Samahani naomba mnisaidie ushauri kuhusu huyu mwanangu ana 2 years amepatwa na vipele usoni, shingoni masikioni nk. Vingine vikikauka vinatoka vipya tena vingine.
Nilimpeleka hospital huku wakampa Ethromycin na Pricostant Cream ila bado hali inaendelea na dawa zimeisha.
Vipele vipo vinakuwa...
Wana JF wenzangu leo naomba msaada nipo serious jamani mliopo macho mida hii, nimenunua umeme kwenye simu hivi ninavyoongea wapangaji wenzangu nimewaongopea mtandao unasumbua ila kiukweli ile Token nimeifuta bahati mbaya!!
Please please please JF
Umofia kwenu wakuu,
Wapo watu ambao wanapenda kujua maana au tafsiri za ndoto kwa kuwa nyingi huwa zinakuja kwa mtindo wa mafumbo. Wapo wanaoamini kuwa ndoto zina taarifa zenye miongozo au kutoa tahadhari kwenye mwenendo wa maisha yao ya kila siku. Hivyo kuzielewa kuna maana kubwa sana kwao...
HAbari zenu wakuu?
Naomba mnisaidie, modem yangu nikiconnect inazima mobile hotspot. Je, niwezeje kushare internet kwenye computer nyingine.
Pia sms zikiingia zingine hazisomeki, yaani zinakuja alama za maneno tu. Nmejaribu ku unistall tatzo bado lipo.
Habari zenu wakuu,
Naomba mwenye uelewa au mtaalamu wa mambo ya magonjwa ya macho anisaidie hili.
Hapo juzi kati niligundua kuna kauvimbe kadogo ndani ya macho yangu ambacho hakana maumivu yoyote, ila baada ya kuchunguza kwa umakini na kuulizia baadhi ya watu walinambia kuwa huyo ni mtoto wa...
Asaalam Wadau natumaini mmeamka salama.
Naomba msaada ufuatao Mara nyingi Mke wangu anapomnyonyesha Mtoto anakuwa akipaliwa na hapo wala hakamuliwi maziwa zaidi ya kushikiliwaa tu titi ila ndo hivyo anajikuta akipaliwa kwa kweli hili jambo linaniumizaga sana.
mimi tu nikipaliwa huwa nahangaika...
Watu 20 wanmepoteza maisha baada ya kukanyagana wakati wakipokea msaada wa Chakula na Fedha katika Mji wa Diffa huko Niger. Waliofariki ni Wanawake 15 na Watoto 5. Inadaiwa kuwa maelfu ya watu walijitokeza kupokea msaada huo uliokuwa unatolewa na Gavana Babagana Umara Zulum katika Kituo kimoja...
Poleni na majukumu wazee wezangu
To be honestly me siwezi tembea bila cape, mzura au prova kwa kifupi sijawai acha kichwa changu wazi
Nilianza kuvaa mizura kiutani utani lakini asa hivi nshakua addicted siwezi tembea kichwa wazi yaani ni heri mtu anivue suruali ila sio kofia yaani nimekua...
Wakuu,
Kumekuwepo maombi toka kwa wadau wengi wakitaka kujua jinsi ya kuitumia JF mpya.
Video mbili zinazoambatanishwa zinaeleza kwa ufupi jinsi ya kuitumia. Video nyingine mbili zitaongezeka katika kuongezea juu ya features mpya zitakazoongezeka JF (hivi karibuni).
Kwa wale wanaoitembelea JF...
Kuna binti nilikuwa na mazoea nae ya kawaida tu hapa kazini napofanyia kazi kama marafiki nikimtumia messages anajibu tu vizuri bila shida, sasa tabu imeanzia hapa nilipomtongoza kwa mara ya kwanza pale nilipomuambia nampenda nimemuelewa alinijibu kwa kuuliza "serious " nikamjibu ndio yeye...
Kwa anayefahamu naomba msaada wa kujua ngazi ya vyeo vya polisi
Kwa mfano Inspekta ni yepi majukumu yake na anatambuliwa kwa nyota
au alama gani, Sajenti, Konstebo, Koplo n.k
Zaidi, soma:
Vyeo vya Jeshi la Polisi Tanzania kwa protocol
Wasalaam,
Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo.
Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file...
Wasaalamu wandugu!
Jamaa yangu kaniletea iPad sijui hata model haina WhatsApp. Nahangaika namna ya kuingiza yangu jana bado inanizingua.
Msaada wandugu nifanyeje ili niweke WhatsApp?
Habari wakuu?
Ninanyenyekea mbele zenu bila bughudha nina shida ya mawasiliano ya VETA Hotel and Tourism Training Institute - VHTTI kwa ambaye anafahamu, na pia hata kama hauna mawasiliano naomba unijuze kwa kozi ya Tour Guide ina bweni ama ni kutwa pekee? Maombi wanaanza kutuma lini na ada...
Habari za maisha wote mtakaopitia hapa. Ninahitaji msaada kuhusiana na mkopo nilioufanya katika moja ya benki hapa nchini.
Mie ni mwajiriwa katika manispaa ya Lindi mwaka wa sita sasa, tangu niajiriwe sikuwahi kufanya mkopo na benki yoyote hadi ilipofika mwaka jana mwezi wa nane nikalazimika...
Huu mzigo niliagiza mnamo tarehe 15 December 2019, na movement zote zilienda vizuri isipokuwa hapo ilipoishia
"-Despatched to OverSeas Postal Admin (From SG/SIN to TZ/DAR)
2019-12-27 13:14:02 [GMT+8]"
Hapo imekaa tangu tarehe 27-Dec-2019.
Nimejaribu kwenda post na kuwapa tracking number, yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.