msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. GENTAMYCINE

    Msaada wa majibu ya hili swali

    Je, kutoka kuwa Msemaji wa Serikali na kuwa Katibu wa Wizara ni Kupanda Cheo au ni Kushushwa Cheo? Na naomba Majibu ambayo yatatolewa hapa na Wadau basi Mhariri wa Gazeti la Serikali la Habari Leo ayapitie kwa Umakini mkubwa sana tafadhali.
  2. J

    Marekani yaipongeza serikali ya Rais Magufuli, yatoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi kwa JWTZ

    Serikali ya Marekani inayoongozwa na Rais Donald Trump imefurahishwa na utendaji wa serikali ya awamu ya 5 na imetoa msaada wa vifaa mbalimbali vya kijeshi. Miongoni mwa vifaa hivyo ni pamoja na magari ya kisasa ya kijeshi. Sherehe ya makabidhiano imefanyika katika viwanja vya kambi ya jeshi...
  3. K

    Msaada kwa marekebisho ya taarifa za NIDA

    Wakubwa mdogo wangu alijiandikisha NIDA mwezi December mwaka jana leo ameenda kuangalia kama namba yake imerudi ila ameambiwa eti aanze process upya kwa kuwa jina lake lilikosewa kwahiyo namba haiwezi kurudi. Hivi ni kweli mtu ambaye jina lake limekosewa anatakiwa kuanza process upya au jamaa...
  4. S

    Msaada: Laptop yangu nikiitumia kwa muda inazimika na haiwaki muda huo huo. Shida ni ninI?

    Msaada laptop yangu inazima zima nikitumia kwa muda na ikizima nikijaribu kuiwasha muda huo huo haiwaki mpaka nisubiri kwa muda ndio iwake tena. Kwa mjuzi wa haya mambo shida ni nini?
  5. Erythrocyte

    Ewe kijana mwenye dharau na majivuno na kudhalilisha wengine kwa vile una kadi ya CCM na uongozi wa kupewa jiangalie! CCM haina msaada wowote

    Hili ni angalizo ambalo nalipeleka moja kwa moja kwa vijana wachache ambao bado ni wanaCCM, maana vijana wengi wameachana na hicho chama, vijana wa CCM wa hapa JF na kwingineko nawaomba sana mtambue kwamba CCM haina nia wala uwezo wa kuwasaidia mnapopata matatizo , tena matatizo yenyewe ni yale...
  6. OSAM

    Chembe ya moyo ni nini na hutokana na nini?

    Wadau hivi majuzi nilishikwa na kama kichomi fulani hapa juu ya tumbo yani katikati ya tumbo na kifua sikulala kabisa usiku wake. Sikuwahi kutokewa na hali hii hiyo ndiyo ilikua mara ya kwanza. Hata hivyo sikuweza kwenda hospitali kwa sababu nilikua na safari ya muhimu sana. Nilijaribu...
  7. Analogia Malenga

    Ethiopia yahitaji msaada wa chakula

    Ukame mkali wa mara kwa mara unaoikumba nchi ya Ethiopia umepelekea watu takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula. Baraza la uratibu wa majanga nchini Ethiopia limearifu kwamba watu milioni 7 katika nchi hiyo wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1. Katika taarifa hiyo iliarifiwa...
  8. H

    Natokea Dar es Salaam kwenda Udzungwa naomba ushauri wa basi zuri la kupanda

    Habari nataka kutumia public transport kutoka DSM to udzungwa msaada mabasi yapi ndio uhakika. Luxury sanasana
  9. Damian J Ntundagi

    Naomba msaada kuhusu mayai ya kienyeji

    Habari zenu ndugu wafugaji naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua mayai ya kuku wa kienyeji pure yanayofaa kutotoreshwa kwenye incubator maana nikiweka mayai 100 yameanguliwa 42 tu.
  10. mipangoMikubwa

