hp4510
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,451
- 6,325
Wakuu,
Nina Ipad yangu zile za kitambo za 16 BG
Sasa nataka kuresert / Factory nimejaribu Kuingiza password zote ambazo nakumbuka but imekataa inasema ni wrong.
So please kwa mtu yeyote ambaye anajua manouver ya kufanya nikaresert kila kitu.
Coz kuna mtu nataka kumpa ikiwa haina kitu changu chochote.
Nina Ipad yangu zile za kitambo za 16 BG
Sasa nataka kuresert / Factory nimejaribu Kuingiza password zote ambazo nakumbuka but imekataa inasema ni wrong.
So please kwa mtu yeyote ambaye anajua manouver ya kufanya nikaresert kila kitu.
Coz kuna mtu nataka kumpa ikiwa haina kitu changu chochote.