Hivi baada ya Japhet Kaseba kuachana na kickboxing ndio mchezo huo umekufa kabisa Tanzania?

N'yadikwa

JF-Expert Member
Aug 10, 2014
6,825
9,533
Wale wapenzi wa Kickboxing tunakosa uhondo yaani huyu jamaa hakuacha legacy kabisa ya mchezo huu. Masumbwi ni eneo ambalo binafsi naamini Watanzania tunaweza kutoka uzuri, tukomae.


Kaseba.jpg
 
Back
Top Bottom