Tanzania ina mambo ya ajabu sana; Uhamiaji inanyima watu wanaotusaidia uchumi work permits, wanapofunga ofisi na kuaga Serikali inawaomba wasiondoke!

Synthesizer

JF-Expert Member
Feb 15, 2010
11,143
18,774
Niliwahi kusema humu JF kwamba Tanzania ina mambo ya ajabu sana kuhusiana na utoaji wa work na residence permits hata kwa watu ambao ni wawekezaji, japo kila siku tunapiga kelele eti kuvutia wawekezaji.

Wawekezaji wanapokuja wanapata shida sana kupewa work au residence permits. Kuna wawekezaji Tanzania wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wengine hata kuoa au kuolewa na Watanzania lakini bado wananyimwa permanent residence permits.

Kuna wageni toka nje wenye utaalamu wengi sana Tanzania ambao wameoa au kuoelwa na Watanzania na kuwa na familia, lakini hata hawa hawaruhusiwi kufanya kazi nchini kwa ajili ya kutunza familia zao, wananyimwa work permits japo ni wake au waume wa Watanzania na serikali inasema haiwatambui kama wakazi wa kudumu nchini!

Hivi kweli kweli kuna watu na akili zao serikalini na huko Uhamiaji na hawaoni kuna tatizo hapa?

Kichekesho cha mwaka ni hili la hii NGO ya WUSC kutoka Canada. Wao walikuwa na ofisi nchini kusaidia na kutoa mafunzo kwa watu na taasisi mbalimbali nchini na hata za serikali. Wamekuwa na mchango mkubwa sana taasisi kama Chamber of Commerce (Women), Umoja wa Wakulima wadogodogo nchini (MVIWATA), Umoja wa Wajasiliamali wa Wahitimu wa Chuo Cha Sokoine (SUGECO) nk,

Lakini cha ajabu ni kwamba kila WUSC walipokuwa wanaomba vibali vya kazi kwa ajili ya wataalamu wao, Uhamiaji walikuwa wakiwakatalia na kuwakwamisha kwa sababu za kijinga kabisa. Ilifikia mahali uamuzi ukatolewa kwamba kwa sababu ya kukataliwa kupewa vibali basi ofisi ya WUSC nchini ifungwe.

Sasa siku ya kufunga rasmi ofisi ya WUSC, mgeni rasmi akawa Ofisa kutoka Wizara ya KIlimo. Hapo ndipo akawa anamwaga sifa kwa kazi iliyofanywa nchhini na WUSC na kuwaomba eti wasifunge ofisi na kuondoka!

Hivi Tanzania tuna watendaji wa namna gani lakinini? Kwa nini tunafanya mambo haya ya kijinga na kipumbavu kabisa - kama anavyosema Magufuli!

Hebu angalia ujumbe toka serikalini wakati WUSC wanafunga ofisi kwa kunyimwa work permits

1584436642440.png
1584436745622.png


Ujumbe huu nataka uwafikie Raisi Magufuli na Waziri wa Mambo ya Ndani Simbachawene, kwamba kama kweli tunataka kuipeleka mbele Tanzania, tuache kabisa utendaji kama huu ambao ni mambo ya kijinga na kipumbavu ambayo hayawezi kufanywa na watu wenye akili timamu.

Source: IPPMedia
Govt simplifies issuance of work permits to attract more investments
 
Kazi kweli kweli
Hawa jamaa wamefanya kazi kubwa sana
Wamefanya mambo mazuri sana nchini. KUna wakati nilidhani wanakuwa wanamsoma Magufuli kujua nchi inahitaji nini. Leo nasikia eti wanafunga ofisi kwa kuwa Uhamiaji wamekuwa wakiwanyima work permits! Sikuamini nilichoona. Tuna watu wapumbavu na wajinga sana kama watendaji serikalini.
 
Wamefanya mambo mazuri sana nchini. KUna wakati nilidhani wanakuwa wanamsoma Magufuli kujua nchi inahitaji nini. Leo nasikia eti wanafunga ofisi kwa kuwa Uhamiaji wamekuwa wakiwanyima work permits! Sikuamini nilichoona. Tuna watu wapumbavu na wajinga sana kama watendaji serikalini.
Jamaa yangu anafanya kazi huko
Hana hii taarifa mbona?
Au ndio inatokea kimya kimya?
 
Niliwahi kusema humu JF kwamba Tanzania ina mambo ya ajabu sana kuhusiana na utoaji wa work na residence permits hata kwa watu ambao ni wawekezaji, japo kila siku tunapiga kelele eti kuvutia wawekezaji.

