msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Fenuchi

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada wa tiba ya vipele kwa mtoto wangu

    Samahani naomba mnisaidie ushauri kuhusu huyu mwanangu ana 2 years amepatwa na vipele usoni, shingoni masikioni nk. Vingine vikikauka vinatoka vipya tena vingine. Nilimpeleka hospital huku wakampa Ethromycin na Pricostant Cream ila bado hali inaendelea na dawa zimeisha. Vipele vipo vinakuwa...
  2. No Escape

    JamiiForums Tanzania Msaada: Token ya LUKU imefutika!

    Wana JF wenzangu leo naomba msaada nipo serious jamani mliopo macho mida hii, nimenunua umeme kwenye simu hivi ninavyoongea wapangaji wenzangu nimewaongopea mtandao unasumbua ila kiukweli ile Token nimeifuta bahati mbaya!! Please please please JF
  3. Hussein Massanza

    JamiiForums Tanzania Ndoto tunazoota na tafsiri zake

    Umofia kwenu wakuu, Wapo watu ambao wanapenda kujua maana au tafsiri za ndoto kwa kuwa nyingi huwa zinakuja kwa mtindo wa mafumbo. Wapo wanaoamini kuwa ndoto zina taarifa zenye miongozo au kutoa tahadhari kwenye mwenendo wa maisha yao ya kila siku. Hivyo kuzielewa kuna maana kubwa sana kwao...
  4. mabuladaud

    JamiiForums Tanzania Naomba mnisaidie, modem yangu nikiiunganisha na mobile hotspot inazima

    HAbari zenu wakuu? Naomba mnisaidie, modem yangu nikiconnect inazima mobile hotspot. Je, niwezeje kushare internet kwenye computer nyingine. Pia sms zikiingia zingine hazisomeki, yaani zinakuja alama za maneno tu. Nmejaribu ku unistall tatzo bado lipo.
  5. Kendrick Rama

    JamiiForums Tanzania Msaada wa tatizo la mtoto wa jicho

    Habari zenu wakuu, Naomba mwenye uelewa au mtaalamu wa mambo ya magonjwa ya macho anisaidie hili. Hapo juzi kati niligundua kuna kauvimbe kadogo ndani ya macho yangu ambacho hakana maumivu yoyote, ila baada ya kuchunguza kwa umakini na kuulizia baadhi ya watu walinambia kuwa huyo ni mtoto wa...
  6. K

    JamiiForums Tanzania Mtoto wangu anatatizo la kupaliwa ninapomnyonyesha naomba ushauri

    Asaalam Wadau natumaini mmeamka salama. Naomba msaada ufuatao Mara nyingi Mke wangu anapomnyonyesha Mtoto anakuwa akipaliwa na hapo wala hakamuliwi maziwa zaidi ya kushikiliwaa tu titi ila ndo hivyo anajikuta akipaliwa kwa kweli hili jambo linaniumizaga sana. mimi tu nikipaliwa huwa nahangaika...
  7. BASIASI

    JamiiForums Tanzania Huyu jamaa anahitaji escort ya polisi wapendwa msaada

    Wakulimaa WA vitunguu aiwahusuu, kaeni mbaliii kabisaa
  8. gonamwitu

    JamiiForums Tanzania Simu yangu aina ya Tecno Pop1 imezima msaada wadau

    Simu yangu aina ya Tecno pop1 imezima kuna fundi kaicheki kasema inatakiwa iflashiwe je kuflash ni sh ngapi? Je, inaweza kusolve tatizo?
  9. J

    JamiiForums Tanzania Mwanafunzi anaweza kusitishiwa mkopo kwa mazingira gani akiwa chuo?

    Naomba kujua kwa mwanafunzi mwenye mkopo kutoka Bodi ya Mikopo ni mambo gani yanaweza kumfanya kusitishiwa mkopo akiwa bado chuoni. Asante.
  10. beth

    JamiiForums Tanzania Niger: Watu 20 wafariki dunia baada ya kukanyagana wakati wakipokea msaada

    Watu 20 wanmepoteza maisha baada ya kukanyagana wakati wakipokea msaada wa Chakula na Fedha katika Mji wa Diffa huko Niger. Waliofariki ni Wanawake 15 na Watoto 5. Inadaiwa kuwa maelfu ya watu walijitokeza kupokea msaada huo uliokuwa unatolewa na Gavana Babagana Umara Zulum katika Kituo kimoja...
  11. maji ya gundu

