Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ni nchi inayopatikana Afrika Mashariki. Jina "Tanzania" lilipatikana baada ya nchi mbili; Tanganyika na Zanzibar kuungana.
Traffik Tanzania ni wajinga na wapumbavu. Nasema hivyo kwasababu hawajui wanachokifanya. Nipo mataa ya mwenge toka saa 11 jion na sasa ni saa 1 usiku. (31 oct 2019)
Traffik wewe mpumbavu unaruhusu gari za kutoka mjini kwenda Tegeta na kusababisha foleni ndefu sana ya magari yanayotokea ubungo...
ICT OFFICER I (Data Scientist/Engineer)- 6 Positions
The Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA) is a quasi-independent Government body responsible for regulating the Communications in Tanzania. It was established under the Tanzania Communications Regulatory Act No. 12 of 2003 to...
Kama unaona Kenya au Tanzania ipo juu katika upande wa music and entertainment market, let us know with evidence na nchi gani musiki unalipa kati ya hizo nchi mbili.
Nipo kwenye sehemu hapa kuna watu wanabishana eti ni kabila gani hapa tanzania lenye vijana ambao
wabunifu,wenye akili sana na wenye vipaji vya ugunduzi wa vitu.....
Mfano / kuna wanasema sisi kabila ...yy tumegundua vitu xx
jee wewe unasemajee
Wakati serikali hii ya Rais Magufuli inajisifia kununua ndege na white elephant projects nyingine, World Bank wametoa ushauri kuwa mkazo uwe kwenye elimu na afya ili kuboresha human resources.
Jisomee hapa:
====
Tanzania Needs to Urgently Invest in the Health and Education of its Youth – New...
Jobs in Tanzania: New Job Vacancies at VODACOM Tanzania, 2019
AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019
Position: Administrator: M-PESA Agents - MPESAN
JOB PURPOSE
The M-PESA Agent Administrator will be responsible to assist the M-PESA support Managers deliver against M-PESA revenue targets...
New Internships Vacancies at International Organization for Migration (IOM) - Tanzania | Deadline: 06th November, 2019
AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019
CVAC Intern - [1 Position] Dar es Salaam, United Republic of Tanzania]
TERMS OF REFERENCE
I. POSITION INFORMATION
Vacancy...
Asalam wakuu
Kwa wale waliobahatika kusoma elimu ya sekondari nchini mwetu kuna somo moja la historia, ndani yake kuna sura moja maarufu ya harakati za kudai uhuru barani Afrika ikiwemo Tanzania/Tanganyika.
Harakati hizi zilichochewa na sababu kadhaa za ndani ya nchi na nje ya nchi, mojawapo...
Piga kura kuchagua jina linalofaa kwa sayarinje ya Tanzania
Sayarinje ni sayari zinazozunguka nyota ambazo zipo nje ya mfumo wa Jua.
Tanzania tumepewa fursa ya kuipa jina sayarinje mojawapo iliyogunduliwa karibuni.
Wanafunzi wa shule na wanavikundi mbalimbali wameshindanishwa kupendekeza...
TANZANIA imeshika nafasi ya saba, katika nchi 20 zenye mazingira bora ya uwekezaji barani Afrika. Anaripoti Faki Sosi .
Akizungumza na wanahabari leo tarehe 28 Oktoba 2019, Geofrey Mwambe, Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Uwekezaji nchini (TIC) amesema, utafiti huo huria uliofanywa na Kampuni...
Tanzania Q2 GDP growth rises to 7.2 pct v 6.1 pct -statistics bureau
(Reporting by Fumbuka Ng’wanakilala Editing by Maggie Fick)
Huwezi ukabeza juhudi za JPM anayeongoza Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania chini ya chama shupavu cha CCM.
Hapa Kazi Tu.
===
Tanzania Q2 GDP growth...
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
PRESIDENT’S OFFICE
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT
Ref.No.EA.7/96/01/K/96 25th October, 2019
VACANCIES ANNOUNCEMENT
On behalf of Tanzania Civil Aviation Authority (TCAA), Public Service Recruitment Secretariat invites qualified Tanzanians to fill 16 vacant...
Jobs in Tanzania 2019: New Volunteering Opportunities at SNV Tanzania, 2019
AJIRA TANZANIA 2019 / NAFASI ZA KAZI 2019
Job Title: Volunteers (8 Posts)
Job Summary
The volunteers will be placed at project boundary partners’ stations in the dairy and sunflower markets systems. The boundary...
Na tarehe husika ya hiyo ‘ Aibu ‘ ni ama tarehe 1 Novemba au tarehe 3 Novemba huko nchini Misri. Na labda mapema tu hii tuanze Kuiomba Serikali kupitia Wizara husika ya Michezo ianze Kuwaandaa Watanzania ‘ Kisaikolojia ‘ na ikiwezekana hao ‘ Mabalozi ‘ wetu watakasafiti kututia ‘ Aibu ‘ huko...
Nasubiri Bandari Kubwa ya Lamu izuie Bandari Ndogo za Dar na Mombasa: Namna Maarifa Madogo Yanavyoiua Bandari ya Bagamoyo na Kuifaidisha Kenya
Kumekuwa na mijadala mikali kuhusu Mradi wa Eneo la Kiuchumi la Bagamoyo. Mjadala huo wenye malumbano ya kurushiana shutuma umekuwa mjadala mbovu sana...
Mwanariadha Alphonce Simbu amefanikiwa kushinda medali hiyo katika Mashindano ya Majeshi ya Dunia yanayoendelea nchini China.
Mwanariadha huyo ambaye ni Mwanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania, alikimbia Marathon kwa saa 2:11:16 huku akiwashinda wakimbiaji wengine 95 kutoka nchi...
Oil dealers now prefer Dar es Salaam to Mombasa port
By OTIATO GUGUYU
The $60 tariff per 1,000 litres on transported fuel through Kenya Pipeline is costing Kenya revenue as landlocked countries turn to Tanzania’s Central Corridor.
The value of Kenyan petroleum exports have dropped...
SERIKALI ya Tanzania imelaani vikwazo vya kiuchumi vilivyowekwa na Serikali ya Marekani dhidi ya Cuba na Zimbabwe kwa sababu vinadhoofisha biashara, uwekezaji na ustawi wa wananchi na imetaka vikwazo hivyo viondolewe.
Tamko hilo limetolewa (Jumamosi, Oktoba 26, 2019) na Waziri Mkuu Kassim...
Habari wakuu
Mada hapo juu yahusika..Binafsi ukiacha Tanzania nchi zifuatazo napenda kuishi mazima
1.Canada,
Naipenda tuu kwa kuwa huwa sisikii matukio yoyote ya ubaguzi kuuana vurugu za kisiasa nk.Kiufupi napenda sana Canada hata uchumi uko stable
2.Australia
Hii nayo ina sifa kama za Canada...
Huyu ni Naibu Waziri wa Wizara ya Mali Asili na Utali. Ni mmoja wa wanasiasa smart hapa Tanzania asiyekuwa na maneno mengi yeye ni Hapa kazi tu.
Hongera sana Mheshimiwa Kanyasu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.