beeper JF-Expert Member Dec 30, 2013 251 105 Apr 22, 2020 #1 Habari wadau. Naomba mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza Tambi za Kula (Spageti) bila mashine maana Mwezi Mtukufu unakaribia. Kuna kipindi niliona pale Buguruni wanatengezeza.
Habari wadau. Naomba mtu mwenye ujuzi wa kutengeneza Tambi za Kula (Spageti) bila mashine maana Mwezi Mtukufu unakaribia. Kuna kipindi niliona pale Buguruni wanatengezeza.
denis fourplux JF-Expert Member Aug 17, 2017 1,049 1,378 Apr 27, 2020 #2 Ingia youtube Sent from my iPhone using JamiiForums