tanzania

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
  1. Pascal Mayalla

    JamiiForums Tanzania Habari njema kwa Diaspora wa Tanzania, Wale ambao hawajajilipua, kuwekewa utaratibu, kupiga kura-Waziri Mkuu

    Wanabodi, Kuna habari njema kwa Diaspora wetu, wale Diaspora ambao wako ughaibuni na hawajajilipua, watawekewa utaratibu kuwawezesha kupiga kura. Hayo yamebainishwa leo Bungeni katika kipindi cha maswali ya papo kwa papo kwa Waziri Mkuu, ambao mbunge fulani za Zanzibar aliuliza ni lini wana...
  2. Mlenge

    JamiiForums Tanzania Bendera ya Taifa: Kwanini wananchi hawako huru kuibeba au kuitumia?

    Nianze na swali: Hivi unaweza kupeperusha bendera ya taifa mahali uishipo hata ikiwa wewe si kiongozi mtaani? Nakumbuka wimbo ufuatao tuliimba chekechea, ile iliyoko pale karibu na 'Holofea' kama tulivyozoea kupatamka: Bendera ya Tanzania, Ndio ya kujivunia, Ilianza kupepea, Mwaka sitini na...
  3. BAK

    JamiiForums Tanzania Mkurugenzi TPA: Mkataba wa Ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo ungeifilisi Tanzania

    Bandari ya Bagamoyo ingefilisi, kuuza nchi Sunday May 19 2019 Kwa ufupi Pamoja na kusamehewa kodi na ushuru mbalimbali kama zile za lazima kisheria, kulipwa fidia ya hasara ya kibiashara watakayopata kwa mujibu wa mahesabu yao, mwekezaji pia aliweka sharti la kuachiwa ajipangie bei ya kuwatoza...
  4. isajorsergio

    JamiiForums Tanzania Education need an update similar to operating systems.

    Education seriously needs an update, It still teaches us the things that have already been made easier to do. It feeds in information instead of bringing out ideas. Creative education is almost gone, nobody talks about creativity and innovation. If a doctor gives the patient of cholera, the...
  5. Tanzania Railways Corp

    JamiiForums Tanzania Zijue faida za mradi wa ujenzi wa reli ya kisasa – SGR kipindi cha ujenzi na mara baada ya ujenzi kukamilika

    Kupitia sera ya kitaifa na mkakati wa nchi kufikia uchumi wa kati ifikapo mwaka 2025 ni Dhahiri na lazima kwa taifa kuwa na miundombinu imara. Ujenzi wa reli ni nguzo kubwa katika kuchochea na kupunguza gharama na muda wa safari kwa abiria na mizigo. Mataifa yenye nguvu duniani yamejengwa na...
  6. C

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania yasitisha ujenzi wa bandari kubwa Africa, Bagamoyo Port

    Niamnini nchi yetu ni kichwa cha mwendawazimu, we do have leaders with no creative ====== Tanzania Pushes Back on Chinese Port Project China’s Maritime Silk Road ambitions suffered a setback after Tanzanian officials refused to budge over stalled negotiations to build what would be the...
  7. Mpinzire

    JamiiForums Tanzania China na Tanzania zashindwa kuafikiana kwenye ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo, Ujenzi wakwama

    Serikali imesitisha mazungumzo na wawekezaji katika Bandari ya Bagamoyo, Mradi ambao ungegharimu Tsh. Trillion 23. Wawekezaji katika mradi huo walikuwa ni China Merchant Holdings International Limited (CMHI) na State General Reserve Fund (SFRF) ya Oman. ====== The government admitted yesterday...
  8. Dee david

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Uber kenya

    Ni pesa gapi ambayo ni mrejesho wa madera kwa ma boss zao huko Kenya
  9. MK254

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tanzania govt admits, no progress on Bagamoyo port project

    Dodoma. The government admitted yesterday that it has not made progress with the implementation of Bagamoyo port project because of failing to reach an agreement with Oman and China, who are the project implementing partners. In November, 2017, Oman’s State General Reserve Fund (SGRF) announced...
  10. M-mbabe

    JamiiForums Tanzania Tanzania USA Diaspora's Fundraising Appeal for Mr. Tundu Lissu

    FUNDRAISING APPEAL FOR MR. TUNDU LISSU This is an appeal to help meet the medical expenses and living costs for Hon. Tundu Antiphas Lissu and his family. A prominent opposition politician and member of the Tanzanian Parliament, The Chief Whip for Tanzania main opposition, and former...
  11. Kaka Pekee

    JamiiForums Tanzania Huyu Kamanda wa Jeshi anatukera sana wakazi wa Mbezi

    Habari wana jamvi, Kwa wale wakazi wenzangu wa Mbezi Beach, Kunduchi, Goba na watumiaji wa barabara ya Bagamoyo kwa ujumla bila shaka Mtakuwa mmekutana na huyu Kamanda wa Jeshi (Chief of Staff) ambaye kuanzia majira ya kila siku Asubuhi 12:30- 1:00 hutugandisha kwenye foleni kwa muda mrefu kila...
  12. Kaka Pekee

    JamiiForums Tanzania Bongo hakuna malipo bila malalamiko!

