msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    JamiiForums Tanzania Jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar

    Wana jamvi, Naomba mnisaidie kunielekeza jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar ule unao kuwa mlaini maana mimi nilijaribu lakini unatoka mgumu hauwi mlaini na wenye unga, nifanye nini?. ========= Jinsi ya kupika Ubuyu Mahitaji. 1. Sukari vikombe 2 2. Maji vikombe 2 3. Nusu kikombe unga wa...
  2. manchoso

    JamiiForums Tanzania Wakuu naomba msaada wa link ya Microsoft Word

    Kama heading inavojieleza Nimejaribu kuutafuta humu bila mafanikio kwa yeyote atakaeweza kunisaidia link ya microsoft word ntamshukuru sana, nilipakua google word ya 2013 nashindwa kuitumia inataka key, natumia window 10 Ram 4 gb na sytem 64bit ikiwa vinasaidiwa kuelewa mtanisaidia vipi...
  3. DUMEGUY

    JamiiForums Tanzania Msaada kutoa password HDD

    Habari za Musa huu wadau, Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata ukipiga Window ukifika maala ya kuchagua disk ipo empty.
  4. jogijo

    JamiiForums Tanzania Msaada Samsung note 8

    Habari ya asubuhi ndugu, Nina tatizo na s pen kwa wanaotumia note 8. Yaan simu haidetect kama kuna s pen, uitoe au uirudishe. Na hata kuandika kwa kioo haikubari. Msaada kwa mwenye idea.
  5. Its Pancho

    JamiiForums Tanzania PC yangu haiwaki msaada

    Wakuu leo mchana nimeitumia fresh tu.. Nikaizima ila wakati nachomoa waya wa power ukagusa ile port ya vga kukatokea kama kishot kwa nje.. Sasa hivi nawasha haiwaki.. CHIEF MKWAWA na wengineo Msaada. PC ni dell core i2 Mrejesho... wakuu ile PC Jana tu nimeitoa kwa fundi 70000..nmelipa...
  6. Kabelwa

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri nichague simu ipi kati ya Tecno na Samsung katika duka la Tigo

    Wadau habari, Nataka kununua simu duka la tigo, sasa naomba ushauri kati ya tecno spark3 pro na samsung A10s maana zote naona sifa zinafanana. Nichukue ipi?
  7. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Nahisi baba anataka kugawa urithi bila kunishirikisha. Naombeni msaada

    Habarini za siku, mimi ni kijana wa miaka 38 nadhani uko nyuma nilileta uzi wangu mnishauri maana baba alinifukuza kwake nilipokuwa nakaa kisa tu nilimshawishi awe na kadi ya Chama Cha Mapinduzi ambacho mimi ni mwananchama wake mtiifu aligoma na kunifukuza kwake. Nilichoshangaa baba baada ya...
  8. Fya-fyafya

    JamiiForums Tanzania Natafuta movie ya Rambo inaitwa "First Blood 1 ya mwaka 1982

    Kuna Movie nzuri ya kivita alicheza John Rambo inaitwa "First Blood 1 ya mwaka 1982. Movie hii inaanza Rambo akitembea akitokea mbali na kufika kijiji fulani na kuanza mazungumzo na Mama fulani aliyemwambia kuwa rafiki yake kipenzi alikufa kwa Cancer. Rambo anatoka hapo kunyongwa sana na...
  9. ryan riz

    JamiiForums Tanzania Msaada wa haraka juu ya ubora wa tiles hizi, Twyford, Good One na Goodwill kabla sijaingia mkenge

    Jamani wanaJamiiForums, Jamani tusaidiane ipi ni tiles bora zaidi ya nyingine kutokana na brand hapo juu. Maana kuna mafundi wawili tofauti wote kwa maelezo yao waliniambia kampuni fulan katiya hizo tajwa hapo juu,tiles size zinapishana hivyo huwafanya waonekane wao mafundi wabovu. Jumamos hii...
  10. X_INTELLIGENCE

