msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    JamiiForums Tanzania Msaada NACTE kufungua dirisha la usajiri

    Jamani naomba mwenye kujua dirisha na kuomba vyuo NACTE kwa intake ya October linafunguliwa lini anijuze. Au mambo ya kufungua dirisha yaliisha?
  2. Kapepo

    JamiiForums Tanzania Nime-overdose Msaada wakuu

    Habari jf doctor nimekunywa dawa siku ya pili leo dawa ni za malaria mseto zile za kunywa kimoja asubuh kimoja jioni sasa leo muda huu nimejisahau nimekunywa viwili badala ya kimoja naombeni ushauri nifanyeje kuepuka madhara yatakayotokea
  3. Ngengemkenilomolomo

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu NECTA

    Wapendwa samahani habari za asubuhi, habari za muda huu? Moja kwa moja naomba niende kwenye mada. Mdogo wangu alifanya mtihani wa Kidato cha Nne mwaka 2016 lakini kwa bahati mbaya alipata credit moja na D moja na mwaka jana ikabid arudie yale masomo alopata F kwa bahat nzur kapata credit...
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kioo cha PC aina ya ACER kimevujia wino. Naweza kusafishiwa kikawa safi au hadi niweke kingine?

    Habari zenu wakuu kioo changu cha PC kimevujia wino naweza kusafishiwa kioo kikawa safi au kunaulazima wa kununua kingine, msaada tafadhali
  5. Influenza

    JamiiForums Tanzania Mashirika ya ndege yamepokea dola bilioni 123 kama msaada wakati ya mzozo wa COVID-19

    Serikali mbalimbali duniani zimetoa dola bilioni 123 kuyasaidia mashirika yao ya ndege yaliyoathirika na janga la virusi vya corona, shirika la kimataifa la usafiri wa anga IATA limeripoti jana. Wakati asilimia 45 ya fedha hizo zilikwenda katika ruzuku ya mishahara, gharama za mitaji pamoja na...
  6. Damidizzo

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kuipata hii Novel

    Wasomi wa zamani naomba msaada wa namna ya kuipata Novel inayokwenda kwa jina la "NEW LIFE IN KEREFASO"
  7. Y

    JamiiForums Tanzania Msaada WaKuu, Naomba ambae anafahamu app yoyote kuangalizia mechi/games zozote online anisaidie au website

    Kwemaa ,wakuu .. Naomba msaada nahitaji application au website za kuangalizia mechi online, maana nipo sehemu ambayo hakuw uinyeshaji wa mpira, kwa week kadhaa nmekuwa namiss bundesliga Ila leo nimepania nisikose game Uzi tayari, nawasilisha
  8. Hadza

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume kulala fofofo mara tu baada ya tendo la ndoa

    Habari wana jamvi, Natumai mmeamka salama. Naomba mwenye kunijuza hili anisaidie, kwa nini wanaume wengi mara tu baada ya kumaliza lile tendo la ndoa( kungonoka) akishamwaga tu unakuta analala fofofo tofauti na wanawake?. Mwanamke utakuta akimaliza ataenda kujisafisha na kumsafisha mwenzake...
  9. N

    JamiiForums Tanzania Nchi gani itanifaa kusoma journalism kati ya hizi?

    Naombeni ushauri, je ni nchi gani itanifaa kwenda kusoma journalism kati ya North Korea, South Korea, Holland, Canada, France, New Zealand? I want where it is possible to study while working during off class time?
  10. M

    JamiiForums Tanzania Msaada wa udahili wa masomo nje ya nchi

    Habari za muda Wana jukwaa, Mimi ni mwanafuzii nilie hitimu kidato Cha sita mwaka Jana lkn wakati wa udahili nikipata chuo kikuu Cha Ardhii University lakini mm ndoto zangu n kwenda kusoma nje ya nchi yaan scholarship lakin sikufanikiwa kwa mwaka jana kwa vile sikuwa najua utaratibu wake lakin...
  11. H

    JamiiForums Tanzania Msaada mwenye kujua fedha zilizoisha muda zinapatikana wapi

    Nimekuwa nikipita maeneo kadhaa ya Dar na kuona fedha za Tanzania ambazo kwa sasa hazitumiki zikiuzwa. Na nimejaribu kuwauliza wanakozipata hawanipe majibu stahiki. Sasa nimekuja kwenu wana jf mnipe taarifa wapi zinakopatikana
  12. U

    JamiiForums Tanzania Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja Tsh. 30,000/-

    Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
  13. Removers

    JamiiForums Tanzania Msaada: Taratibu za namna ya kujenga nyumba ya kisasa ya mbao

    Habarini ,wakuu Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu/walio na ujuzi na pia waliofanikisha ujenzi wa Nyumba za mbao ,,mfano mzuri Nyumba za wenzetu wa ulaya, wanipe msaada na maelekezo juu ya mahitaji muhimu ya kuanzisha ujenzi huu, mazingira yanayofaaa kujenga.. Nimeamua nianze ujenzi huu...
  14. JituMirabaMinne

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada kwa mnaoagiza vitu aliexpress

    Naomba kufahamu kwa mtu aliyewahi kuaguza kitu china na akatumia njia ya "Aliexpress Standard Shipping" au njia yoyote isiyokuwa na tracking. Atajuaje kama mzigo wake umefika?
  15. Brilucy

    JamiiForums Tanzania Msaada kwa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha 4

    Mwanafunzi wa Sekondary Kuanzia Form 1-Form 4 weka swali linalokutatiza then usaidiwe na walimu waliopo humu na wenye uelewa na mada husika. **karibuni Msiogope**
  16. Removers

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nahitaji Mbuzi wa maziwa kwa wale wakazi wa mkoa wa Mara na mikoa jirani

    Wakuu habariniii, Kama mada inavyojielezaa nahitaji Mbuzi wa maziwa kwa wale wauzaji na wakazi wa mkoa wa Mara ,Naomba tujulishane. Kama upo sehemu yoyote au mikoa jirani. Msaada tafadhali nahitaji wa kununua ... Asantenii wakuu Usisite kujaaa PM 🙏📞
  17. P

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nimemkosea sana mke wangu. Ushauri wenu tafadhali

    Kiufupi tu. Ndugu zangu huwa mnafanyaje mnapojua kimada wa pembeni kapata mimba/kajifungua na mtoto ni wako? Sitaki kuona damu yangu hii inateseka wakati uwezo wa kuihudumia ninao, tatizo huwa mnafanyaje ili mke asijue na huku mtoto akipata matunzo yote ya baba? Hapa najua nimemkosea sana mke...
  18. MAJIYAPWANI

    JamiiForums Tanzania Msaada juu ya hiki chombo cha usafiri

    Habari Wana Jf Leo katika pitapita zangu nimekutana na chombo cha usafiri aina ya piki piki hii wauaji wanasema ni made in korea Nataka kujua upatikanaji wa Spare, ulaji mafuta ukoje na Je vinadumu? Havisumbui?
  19. Jeff

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari TRA

    Habari wandugu! Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age). Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa...
  20. Guus

    JamiiForums Tanzania Msaada Tutani Tafadhali!!

    Mwenzenu huwa namshikia kidedea kijana wangu awe anajisomea kipindi hiki wako nyumbani. Sasa nimemuona leo kashika kitabu cha Kiingereza. Nilishakitazama hiki kitabu kina swali ambalo najua lazima atakuja kuniuliza, nami hakika sitoweza kulijibu. Swali liko hivi "John went to school without...
Back
Top Bottom