samakinchanga
JF-Expert Member
- Aug 24, 2014
- 2,014
- 1,218
acha ujinga,katika mikeka ligi zilizobaki ni ligi ya tanzania,ligi ya urusi na ligi ya uturuki tu,unataka wana wazee wa kubeti wakale wapi,polisi au????Kama TFF wanashindwa kuchukua hatua hiyo mapema basi Waziri Mwakyembe unatakiwa kuchukua jukumu hilo. Si hivyo tu, serikali itangaze kufuta sherehe zote ikiwa ni harusi, unyago na mikusanyiko yote kwa ujumla.
Kwa muda huu tulio nao tunaomba shule zote za msingi na sekondari mkoani Arusha kufungwa kwa muda.
Hayo ni maoni yangu.
Hata hivyo watakao furahi ligi kusimama ni utupolo fc, kama ilivyo kwa Man U EPLKwa mtazamo wa kishabiki mikia watasema wewe ni yanga.
Mbona kujihami mapemaKwa mtazamo wa kishabiki mikia watasema wewe ni yanga.
Hapo utopolo fc lazima wakupe likeMi nilishauri mapema waJF mkakaa kimya mkawa mnaupita tu ujumbe huu sasa yametokea haya sasa ligi ifutwe tu tuanze upya mwakani