Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...
View attachment 1384536
Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
Unashangaa nini? Afadhali ya huyo mwandishi alifanya kosa la kuongeza herufi S baada ya mllion. lugha hiyo ni ya kigeni. Wengi wenu humu ndani hata kiswahili hamkijui vizuri na mnaboronga kila siku.Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...
View attachment 1384536
Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
Hasira tu za kipishwa mamilioni ndio maana kaamua kujigeuza editorSiyo kila kitu cha kukimbilia kulaumu au kushambuliana. Mengi muee mnayaacha yapite, maadam hayana madhara basi yatajirekebisha yenyewe tu.
Siyo kila kitu cha kukimbilia kulaumu au kushambuliana. Mengi muee mnayaacha yapite, maadam hayana madhara basi yatajirekebisha yenyewe tu.
Mag3 hata sisi tuna mashaka na elimu yako umesoma vizuri ulichoandika katika kichwa cha habari ya siledi yako?Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...
View attachment 1384541
Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
Mbona hata wewe heading ya habari yako umekosea? Jamuhuri ya ya Tanzania ndiyo ipi hiyo?Sitaeleza mengi ila nitaachia picha iongee...
View attachment 1384541
Kinachohuzunisha na kusikitisha ni kwamba hii risiti imetolewa ofisini kwa Hakimu Mkazi Mwandamizi, Kisutu.
Kwenye figure kaandika 3,000,000/= ( milioni tatu) badala ya 30,000,000/=Chadema ni wajuaji sana kila jambo wanajua na wao ni wajuaji sana ndio maana hujiona wao wana akili kuliko watu wote Tanzania........
CAG ataihoji hiyo risiti kama ni 30m au 30t?!Mkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Hakika hata mimi sijaonaMkuu Mag3, then vihiyo tutakuwa wengi!.
Mimi sijaona tatizo lolote na risiti hiyo.
Kwasababu watu tunatofautiana uwezo wa kuona, Mkuu Mag3, please share your observations utusaidie akina sisi tuliotoka ukoo ule wa washamba na malimbukeni, ili nasi kuona kile ulicho kinote..
P
Mkuu Magazine, unahitaji miwani ya macho!.Kwenye figure kaandika 3,000,000/= ( milioni tatu) badala ya 30,000,000/=
Samahani wakuu, naomba kuelimishwa hivi hizi pesa za faini kwenye makosa ya jinai hua zingia kwenye mfuko upi wa sirikali?Mkuu Magazine, unahitaji miwani ya macho!.
No!, kaandika vizuri kabisa 30,000,000
Ile mistari miwili ya mwanzo na mwisho ni kuziba nafasi ili figures zisiwe tempered.
P
Kiuhasibu hiyo ni 30,000Mkuu Magazine, unahitaji miwani ya macho!.
No!, kaandika vizuri kabisa 30,000,000
Ile mistari miwili ya mwanzo na mwisho ni kuziba nafasi ili figures zisiwe tempered.
P
Mhasibu inaonekana alilewa Kvant akajikuta anaanzia kuandika namba kutoka mkono wa kushoto kwenda kulia badala ya kinyume chake, ni hatari sana hiyo risiti unaweza kukataliwa na mamlaka zingineAmeacha nafasi kibao za digits mbele ya 30,000,000 akaandika kwa kubania hadi kwenye sehemu ya cents. Digits zote za 30,000,000 zingeweza kuenea kama angetumia umakini kidogo
Yes, kama hoja ni umakini, hata Ph.D level anaweza asiwe makini, kitu muhimu katika mahesabu ni getting fugures correct. Japo sifuri moja imeingia kwenye cents column, haisomeki kams cents kwasababu cents inakuwa separated na nukta.Ameacha nafasi kibao za digits mbele ya 30,000,000 akaandika kwa kubania hadi kwenye sehemu ya cents. Digits zote za 30,000,000 zingeweza kuenea kama angetumia umakini kidogo
No!, ile mistari miwili sio cancel ya zile zero.Kiuhasibu hiyo ni 30,000