msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. OSAM

    Chembe ya moyo ni nini na hutokana na nini?

    Wadau hivi majuzi nilishikwa na kama kichomi fulani hapa juu ya tumbo yani katikati ya tumbo na kifua sikulala kabisa usiku wake. Sikuwahi kutokewa na hali hii hiyo ndiyo ilikua mara ya kwanza. Hata hivyo sikuweza kwenda hospitali kwa sababu nilikua na safari ya muhimu sana. Nilijaribu...
  2. Analogia Malenga

    Ethiopia yahitaji msaada wa chakula

    Ukame mkali wa mara kwa mara unaoikumba nchi ya Ethiopia umepelekea watu takribani milioni 7 kuhitaji msaada wa chakula. Baraza la uratibu wa majanga nchini Ethiopia limearifu kwamba watu milioni 7 katika nchi hiyo wanahitaji msaada utakaogharimu dola bilioni 1. Katika taarifa hiyo iliarifiwa...
  3. H

    Natokea Dar es Salaam kwenda Udzungwa naomba ushauri wa basi zuri la kupanda

    Habari nataka kutumia public transport kutoka DSM to udzungwa msaada mabasi yapi ndio uhakika. Luxury sanasana
  4. Damian J Ntundagi

    Naomba msaada kuhusu mayai ya kienyeji

    Habari zenu ndugu wafugaji naombeni mnisaidie jinsi ya kutambua mayai ya kuku wa kienyeji pure yanayofaa kutotoreshwa kwenye incubator maana nikiweka mayai 100 yameanguliwa 42 tu.
  5. mipangoMikubwa

    Msaada wa idea ya ICT new projects

    hello za wekend wakuu, Naomba msaada juu ya IDEA YOYOTE INAYOHUSIANA NA (WEB BASED SYSTEM) katika fani ya IT niifanyie kazi naelekea kukwama mwenzenu huku mana nilizonazo zote naambiwa hazina intelligency part ndan yake. kwenu wakuu
  6. Z

    Msaada: Masharti ya pass za chini za kujiunga na kozi ya cheti ya Famasia

    Nina kijana wangu anataka kujiunga na kozi ya famasia ngazi ya cheti. Ana kemia - D, Bailojia - C na fizikia- F. Je anaweza kujiunga na kozi hiyo ngazi ya cheti? Kama likitupiwa karatasi toka wizara ya elimu kuhusu minimum qualification za kujiunga na kozi hiyo itapendeza sana. Natanguliza...
  7. T

    Naomba msaada wa business proposal

    Naomba msaada wa business proposal kwenye field hizi general supply/asset identification & codification/courier services. My email info@ecalimited.Com au hata mwenye link anaweza akadrop hapa.
  8. silent kills

    Msaada wa kisheria kuhusu kukodi shamba lenye mgogoro

    Salam, Naitwa Noel na nimekuwa mdau mkubwa sana kwwnye jukwaa hili la sheria na nimeona ushauri mzuri unaotolewa na wanasheria waliomo kwenye jukwaa. Niende kwenye mada husika hapo juu nilikodi shamba mwaka jana ili nione najikwamuaje na ukosefu huu wa ajira unaotusumbua vijana wengi...
  9. Threesixteen Himself

    Msaada: Naomba kujua jinsi ya kutuma meseji toka kwenye email kwenda Kwenye namba ya simu ya kawaida

    Habari, Kama Kichwa cha habari kinavyosea, naomba msaada kwenye mambo yafuatayo; 1. Namna ya kutuma meseji kutoka kwenye email ikaingia/ikaenda kwenye namba ya simu ya kawaida. Mfano kutoka gmail halafu ikaenda kwa mtumiaji wa simu ya kawaida mfano wa tigo, vodacom halotel etc. 2. Nina...
  10. K

    Wakuu kweli hapa nina mke ?

