johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,948
Wasamaria wema kutoka katika jumuiya mbalimbali za kijamii jijini DSM wametoa msaada wa vyakula na maji safi ya kunywa kwa watu walio katika karantini kwenye hosteli za Magufuli pale UDSM.
Mmoja wa wasamaria hao amesema walipata taarifa kuwa baadhi ya watu walio katika karantini hawana hata fedha ya chakula so wakaamua kuchangishana na kuwapelekea chakula cha siku chache.
Source ITV habari!
Mmoja wa wasamaria hao amesema walipata taarifa kuwa baadhi ya watu walio katika karantini hawana hata fedha ya chakula so wakaamua kuchangishana na kuwapelekea chakula cha siku chache.
Source ITV habari!