. ️ Contract us : 📶0716128815 (Call & WhatsApp 24/7) Location: Arusha
  8. Influenza

    JamiiForums Tanzania Shirika la Afya Duniani (WHO): Tanzania hakuna Ebola

    SHIRIKA la Afya Duniani (WHO) na Kitengo cha Kupambana na Magonjwa kutoka Marekani (CDC), wamethibitisha kuwa Tanzania hakuna mlipuko wa ugonjwa wa ebola. Uthibitisho huo umekuja baada ya Serikali ya Tanzania kupitia Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, kuruhusu kuchukua...
  9. Parable

    JamiiForums Tanzania WHO investigating possible unknown illness in Tanzania

    Habari za asubuhi wanajamvi. Wajuaji wa mambo naomba tujuzane kama hili Lina ukweli. Kwanini hili Swala linafanywa siri? ======= Brazzaville, 12 September 2019 – The World Health Organization (WHO) is aware of a rumour related to the death of a person due to an unknown illness in Tanzania. We...
  10. Kingsmann

    JamiiForums Tanzania WCB na mikataba ya ajabu: Ndio maana muziki wa Tanzania hauendelei

    Ukiambiwa Harmonize alikuwa amesainiwa kwa miaka 15 masikio yatapokea hiyo sauti lakini akili itakataa kuamini au kuelewa hicho ilichopokea toka masikioni. Yani mkataba wa kazi wenye muda wa MUONGO NA NUSU? Tungekuwa ulaya tungeuita ni "CONTRACT FROM HELL". Tuseme alisainiwa ana miaka 20, ina...
  11. K

    JamiiForums Tanzania Tanzania kinara katika udahili wa wanafunzi elimu ya awali barani Afrika

    IMEELEZWA kuwa Tanzania ni kinara katika suala la udahili wa wanafunzi katika elimu ya awali barani Afrika na hivyo kuifanya kupiga kubwa katika utekelezaji wa maelengo ya maendeleo endelevu (SDGs). Mafanikio hayo yanatokana na serikali kutoa elimu bure bila malipo ambao umechangia kuongeza...
  12. Invisible

    JamiiForums Tanzania JF Exclusive: Mauritius Leaks name Tanzania companies in tax avoidance

    By JF Reporter FORGET about Panama and Paradise Papers, now it is Mauritius Leaks, which have emerged to contain four - at least for now, Tanzania’s companies that have done businesses or operating huge transactions in the tiny Indian Ocean Island in Africa. Three months investigations have...
  13. J

    JamiiForums Tanzania Je, unawakumbuka vinara wa Tume ya Katiba mpya? Ungependa tuwaombe watusaidie kufufua mchakato wa Katiba mpya?

    Nimeikumbuka kazi nzuri iliyofanywa na Tume ya katiba mpya aka Katiba ya Warioba. Kwa bahati mbaya bunge maalumu la katiba mpya lilishindwa kukamilisha mchakato huo kwa sababu ambazo hazieleweki sawa sawa. Najiuliza tu kama wale vinara wa ile tume ya Warioba bado wana moyo ule ule mkunjufu na...
  14. Rockefeller

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio nchi 10 pekee Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya Serikali.

    Habari za wakati wanajamvi, Leo nimekuja kwenu na orodha ya nchi 10 Afrika ambazo hazijawahi kuwa na mapinduzi ya serikali ya aina yoyote. Nchi nyingi za kiafrika baada ya uhuru ziliangukia katika wimbi kubwa la mapinduzi ya serikali zilizoachwa na wakoloni, kwa kipindi hicho sababu kuu za...
  15. AKILI TATU

    JamiiForums Tanzania Tanzania vs Zimbabwe | Live Streaming Link

    Jameni linki hii hapo kwa mabo hamuna Azam TV ..nasikia pia kumbe haitaonyeshwa Azam TV\ So link hii hapo chini kwa live streaming Tanzania vs Zimbabwe | Live Streaming Link
  16. Abebi

    JamiiForums Tanzania Most powerful Military in Africa 2019 (Strongest And Best)

    Well, we know many of you world like to know the most powerful military in Africa right? And if you don’t know some countries are powerful than the others in Africa now you know. Below you will find ten countries that are most powerful in Africa, in the others words countries with the best...
  17. juctn Mt

    JamiiForums Tanzania Mradi wa reli ya kisasa (SGR), mwamba wa changamoto za usafirishaji nchini

    MAY 27, 2019 HABARI, Na Paschal Dotto-MAELEZO Ni Takribani Miaka 120 ambapo historia iliandikwa, mwaka 1912, Serikali ya Kikoloni nchini iliamua kuimarisha sekta ya usafirishaji Kwa kujenga Reli, ambapo njia zake ziliunganisha Miji hasa maeneo ya kilimo, uzalishaji na kibiashara, reli kuu...
  18. winnerian

    JamiiForums Tanzania Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls

    Tanzania's China-backed $10bn port plan stalls Thursday May 23 2019 IN SUMMARY In 2013, Tanzania signed a framework agreement with China Merchants Holdings International to build the port and a special economic zone. But Tanzaia says the conditions given are not economically viable, hence it...
  19. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Habari njema kwa Diaspora wa Tanzania, Wale ambao hawajajilipua, kuwekewa utaratibu, kupiga kura-Waziri Mkuu

    Wanabodi, Kuna habari njema kwa Diaspora wetu, wale Diaspora ambao wako ughaibuni na hawajajilipua, watawekewa utaratibu kuwawezesha kupiga kura. Hayo yamebainishwa leo Bungeni katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambao mbunge fulani za Zanzibar aliuliza ni lini wana...
  20. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Bendera ya Taifa: Kwanini wananchi hawako huru kuibeba au kuitumia?

    Nianze na swali: Hivi unaweza kupeperusha bendera ya taifa mahali uishipo hata ikiwa wewe si kiongozi mtaani? Nakumbuka wimbo ufuatao tuliimba chekechea, ile iliyoko pale karibu na 'Holofea' kama tulivyozoea kupatamka: Bendera ya Tanzania, Ndio ya kujivunia, Ilianza kupepea, Mwaka sitini na...
Back
Top Bottom