    Huyu mwanamke nina miezi kama 10 toka nimuoe lakini ameonesha tabia ambayo imeanza kunitia sana mashaka Huyu mwanamke ana kajitabia ka kucheka cheka sana na kila mtu na kugawagawa sana namba yake ya simu Naombeni ushauri nimfanyeje huyu shemeji yenu aache hii tabia yake mbovu ambayo kiukweli...
  11. Bonde la Baraka

    Msaada: Wahamiaji haramu wa Kitanzania kutoka Afrika Kusini walioletwa jana wako gereza gani?

    Wazee kwema? Kuna rafiki yangu alizamia South Africa kusaka maisha miaka iliyopita. Sasa nasikia kaingia mkononi mwa wenye mamlaka na juzi sijui jana karudishwa Tanzania kwa ndege. Kwa mwenye taarifa kamili kuhusu gereza au mahali walipohifadhiwa anijuze nikamuone na kumfanyia mchakato wa...
  12. R

    Wosia bila kusainiwa na mke. Je, utakuwa halali au batili?

    Je, mke wangu akiwa hai nikaandika wosia bila yeye kuweka saini kwenye wosia, wosia huo utakuwa halali au batili? Naomba case law inayoelezea scenario hiyo.
  13. Sky Eclat

    Msaada wenu wa mawazo tafadhali, Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda

    Nilikutana na mume wangu wote tukiwa 30+. Nilishakuwa na kwangu tofauti yangu na mwenzangu yeye anaishi kwao ingawa yeye ndiye alijenga nyumba. Kama mwanaume aliyeoa anataka niishi kwao. Hataki kuingilia vitu alivyonikuta navyo. Maisha ya kuishi ukweni yamenishinda, ninatamani tununue...
  14. Z

    Wanasiasa kutoa amri za kukamata watu, Wanasheria tupeni msaada

    Naangalia gazeti la leo likisema Mkurugenzi aagiza polisi kumkamata Meya, Waziri aagiza waliohujumu Miundombinu kukamatwa. Hizo ni amri zingine ni majukwaani. Waziri aagiza mkandarasi akamatwe, nk. Hawa ni wanasiasa na watendaji wa serikali wakitoa amri kwa vyombo vya dola. Je, kisheria nani...
  15. kilama

    Msaada: Namna ya kuipata movie ya San Andreas ya tetemeko la ardhi

    Wapendwa habarini za jioni/usiku. Naombeni msaad wa namna ya kuipata muvi ya san andreas ya tetemeko la ardhi iliyokuwa inamhusisha dada aliyeanguka kwenye bonde la san fernando california then anaokolewa na helicopter. link ya kipande cha muvi
  16. Breezyman

    Msaada kuhusu Verification Certificate inayopatikana kwenye Ajira Portal

    Wadau, naomba msaada kuhusu Verification Certificate ambayo inapatikana kwenye Ajira Portal. Sehemu hii ni ya ku-add vitu gani?
  17. K

    Msaada: Nyoka wananimalizia mayai ya kuku wangu

    Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ninafuga kuku wa kienyeji hapa shambani kwangu. Kwa kweli kuku wanastawi vizuri na nilishaanza kufurahia matunda ya jasho langu, lakini ghafla nilianza kuona mayai yakipungua wakati kuku wanataga kila siku. Niliamini pasipo na shaka itakuwa nyoka...
  18. Kendrick Rama

    Msaada kwa anayefahamu bei ya Toyota Alphard

    anayejua bei ya hii gari Toyota Alphard naomba anisaidie please! naimani humu JF ni sehemu ya kupata jibu sahihi kuliko huko mtaani
  19. Miss Zomboko

    Tanzania yapokea msaada kutoka Sweden ili kuboresha sekta ya elimu

    Serikali ya Tanzania imetiliana saini mikataba miwili ya msaada na serikali ya Sweden kwa kupatiwa fedha kiasi cha dola milioni 90 sawa na shilingi Bilioni 240.95 kutoka mfuko wa ushirikiano wa Elimu Duniani GPE. Akizungumzia msaada huo jijini Dar es salaam Katibu Mkuu wizara ya fedha na...
  20. P

    Msaada kwa anayeyajua haya matunda

    Naomba msaada kwa yoyote anayeyafahamu matunda haya na upatikanaj wake Tanzania
Back
Top Bottom