Wawekezaji wanapokuja wanapata shida sana kupewa work au residence permits. Kuna wawekezaji Tanzania wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wengine hata kuoa au kuolewa na Watanzania lakini bado wananyimwa permanent residence permits. Kuna wageni toka nje wenye utaalamu wengi sana Tanzania ambao wameoa au kuoelwa na Watanzania na kuwa na familia, lakini hata hawa hawaruhusiwi kufanya kazi nchini kwa ajili ya kutunza familia zao, wananyimwa work permits japo ni wake au waume wa Watanzania na serikali inasema haiwatambui kama wakazi wa kudumu nchini!

Hivi kweli kweli kuna watu na akili zao serikalini na huko Uhamiaji na hawaoni kuna tatizo hapa?

Kichekesho cha mwaka ni hili la hii NGO ya WUSC kutoka Canada. Wao walikuwa na ofisi nchini kusaidia na kutoa mafunzo kwa watu na taasisi mbalimbali nchini na hata za serikali. Wamekuwa na mchango mkubwa sana taasisi kama Chamber of Commerce (Women), Umoja wa Wakulima wadogodogo nchini (MVIWATA), Umoja wa Wajasiliamali wa Wahitimu wa Chuo Cha Sokoine (SUGECO) nk,

Lakini cha ajabu ni kwamba kila WUSC walipokuwa wanaomba vibali vya kazi kwa ajili ya wataalamu wao, Uhamiaji walikuwa wakiwakatalia na kuwakwamisha kwa sababu za kijinga kabisa. Ilifikia mahali uamuzi ukatolewa kwamba kwa sababu ya kukataliwa kupewa vibali basi ofisi ya WUSC nchini ifungwe.

Sasa siku ya kufunga rasmi ofisi ya WUSC, mgeni rasmi akawa Ofisa kutoka Wizara ya KIlimo. Hapo ndipo akawa anamwaga sifa kwa kazi iliyofanywa nchhini na WUSC na kuwaomba eti wasifunge ofisi na kuondoka!

Hivi Tanzania tuna watendaji wa namna gani lakinini? Kwa nini tunafanya mambo haya ya kijinga na kipumbavu kabisa - kama anavyosema Magufuli!

Hebu angalia ujumbe toka serikalini wakati WUSC wanafunga ofisi kwa kunyimwa work permits

View attachment 1390930View attachment 1390934

Ujumbe huu nataka uwafikie Raisi Magufuli na Waziri wa Mambo ya Ndani Simbachawene, kwamba kama kweli tunataka kuipeleka mbele Tanzania, tuache kabisa utendaji kama huu ambao ni mambo ya kijinga na kipumbavu ambayo hayawezi kufanywa na watu wenye akili timamu.

Source: IPPMedia
Govt simplifies issuance of work permits to attract more investments
WOte ni wapumbavu hao walikuwa wanatengeneza mazingira ya rushwa.

Hawana lolote walimuacha isabela ameenda ubelgiji amerudi na korona wapo wapo tu na inabidi hii korona iwakamte wampelekee hata bosi wao ili wakoma na watie akili
 
Nao wanaogopa kutumbuliwa labda si unajua kila kitu ni maagizo toka juu.Waambie wapande juu wasifunge ofis
 
Watapewa uchaguzi ukiisha, kwa sasa wanaogopwa mabeberu ni maagizo ya ccm hawataki taasisi zenye pesa ya mabeberu wanaweza kutumika kuisaidia CHADEMA.
 
Mleta mada lazima utofautishe kati ya work permit na resident permit.

uhamiaji wanatoa resident permit na Wizara ya kazi kwa kupitia kamishna wa kazi ndio wanatoa work permit

ili kupata work permit ni lazima upate resident permit kwanza

hivyo uhamiaji hawahusiki na work permit.
Niliwahi kusema humu JF kwamba Tanzania ina mambo ya ajabu sana kuhusiana na utoaji wa work na residence permits hata kwa watu ambao ni wawekezaji, japo kila siku tunapiga kelele eti kuvutia wawekezaji.

Wawekezaji wanapokuja wanapata shida sana kupewa work au residence permits. Kuna wawekezaji Tanzania wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wengine hata kuoa au kuolewa na Watanzania lakini bado wananyimwa permanent residence permits. Kuna wageni toka nje wenye utaalamu wengi sana Tanzania ambao wameoa au kuoelwa na Watanzania na kuwa na familia, lakini hata hawa hawaruhusiwi kufanya kazi nchini kwa ajili ya kutunza familia zao, wananyimwa work permits japo ni wake au waume wa Watanzania na serikali inasema haiwatambui kama wakazi wa kudumu nchini!

