msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. V

    JamiiForums Tanzania Msaada hp laptop inasumbua their three issues to be solved

    Jamani naomba mnisaidie matatizo haya kwe HP laptop 1. cursor inaganda na kutembea hovyo kwenye monitor kila nikichomeka adapter kuchaji hivyo inanilazimu kuchaji ndio nitumie tatizo limeanza baada kuharibika adapter ya mwazo hii mpya inasumbua 2. Microsoft office app zangu ikifungua...
  2. K

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu hii twitter ya Kiyosaki

  3. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Uingereza kukosa msaada wa kupambana na Corona kutokana na kujitoa Umoja wa Ulaya

    MIEZI miwili tangu Uingereza ilipotangaza rasmi kujitoa katika Umoja wa Ulaya (EU), tayari imeanza kuonja machungu ya kujitoa katika umoja huo, baada ya kukosa fursa ya kupata msaada wa kupambana na majanga katika kipindi hiki ambacho nchi hiyo imekubwa na janga la homa kali ya mapafu...
  4. hp4510

    JamiiForums Tanzania Noamba ushauri kuhusu suala hili la oil ya gari yangu

    Jamani me natumia gari inaitwa nissan teana 230 na oil ambayo huwa natumia ni 5w40. Sasa juzi nimeenda kuchange oil fundi anasema nakosea kutumia 5w40 bcoz ni nyepesi sana and natakiwa kutumia Sae 40 hiyo ndio inafaa. Na niligoogle injini oil kwa Nissan teana Nikapata majibu kuwa 5w40 ndio...
  5. Wacha1

    JamiiForums Tanzania Ubalozi wa China Tanzania na Barrick (Kampuni ya Twiga) zatoa misaada kwa Serikali kusaidia kupambana na Corona

    Twiga Minerals Corporation, a joint venture between Barrick Gold Corporation (NYSE:GOLD) (TSX:ABX) and the Tanzanian government, has announced a support program to assist the country in combating and containing the Covid-19 pandemic. Barrick's chief operating officer for its Africa and Middle...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Msaada kutoka kwa mamlaka ya NACTE au yeyote anayejua maana ya hii kitu

    Matokeo ya mitihani ya NACTE yanaonyesha kama ilivyo kwenye jedwali lao la matokeo. Maana ya REPEAT ni nini? wakati katika baadhi ya wanafunzi hana somo alilofeli hata moja. Mfano: candidate namba 116, 123, 128, 129, 136 etc. Msaada please Naweka attachment ya matokeo toka NACTE
  7. M

    JamiiForums Tanzania Msaada anayefahamu utaratibu wa institute kuwa university

    Habari za mda huu ndugu wanaharakati wa kimaendeleo kama uzi unavyojipambanua naomba mwongozo Katika hili.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa Postgraduate Diploma katika Recategorization

    Poleni na majukumu wakuu.Mungu ni mwema kila wakati. Kwa wale walio kazini nafikiri watakuwa wanajua kuwa, mtu aliyesoma degree tofauti kwa mfano ktk Elimu anaweza akafanya Postgraduate diploma in Education na akaajiriwa kama mwalimu sawa na yule mwenye Bachelor of Education. Sasa kwa mfano...
  9. M

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anayejua kuhusu Recategorization

    Poleni na majukumu wakuu. Mungu ni mwema kila wakati.. Kwa wale walio kazini nafikiri watakuwa wanajua kuwa, mtu aliyesoma degree tofauti kwa mfano katika Elimu anaweza akafanya Postgraduate Diploma in Education na akaajiriwa kama mwalimu sawa na yule mwenye Bachelor of Education. Sasa kwa...
  10. Voltaire

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mafundi bora kabisa Dar es Salaam wa kunyoosha na kupiga rangi

    Habarini? Gari yangu imepata michubuko kwenye upande wa nyuma na kwa pembeni, nahitaji kurudia rangi sehemu hizo tu na rangi iwe inashahabiana kwa walau 80% au zaidi hapa Dar es Salaam, kwa anayefahamu mafundi bora wanaoweza kuifanya hii kazi anisaidie walau contacts au location. Shukran!
  11. beth

    JamiiForums Tanzania Libya: Waziri Mkuu wa zamani aliyeongoza mapinduzi yaliyomuondoa Gaddafi madarakani afariki dunia kwa Virusi vya Corona

    Aliyekuwa Waziri Mkuu wa Mpito nchini Libya, Mahmoud Jibril amefariki dunia baada ya kupata maambukizi ya Virusi vya Corona. Imeelezwa kuwa Kiongozi huyo wa zamani aliyeongoza mapinduzi yaliyomtoa madarakani Marehemu Muammar Gaddafi mwaka 2011 alilazwa Hospitali baada ya kupata Mshtuko wa Moyo...
  12. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Msaada: Kuna aliyekutana na hii "2020 Annual Visitor Survey" kutoka Opera Browser?

