Habari wakuu , natumai ni wazima was afya, naombeni msaada ya tatizo hili yapata mwaka na nusu sasa na tatizo la kuwashwa au kuchinyota nyia ya haja kubwa , ngozi ya mwili kuwasha , kusikia njaa kila mara na joint kuuma , nimeenda sana hospital kubwa na ndogo nimesafanya vipimo vingi sana kama ...