Hivi kweli kweli kuna watu na akili zao serikalini na huko Uhamiaji na hawaoni kuna tatizo hapa?

Kichekesho cha mwaka ni hili la hii NGO ya WUSC kutoka Canada. Wao walikuwa na ofisi nchini kusaidia na kutoa mafunzo kwa watu na taasisi mbalimbali nchini na hata za serikali. Wamekuwa na mchango mkubwa sana taasisi kama Chamber of Commerce (Women), Umoja wa Wakulima wadogodogo nchini (MVIWATA), Umoja wa Wajasiliamali wa Wahitimu wa Chuo Cha Sokoine (SUGECO) nk,

Lakini cha ajabu ni kwamba kila WUSC walipokuwa wanaomba vibali vya kazi kwa ajili ya wataalamu wao, Uhamiaji walikuwa wakiwakatalia na kuwakwamisha kwa sababu za kijinga kabisa. Ilifikia mahali uamuzi ukatolewa kwamba kwa sababu ya kukataliwa kupewa vibali basi ofisi ya WUSC nchini ifungwe.

Sasa siku ya kufunga rasmi ofisi ya WUSC, mgeni rasmi akawa Ofisa kutoka Wizara ya KIlimo. Hapo ndipo akawa anamwaga sifa kwa kazi iliyofanywa nchhini na WUSC na kuwaomba eti wasifunge ofisi na kuondoka!

Hivi Tanzania tuna watendaji wa namna gani lakinini? Kwa nini tunafanya mambo haya ya kijinga na kipumbavu kabisa - kama anavyosema Magufuli!

Hebu angalia ujumbe toka serikalini wakati WUSC wanafunga ofisi kwa kunyimwa work permits

View attachment 1390930View attachment 1390934

Ujumbe huu nataka uwafikie Raisi Magufuli na Waziri wa Mambo ya Ndani Simbachawene, kwamba kama kweli tunataka kuipeleka mbele Tanzania, tuache kabisa utendaji kama huu ambao ni mambo ya kijinga na kipumbavu ambayo hayawezi kufanywa na watu wenye akili timamu.

Source: IPPMedia
Govt simplifies issuance of work permits to attract more investments

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Niliwahi kusema humu JF kwamba Tanzania ina mambo ya ajabu sana kuhusiana na utoaji wa work na residence permits hata kwa watu ambao ni wawekezaji, japo kila siku tunapiga kelele eti kuvutia wawekezaji.

Wawekezaji wanapokuja wanapata shida sana kupewa work au residence permits. Kuna wawekezaji Tanzania wamekaa zaidi ya miaka kumi nchini na wengine hata kuoa au kuolewa na Watanzania lakini bado wananyimwa permanent residence permits. Kuna wageni toka nje wenye utaalamu wengi sana Tanzania ambao wameoa au kuoelwa na Watanzania na kuwa na familia, lakini hata hawa hawaruhusiwi kufanya kazi nchini kwa ajili ya kutunza familia zao, wananyimwa work permits japo ni wake au waume wa Watanzania na serikali inasema haiwatambui kama wakazi wa kudumu nchini!

Hivi kweli kweli kuna watu na akili zao serikalini na huko Uhamiaji na hawaoni kuna tatizo hapa?

Kichekesho cha mwaka ni hili la hii NGO ya WUSC kutoka Canada. Wao walikuwa na ofisi nchini kusaidia na kutoa mafunzo kwa watu na taasisi mbalimbali nchini na hata za serikali. Wamekuwa na mchango mkubwa sana taasisi kama Chamber of Commerce (Women), Umoja wa Wakulima wadogodogo nchini (MVIWATA), Umoja wa Wajasiliamali wa Wahitimu wa Chuo Cha Sokoine (SUGECO) nk,

Lakini cha ajabu ni kwamba kila WUSC walipokuwa wanaomba vibali vya kazi kwa ajili ya wataalamu wao, Uhamiaji walikuwa wakiwakatalia na kuwakwamisha kwa sababu za kijinga kabisa. Ilifikia mahali uamuzi ukatolewa kwamba kwa sababu ya kukataliwa kupewa vibali basi ofisi ya WUSC nchini ifungwe.

