Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 12,417
- 30,927
Jamani naomba msaada niwafukuzeje wapangaji wa aina hii kwenye nyumba yangu.
1. Mmoja hajalipa kodi miezi mitano
2. Wapili hajalipa miezi miwili
3. Amemaliza juzi baada ya kukaa miezi minne bila kulipa Kodi.
Juu ya yote ni wachafu sana mpaka nyumba yangu mimi great thinker mwenzenu naionea aibu.
Mbaya zaidi mimi sikai nao na Niko mbali kwa hiyo wanatake hiyo advantage kunilipa miezi watakayo.
Nyumba iko Dar namimi niko mbali sana hivyo ufwatiliaji wa karibu unakuwa mgumu.sana.
Siwataki kabisa Yaani ningeweza wangeondoka hata usiku huu.
Ndugu yangu aliepo hapo Dar ana mitikasi yake mingi hivyo hana muda wakuwafwatilia.
Naomba msaada niwafukuzeje?
1. Mmoja hajalipa kodi miezi mitano
2. Wapili hajalipa miezi miwili
3. Amemaliza juzi baada ya kukaa miezi minne bila kulipa Kodi.
Juu ya yote ni wachafu sana mpaka nyumba yangu mimi great thinker mwenzenu naionea aibu.
Mbaya zaidi mimi sikai nao na Niko mbali kwa hiyo wanatake hiyo advantage kunilipa miezi watakayo.
Nyumba iko Dar namimi niko mbali sana hivyo ufwatiliaji wa karibu unakuwa mgumu.sana.
Siwataki kabisa Yaani ningeweza wangeondoka hata usiku huu.
Ndugu yangu aliepo hapo Dar ana mitikasi yake mingi hivyo hana muda wakuwafwatilia.
Naomba msaada niwafukuzeje?