    JamiiForums Tanzania Wale ambao tupo addicted na kuvaa cape na mizura tukutane hapa tujadili changamoto tunazokutana nazo

    Poleni na majukumu wazee wezangu To be honestly me siwezi tembea bila cape, mzura au prova kwa kifupi sijawai acha kichwa changu wazi Nilianza kuvaa mizura kiutani utani lakini asa hivi nshakua addicted siwezi tembea kichwa wazi yaani ni heri mtu anivue suruali ila sio kofia yaani nimekua...
  12. Maxence Melo

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Jinsi ya kuitumia JamiiForums (Wageni na Wanachama)

    Wakuu, Kumekuwepo maombi toka kwa wadau wengi wakitaka kujua jinsi ya kuitumia JF mpya. Video mbili zinazoambatanishwa zinaeleza kwa ufupi jinsi ya kuitumia. Video nyingine mbili zitaongezeka katika kuongezea juu ya features mpya zitakazoongezeka JF (hivi karibuni). Kwa wale wanaoitembelea JF...
  13. Kapepo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Haeleweki msaada wakuu

    Kuna binti nilikuwa na mazoea nae ya kawaida tu hapa kazini napofanyia kazi kama marafiki nikimtumia messages anajibu tu vizuri bila shida, sasa tabu imeanzia hapa nilipomtongoza kwa mara ya kwanza pale nilipomuambia nampenda nimemuelewa alinijibu kwa kuuliza "serious " nikamjibu ndio yeye...
  14. Masokotz

    JamiiForums Tanzania Mwenye Kitabu-Ebook Makuwadi wa soko-By Chachage Msaada

    Mwenye Kitabu-Ebook Makuwadi wa soko-By Chachage Msaad
  15. GAZETI

    JamiiForums Tanzania Vifahamu vyeo vya askari polisi wa Tanzania na alama zake

    Kwa anayefahamu naomba msaada wa kujua ngazi ya vyeo vya polisi Kwa mfano Inspekta ni yepi majukumu yake na anatambuliwa kwa nyota au alama gani, Sajenti, Konstebo, Koplo n.k Zaidi, soma: Vyeo vya Jeshi la Polisi Tanzania kwa protocol
  16. Mkwala

    JamiiForums Tanzania Msaada Laptop yangu haisomi Printer nikifungua PDF na Excel file kutoa nakala ngumu

    Wasalaam, Nimepata changamoto kuna laptop imekuwa ikitumika, lakini changamoto nimeikuta ni kuwa nikijaribu kuprint document iliyo kwenye PDF &Excel inashindwa kusoma printer zilizopo. Nimejaribu kuprint kwa Word document yenyewe haina tatizo. Je, kuna shida ipi inayopelekea PDF na Excel file...
  17. kalendi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji kuingiza WhatsApp kwenye Ipad yangu

    Wasaalamu wandugu! Jamaa yangu kaniletea iPad sijui hata model haina WhatsApp. Nahangaika namna ya kuingiza yangu jana bado inanizingua. Msaada wandugu nifanyeje ili niweke WhatsApp?
  18. mjusilizard

    JamiiForums Tanzania Msaada: naomba kujua haya kuhusu Chuo cha VETA Arusha

    Habari wakuu? Ninanyenyekea mbele zenu bila bughudha nina shida ya mawasiliano ya VETA Hotel and Tourism Training Institute - VHTTI kwa ambaye anafahamu, na pia hata kama hauna mawasiliano naomba unijuze kwa kozi ya Tour Guide ina bweni ama ni kutwa pekee? Maombi wanaanza kutuma lini na ada...
  19. B

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kisheria kuhusu mikopo katika Mabenki

    Habari za maisha wote mtakaopitia hapa. Ninahitaji msaada kuhusiana na mkopo nilioufanya katika moja ya benki hapa nchini. Mie ni mwajiriwa katika manispaa ya Lindi mwaka wa sita sasa, tangu niajiriwe sikuwahi kufanya mkopo na benki yoyote hadi ilipofika mwaka jana mwezi wa nane nikalazimika...
  20. ymollel

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mzigo kuchelewa baada ya kuagiza tangu Desemba 2019

    Huu mzigo niliagiza mnamo tarehe 15 December 2019, na movement zote zilienda vizuri isipokuwa hapo ilipoishia "-Despatched to OverSeas Postal Admin (From SG/SIN to TZ/DAR) 2019-12-27 13:14:02 [GMT+8]" Hapo imekaa tangu tarehe 27-Dec-2019. Nimejaribu kwenda post na kuwapa tracking number, yule...
Back
Top Bottom