    Habarini, Mimi ni mtumiaji mzuri wa Opera Browser, yaani huwa sina mtindo wa kupakua Apps kujaza kwenye simu. Kutokana na hilo leo kila nikijaribu kuingia kwenye internet web yoyote unakuja ujumbe usemao "Dear Opera user, you are today's lucky visitor for April 5 2020. Please complete a short...
  13. mugah di matheo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Msaada tafadhali kuna kitu kinanisumbua juu ya kutaftana wapenzi

    Mambo vipi wapendwa wa love connect? Leo nimekuja na hoja moja inayotatiza kichwa change Huwa tunaambiwa kuwa wanaume ni wachache kuliko wanawake , tena wengine wanaenda mbali kusema kuwa ni kama 66% ni wanawake alaf 33% ni wanaume Je hoja hii ina mashiko kias gani? Au nimwamini prof Tibaijuka...
  14. O

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa dawa ya sanza kwa mtoto

    Nahitaji dawa ya mtoto kutoka mfereji kichwani (nzasa).
  15. Gemini Are Forever

    JamiiForums Tanzania Msaada: Simu ku-stuck na kujipress yenyewe.

    Habarini, Rejea title inavyosema. Nina simu yangu ya Android (Tecno Spark III) yenye tatizo kama nilivyoeleza kwenye title. Ina kama siku ya nne tangu ilivyoanza kuleta shida ambapo ilianza kwa kustuck... Kadri siku zinavyokwenda tatizo linazidi kuogezeka kiasi cha kuanza kujipress yenyewe...
  16. AbuuMaryam

    JamiiForums Tanzania Tatizo hili linanitisha juu ya mwanangu. Msaada jamani!

    Mwanangu baada ya kumpa uji leo asubuhi niliochanganya na mafuta ya Habbat souda na asali... Akawa anajiangalia tumbo lake kama analipiga piga.. Nikadhani linamuuma labda au ameshiba sana... Shida alipojisaidia toka asubuhi yake kabla sijampa huo uji nilioeleza hapo. .. ALIJISAIDIA KINYESI...
  17. Ontama

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa anaejuwa chanjo ya kuku wa kienyeji

    Wadau habari za jioni, naomba nijikite kwenye mada Kama inavyo someka, anayejuwa chanjo ya kuku wa kyenyeji tafadhari anisaidie maelekezo
  18. DITOPILE WAPILI

    JamiiForums Tanzania Msaada wa sheria kwa nyumba iliyoungua moto

    Habari zenu wadau:- Kuna nyumba ya jamaa wangu, imeteketea kwa moto kutokana na hitilafu ya umeme, kutokana na ajali hiyo, nyumba na vitu vyote vimeteketea. Je naweza kuanzisha kesi ya madai? Naomba muongozo jinsi ya kuanzisha kesi ya madai kwa TANESCO.
  19. Alex Gk

    JamiiForums Tanzania Msaada: Laptop Screen Record

    Wana JF, natanguliza shukrani za dhati kwenu. Pia, tuzidi kumuomba Mungu kwa kipindi hiki kizito tunachopitia #Covid19 MADA Kama ilivyo ainishwa hapo juu, nina tatizo la kufanya screen recording katika PC yangu. Nimejaribu kutumia software ya CAMTASIA 2018; shida ni kwamba PC inakuwa nzito ku...
  20. Pdidy

    JamiiForums Tanzania Wizi waongezeka Mbezi Beach: Serikali za mitaa mmewashindwa wale watoto wa Kawe? Polisi Kawe mbona wakiletwa wanaachiwa shida nini?

    Wizi mkubwa na ujambazi wa aina yake umevamia maeneo ya Mbezi Beach kuanzia mto Kawe kupanda juu na kuvuka mpaka JK Nyerere school. Vijana wa kihuni wakitembea kuanzia watano wamekuwa wakikaba mapema sana na hali hii imefanya wananchi kukosa amani kabisa. Wale wanaotumia mto Kawe ndio balaa...
Back
Top Bottom