    JamiiForums Tanzania Natafuta kazi, maji yamenifika shingoni

    ndugu zangu wanajamiiforums, poleni kwa majukumu mazito yanayotukabiri kila kukicha. maisha yamenipiga Mtanzania mwenzenu, hali yangu kiuchumi inazidi kuwa mbaya kila kukicha nipo kwenye ajira sekta binafsi, lakini naishi nikiwa nimeshaumaliza mshahala kabla sijaupokea. Naona kabisa kwenye hii...
  11. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Nina miaka zaidi ya 30 sina ninachomiliki, nahisi kukata tamaa. Msaada wenu

    Naombeni msaada wenu wakuu ambao waliokwisha pitia hali kama hii ninayopitia mimi. Nina miaka 30 na kitu, sina ninachomiliki zaidi ya godoro langu, radio ndogo ya muziki, vyombo vya udongo ndani ya beseni pamoja na nguo zangu. Nahisi kukata tamaa kabisa na haya maisha. Mliokwisha pitia hali...
  12. Y

    JamiiForums Tanzania Msaada: Natafuta mashine za kunyoa nywele

    Kulingana na janga la Corona. Nimeamua madogo niwe nawanyoa mwenyewe nyumbani. Naomba kujua nitapata wapi hizi mashine kwa hapa Dar es Salaam?
  13. P

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kiufundi: Gari kupoteza maji kila siku

    Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji. Kwenye reserve tank yako hayaongezeki hayapungui, na hakuna dalili zozote za engine oil kwenye radiator wala reserve...
  14. Cvez

    JamiiForums Tanzania Msaada jinsi ya kuimport tractors kutoka UK

    Habari Wakuu! Husika na kichwa cha habari hapo juu nahitaji msaada kwa mwenye uzoefu au details za jinsi ya kuimport tractor (s) kutoka UK kuja Tanzania.
  15. google helper

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi wa liduid seaweed concetrated fertilize

    Wakuu habari za maisha na mapambano ya maisha kwa ujumla? Poleni kwa Corona na uhaba wa sukari. Msaada kwa yeyote mtaalamu wa kilimo hasa cha green house na hiki kilimo cha kisasa cha hydroponic. Nina shida na liquid seaweed fertilizer concentrate, akitoa ushauri na matumizi yake na wapi...
  16. D

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kujua dawa ya NIMR inapatikana wapi?

    Wadau kwa sasa kuna dawa ambayo inapigiwa upatu kwamba inasaidia kuongeza kinga ya mwili dhidi ya corona. Ni mchanganyiko wa vyakula vya asili. Inaitwa NIMRCAF. Kama kuna yeyote anaifahamu utuambie inapatikana wapi. === ZAIDI KUHUSU DAWA HII SOMA HAPA = > NIMR yatengeneza dawa ya kupunguza...
  17. Ndokeji

    JamiiForums Tanzania Msaada watalaamu wa Madini

    Habari wakuu haya Madini Aina gani?
  18. Chereko tena

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake, unatumiaje vocha hadi inaisha bila kumkumbuka aliyekutumia?

    Wanabodi habarini, ninahtaji msaada wa ushauri kwa experienced people whether wamefanya au ona kwa macho au wenye kuwa na uzoefu Kumekuwa na mazoea ambayo baadhi yetu yanasokota mioyo yetu hasa pale unamtumia mpenzi wako vocha pengine ya1000/5000-unamtumia kwa lengo la upendo, ukitaraji pengine...
  19. R

    JamiiForums Tanzania Msaada wa case law hii tafadhali

    Nimeitafuta kwenye TANZLII lakini some pages are missing. Kama kuna mwenye complete judgment tafadhali anitumie inbox. Nitashukuru sana. IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA AT MWANZA CORAM: JLJMA. C.J...
  20. Tabutupu

    JamiiForums Tanzania Zitto: Serikali imepika data ili kupata fedha kutoka IMF

    Kwenye website ya IMF Tanzania Jana imeupdate taarifa yake lakini inaonekana kama imepikwa kwa sababu hakuna serikali imefanya kwenye kuhakikisha uchumi hautetereki hasa kwenye SME. Angalia nakala ambatanishwa. TANZANIA Background. Tanzania has reported 480 positive cases, and 16 deaths of...
Back
Top Bottom