    Wastaafu wa iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki. Ukiongea nao wanadai walipunjwa malipo. Baadhi waliofariki kabla ya kulipwa, warithi wao wanakuambia hawakuambulia kitu na waliolipwa mlolongo wa malipo kwao ulikuwa mkubwa kuliko. Upanuzi wa barabara, viwanja vya ndege. Wahanga wa mabomu...
  13. Kaka Pekee

    JamiiForums Tanzania Is Tanzania discarding Nyerere’s freedom-fighting legacy?

    Tanzania Palestine: Former Palestinian leader Yasser Arafat with Tanzania’s former President Julius Nyerere. Tanzania’s stance on Palestine suggests its history of fighting global injustice could be making way for a more pragmatic “economic diplomacy”. In November 2018, representatives of...
  14. Stano

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Agriculture: Kenya vs Tanzania

    Facts: Kenya is roughly half the size of TZ and is mostly semi-arid. TZ definitely has more than twice Kenya's land under crop production. 1) Crop Production Tanzania is big on low-value traditional food crops such cassava, sweat potato, maize, beans. Kenya is big on high-value cash crops such...
  15. Squidward

    JamiiForums Tanzania Hivi Tanzania kuna hospitali inayotoa huduma ya kuchoma sindano ya sumu kwa hiyari kama ilivyo ughaibuni?

    Kama tunavyoona nchi za wenzetu hiki kitu kipo sana mfano kupitia yule mtanzania mwenzetu aliyechomwa sindano ya kifo huko ujerumani baada ya kushindwa kuvumilia tabu za ugonjwa alioupata , je Tanzania zipo hospitali za namna hii? Na je sheria zetu zinaruhusu hii? REFFER...
  16. M

    JamiiForums Tanzania Tanzania Foreign Policy & strategy | Diaspora

    Serikali | Tanzania, pamoja ya kuwa inafanya vyema, lakini much more have to be done. Inabidi, Serikali | Tanzania i re calibrate sera zake za nje. Pia serikali |Tanzania inapaswa kufanya kazi na wananchi wake kwa ujumla wao walio ndani na nje(Diaspora). Tanzania ijitoe kwenye position ya...
  17. Mimi Youtuber

    JamiiForums Tanzania NATAFUTA WATU WENYE FILAMU ZA KIBONGO *BIASHARA*

    JE UNAMILIKI FILAMU KUANZIA 20 NA KUENDELEA tafadhali ni inbox au email maige.kenneth22@gmail.com NB: Naomba zisiwe YOUTUBE
  18. Zitto

    JamiiForums Tanzania Tanzania imetimiza hatua zote 4 kuwa nchi ya kidikteta

    Dikteta huchukua hatua kadhaa kupandikiza utawala wa Imla - Zitto Kabwe (Andiko la July, 2016 na uhariri kidogo 2018. Uhariri tena mdogo Jan, 2019 ) Hupambana na Wafanyabiashara wakubwa ' matajiri ' ili kuweka matajiri wake wapya watakaokuwa msaada kwake. Rais Putin wa Russia alifanya hili...
  19. PAN OCEANIC INSURANCE

    JamiiForums Tanzania PAN OCEANIC INSURANCE BROKERS IS LOOKING FOR AGENTS ALL OVER #TANZANIA

    OPPORTUNITIES PAN OCEANIC INSURANCE BROKERS IS LOOKING FOR AGENTS ALL OVER #TANZANIA We are an established business with a rich 18-year history, focus on modernizing insurance sales and customer service by providing our team with the best and most up to date technologies Be your own boss and...
  20. Mawio

    JamiiForums Tanzania Gari aina ya toyota landcruiser inahitajika!!!..

    Wakuu, salaam!!!.. Ninahitaji used Landcruiser Hardtop, Pickup, Station wagon au Van, iwe na engine ya 1Hz, (engine tofauti na 1Hz tunaweza angalia uwezekano wa mazungumzo pia), iwe katika hali nzuri. Mwenye nayo ani-cheki inbox au kwa namba hii +255788246790 Bajeti/Pesa niliyonayo mkononi ni...
Back
Top Bottom