Je, Tanzania tutaweza kuidhibiti Corona in case ikifika kwetu?

MnikoJr

New Member
Oct 30, 2019
1
0
Ni wazi kuwa Corona ndo habari ya mjini kwa sasa ukizingatia vifo vilivyotokea na vinavyoendelea kusababishwa na ugonjwa huu.

Tunashukuru kwa kuwa bado hatujatembelewa na ugonjwa huu, japo nchi jirani zetu kama kenya na Rwanda tayari kuna some cases na tayari wameshachukua measure ambazo ni kuzuia mikusanyiko, pia kufunga taasisi zote za elimu na kuzuia safari za wageni kutoka katika mataifa ambayo tayari yameathirika na ugonjwa huu, lakini Tanzania bado hatujachukua any measure.

Kwenu wadau: Je, mnahisi kwa resources na teknolojia tulizonazo ikitokea huyu mnayam kafika kwetu tunaweza kumdhibiti?
 
Ni wazi kuwa Corona ndo habari ya mjini kwa sasa ukizingatia vifo vilivyotokea na vinavyoendelea kusababishwa na ugonjwa huu.

Tunashukuru kwa kuwa bado hatujatembelewa na ugonjwa huu, japo nchi jirani zetu kama kenya na Rwanda tayari kuna some cases na tayari wameshachukua measure ambazo ni kuzuia mikusanyiko, pia kufunga taasisi zote za elimu na kuzuia safari za wageni kutoka katika mataifa ambayo tayari yameathirika na ugonjwa huu, lakini Tanzania bado hatujachukua any measure.

Kwenu wadau: Je, mnahisi kwa resources na teknolojia tulizonazo ikitokea huyu mnayam kafika kwetu tunaweza kumdhibiti?
Imeshaingia Arusha leo hii ngoja tuone ila tuwe makini sana ni ugonjwa hatari
 
Ikiwa Mgonjwa mmoja tu..ambaye katoka na kuingia nchini akiwa na virus akapita eya poti pasipo kubainika na nwisho akaingia hotel kukaa siku kadhaa mpka alipojikuta na qnaunwa na kwenda hosptal..
Maajabu sampuli ilichukuliwa na kupelekwa Maabara ya Taifa ya Afya ya Jamii iliyopo Dar es Salaam kwa ajili ya uchunguzi. Vipimo vya maabara vimethibitisha kuwa mtu huyu ana maambukizi ya ugonjwa wa Corona (COVID-19).

Inasikitisha kwamba Mgonjwa kutoka Meru Vipimo vimetumwa Dar es salaam.
Hatujui wangapi waliomhudumia pale hotel wako salama ...au laa....
Kwa mtindo maambukizj yatakuwa mengi siku za usoni..

Tutashindwa kupambana nayo,tutarajie vifo vingi vya wazee.
 
Imwshafika tayari
Ni wazi kuwa Corona ndo habari ya mjini kwa sasa ukizingatia vifo vilivyotokea na vinavyoendelea kusababishwa na ugonjwa huu.

Tunashukuru kwa kuwa bado hatujatembelewa na ugonjwa huu, japo nchi jirani zetu kama kenya na Rwanda tayari kuna some cases na tayari wameshachukua measure ambazo ni kuzuia mikusanyiko, pia kufunga taasisi zote za elimu na kuzuia safari za wageni kutoka katika mataifa ambayo tayari yameathirika na ugonjwa huu, lakini Tanzania bado hatujachukua any measure.

Kwenu wadau: Je, mnahisi kwa resources na teknolojia tulizonazo ikitokea huyu mnayam kafika kwetu tunaweza kumdhibiti?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom