Son of a Pagan
JF-Expert Member
- May 21, 2017
- 359
- 541
Habarini wana jamvi,
Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji.
Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata maelekezo pia kuhusu mahali ambapo naweza kuuzia itakuwa ni vema pia.
Nitasoma replies pia. Naombeni mnisaidie kwa hilo.
Natanguliza shukrani wakuu.
Kama kichwa kinavyosomeka. Mimi nipo Geita na nina takribani gunia nne za hilo zao na bado naendelea na uvunaji.
Natafuta mtu anayehitaji hii bidhaa nimuuzie. Nikipata maelekezo pia kuhusu mahali ambapo naweza kuuzia itakuwa ni vema pia.
Nitasoma replies pia. Naombeni mnisaidie kwa hilo.
Natanguliza shukrani wakuu.