Msaada, natafuta soko la Rosela

Son of a Pagan

JF-Expert Member
May 21, 2017
359
541
Habarini wana jamvi,

Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji.

Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata maelekezo pia kuhusu mahali ambapo naweza kuuzia itakuwa ni vema pia.

Nitasoma replies pia. Naombeni mnisaidie kwa hilo.

Natanguliza shukrani wakuu.

1591949600834.png
 

Attachments

  • 1591949606314.png
    1591949606314.png
    793.6 KB · Views: 3
Habarini wana jamvi,

Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji.

Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata maelekezo pia kuhusu mahali ambapo naweza kuuzia itakuwa ni vema pia.

Nitasoma replies pia. Naombeni mnisaidie kwa hilo.

NB: Rosela imeshavunwa, kubanguliwa na kukaushwa.

Natanguliza shukrani wakuu.
20200509_163250.jpg
 
Back
Top Bottom