Mimi nilikuwa nataka kununua Gari, kutokana na kutokuwa mzoefu na mambo ya magari na hii ni mara yangu ya kwanza kununua gari nikaamua kumtumia ndugu yangu ambae ana gereji yake nikiamini angenisaidia kupata chaguo zuri. Basi akanitumia picha nyingi tu za magari mwishowe akanishauri kununua gari fulani kwamba mi lingenifaa. Basi akataka nimtumie ela yeye ndiyo alipe kwa mwenye gari. Nikaenda bank nikamuwekea pesa.
Baadae akaniambia ana kijana wake anaweza kunisafirishia gari kuniletea mkoa ninao kaa. Kwa hiyo nikatoa hela ya kumlipa msafirishaji pamoja na hela ya mafuta. Gari imenunuliwa Mtwara Masasi mi nakaa Mpanda Katavi. Wakaenda dereva na dalali ( maana dalali aliyepewa kazi ya kuuza ni wa Dar)Nikapewa taarifa kuwa gari tayari imenunuliwa kwa hiyo wanaanza safari kuniletea.
Mi nikawaambia kwa kuwa wapo masasi na wanakuja Mpanda basi wapite njia ya songea makambako mbeya mpaka Mpanda, wao wakang'ang'nia kipitia Dar then Moro Mbeya mpaka Mpanda. Dalali ndiyo akawa anaendesha gari na siyo dereva niliyemlipa kufanya kazi hiyo.Kufika mtwara wakapakia abiria wawili. Njiani gari lilmepata ajali. Yaani lipo nyang'anyang'a. Baada ya ajali wakanipigia simu gari limepata ajali na kwamba wamewaacha watu kulilinda wao wameenda hospitali.
Nimefunga safari mpaka eneo la tukio. Sasa niliyoyakuta ni yafuatayo: (1) document zina jina la mmiliki wa awali (siye aliyeuza, yaani alipolinunua hakufanya transfer).(2) Hakuna mkataba wowote unaoonyesha muuzaji kapokea pesa kwa ajili ya kuuza gari japo kawapa kadi orijino na document nyingine za gari na kopi ya kitambulisho chake. Yaani hakuna karatasi inayoonyesha mimi au huyo ndugu yangu amelipa fedha kununua hiyo gari.
Document nimezikuta polisi ambao walikuta zimetelekezwa ndani ya gari.(3) Baada ya kufuatilia huyu dalali na dereva hawakuumia kwenye ajali. Sasa gari ipo porini ambapo kuilindabkwa usiku mmoja ni 40000.huyu ndugu yangu ananiambia niibebe gari niipeleke gereji kwake iringa. Wajuzi wa magari wkiiona gari wananiambia nisihangaike kuitengeneza yaani haiwezi kutengenezeka.
Msaada ndugu zangu hapa nafanyaje
Baadae akaniambia ana kijana wake anaweza kunisafirishia gari kuniletea mkoa ninao kaa. Kwa hiyo nikatoa hela ya kumlipa msafirishaji pamoja na hela ya mafuta. Gari imenunuliwa Mtwara Masasi mi nakaa Mpanda Katavi. Wakaenda dereva na dalali ( maana dalali aliyepewa kazi ya kuuza ni wa Dar)Nikapewa taarifa kuwa gari tayari imenunuliwa kwa hiyo wanaanza safari kuniletea.
Mi nikawaambia kwa kuwa wapo masasi na wanakuja Mpanda basi wapite njia ya songea makambako mbeya mpaka Mpanda, wao wakang'ang'nia kipitia Dar then Moro Mbeya mpaka Mpanda. Dalali ndiyo akawa anaendesha gari na siyo dereva niliyemlipa kufanya kazi hiyo.Kufika mtwara wakapakia abiria wawili. Njiani gari lilmepata ajali. Yaani lipo nyang'anyang'a. Baada ya ajali wakanipigia simu gari limepata ajali na kwamba wamewaacha watu kulilinda wao wameenda hospitali.
Nimefunga safari mpaka eneo la tukio. Sasa niliyoyakuta ni yafuatayo: (1) document zina jina la mmiliki wa awali (siye aliyeuza, yaani alipolinunua hakufanya transfer).(2) Hakuna mkataba wowote unaoonyesha muuzaji kapokea pesa kwa ajili ya kuuza gari japo kawapa kadi orijino na document nyingine za gari na kopi ya kitambulisho chake. Yaani hakuna karatasi inayoonyesha mimi au huyo ndugu yangu amelipa fedha kununua hiyo gari.
Document nimezikuta polisi ambao walikuta zimetelekezwa ndani ya gari.(3) Baada ya kufuatilia huyu dalali na dereva hawakuumia kwenye ajali. Sasa gari ipo porini ambapo kuilindabkwa usiku mmoja ni 40000.huyu ndugu yangu ananiambia niibebe gari niipeleke gereji kwake iringa. Wajuzi wa magari wkiiona gari wananiambia nisihangaike kuitengeneza yaani haiwezi kutengenezeka.
Msaada ndugu zangu hapa nafanyaje