Sasa siku ya kufunga rasmi ofisi ya WUSC, mgeni rasmi akawa Ofisa kutoka Wizara ya KIlimo. Hapo ndipo akawa anamwaga sifa kwa kazi iliyofanywa nchhini na WUSC na kuwaomba eti wasifunge ofisi na kuondoka!

Hivi Tanzania tuna watendaji wa namna gani lakinini? Kwa nini tunafanya mambo haya ya kijinga na kipumbavu kabisa - kama anavyosema Magufuli!

Hebu angalia ujumbe toka serikalini wakati WUSC wanafunga ofisi kwa kunyimwa work permits

View attachment 1390930View attachment 1390934

Ujumbe huu nataka uwafikie Raisi Magufuli na Waziri wa Mambo ya Ndani Simbachawene, kwamba kama kweli tunataka kuipeleka mbele Tanzania, tuache kabisa utendaji kama huu ambao ni mambo ya kijinga na kipumbavu ambayo hayawezi kufanywa na watu wenye akili timamu.

Source: IPPMedia
Govt simplifies issuance of work permits to attract more investments
Wapi wameandika sababu ya kufunga ofisi?
 
Mleta mada lazima utofautishe kati ya work permit na resident permit.

uhamiaji wanatoa resident permit na Wizara ya kazi kwa kupitia kamishna wa kazi ndio wanatoa work permit

ili kupata work permit ni lazima upate resident permit kwanza

hivyo uhamiaji hawahusiki na work permit.

Sent using Jamii Forums mobile app

Unaweza kuwa right kwamba Wizara ya Kazi ndio kikwazo kwa work permits. Lakini ninachojua ni kwamba work permit ni aina ya residence permit. Ukishakuwa na work permit huhitaji tena kuomba residence permit.

Lakini suala la residence permit kwa watu waliokaa sana Tanzania au kuoa na kuolewa halina uhusiano na wizara ya Kazi
 
Mkuu ulivyoiweka ni as if work permit ndio sababu pekee ya hawa kuondoka.
Inawezekana Mkuu. KUmbuka unaweza kuwa na residence permit lakini usiruhusiwe kufanya kazi. Ila ukiwa na work permit basi hiyo ni residence permit pia.

Ukienda South Africa kwa mfano, unakuwa na residence permit ya kukaa siku 90. Lakini huna work permit huwezi kufanya kazi katika huo muda.

Ukipewa work permit ya mwaka mmoja, basi hiyo pia ni residence permit ya mwaka mmoja.
 
Mleta mad uko sahihi,kuna mkurugenzi mkuu wa NGO niliyokuwa nafanya kazi, walinyimwa Residence permit kisa tu walikuwa wanataka pesa.

Wewe ndio nimekueelewa kuliko michango ya hao waliotangulia kwa sababu nilianza kujiuliza ni lini hapa Tanzania work permit na residence permit vimekuwa adimu wakati wahindi na ngozi nyeupe yoyote walikuwa wanatuma waswahili wenzetu pale imigration na within few hours mtu anarudi ofisini na documents zote ambazo ni halali kabisa sio fake kama za Ronaldinho...hakuna mahali walikuwa wanapiga pesa kama kitengo hicho pale uhamiaji
 
Inawezekana Mkuu. KUmbuka unaweza kuwa na residence permit lakini usiruhusiwe kufanya kazi. Ila ukiwa na work permit basi hiyo ni residence permit pia.

Ukienda South Africa kwa mfano, unakuwa na residence permit ya kukaa siku 90. Lakini huna work permit huwezi kufanya kazi katika huo muda.

Ukipewa work permit ya mwaka mmoja, basi hiyo pia ni residence permit ya mwaka mmoja.
Kufunga ofisi kwasababu ya kukosa work permit inamaanisha ni idadi kubwa ya wafanyakazi wamekosa permit kiasi cha kuathiri utendaji. Ina maana hizi NGOs zimejaa wageni kiasi hicho? Mbona kuna kampuni nyingi tu zina wafanyakazi wananyimwa permit na kampuni hazifungwi?
 
Wewe ndio nimekueelewa kuliko michango ya hao waliotangulia kwa sababu nilianza kujiuliza ni lini hapa Tanzania work permit na residence permit vimekuwa adimu wakati wahindi na ngozi nyeupe yoyote walikuwa wanatuma waswahili wenzetu pale imigration na within few hours mtu anarudi ofisini na documents zote ambazo ni halali kabisa sio fake kama za Ronaldinho...hakuna mahali walikuwa wanapiga pesa kama kitengo hicho pale uhamiaji
Siku hizi wanapigwa chini sana hizo permit.
 
Back
Top Bottom