    Msaada wa idea ya ICT new projects

    hello za wekend wakuu, Naomba msaada juu ya IDEA YOYOTE INAYOHUSIANA NA (WEB BASED SYSTEM) katika fani ya IT niifanyie kazi naelekea kukwama mwenzenu huku mana nilizonazo zote naambiwa hazina intelligency part ndan yake. kwenu wakuu
  11. Z

    Msaada: Masharti ya pass za chini za kujiunga na kozi ya cheti ya Famasia

    Nina kijana wangu anataka kujiunga na kozi ya famasia ngazi ya cheti. Ana kemia - D, Bailojia - C na fizikia- F. Je anaweza kujiunga na kozi hiyo ngazi ya cheti? Kama likitupiwa karatasi toka wizara ya elimu kuhusu minimum qualification za kujiunga na kozi hiyo itapendeza sana. Natanguliza...
  12. T

    Naomba msaada wa business proposal

    Naomba msaada wa business proposal kwenye field hizi general supply/asset identification & codification/courier services. My email info@ecalimited.Com au hata mwenye link anaweza akadrop hapa.
  13. silent kills

    Msaada wa kisheria kuhusu kukodi shamba lenye mgogoro

    Salam, Naitwa Noel na nimekuwa mdau mkubwa sana kwwnye jukwaa hili la sheria na nimeona ushauri mzuri unaotolewa na wanasheria waliomo kwenye jukwaa. Niende kwenye mada husika hapo juu nilikodi shamba mwaka jana ili nione najikwamuaje na ukosefu huu wa ajira unaotusumbua vijana wengi...
  14. Threesixteen Himself

    Msaada: Naomba kujua jinsi ya kutuma meseji toka kwenye email kwenda Kwenye namba ya simu ya kawaida

    Habari, Kama Kichwa cha habari kinavyosea, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo; 1. Namna ya kutuma meseji kutoka kwenye email ikaingia/ikaenda kwenye namba ya simu ya kawaida. Mfano kutoka gmail halafu ikaenda kwa mtumiaji wa simu ya kawaida mfano wa tigo, vodacom halotel etc. 2. Nina...
  15. K

    Wakuu kweli hapa nina mke ?

    Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli...
  16. Bonde la Baraka

    Msaada: Wahamiaji haramu wa Kitanzania kutoka Afrika Kusini walioletwa jana wako gereza gani?

    Wazee kwema? Kuna rafiki yangu alizamia South Africa kusaka maisha miaka iliyopita. Sasa nasikia kaingia mkononi mwa wenye mamlaka na juzi sijui jana karudishwa Tanzania kwa ndege. Kwa mwenye taarifa kamili kuhusu gereza au mahali walipohifadhiwa anijuze nikamuone na kumfanyia mchakato wa...
  17. R

    Wosia bila kusainiwa na mke. Je, utakuwa halali au batili?

    Je, mke wangu akiwa hai nikaandika wosia bila yeye kuweka saini kwenye wosia, wosia huo utakuwa halali au batili? Naomba case law inayoelezea scenario hiyo.
  18. Sky Eclat

    Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

    Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba. Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue...
  19. Z

    Wanasiasa kutoa amri za kukamata watu, Wanasheria tupeni msaada

    Naangalia gazeti la leo likisema Mkurugenzi aagiza polisi kumkamata Meya, Waziri aagiza waliohujumu Miundombinu kukamatwa. Hizo ni amri zingine ni majukwaani. Waziri aagiza mkandarasi akamatwe, nk. Hawa ni wanasiasa na watendaji wa serikali wakitoa amri kwa vyombo vya dola. Je, kisheria nani...
  20. kilama

    Msaada: Namna ya kuipata movie ya San Andreas ya tetemeko la ardhi

    Wapendwa habarini za jioni/usiku. Naombeni msaad wa namna ya kuipata muvi ya san andreas ya tetemeko la ardhi iliyokuwa inamhusisha dada aliyeanguka kwenye bonde la san fernando california then anaokolewa na helicopter. link ya kipande cha muvi
Back
Top Bottom