msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Cosmas Michael

    Naombeni msaada kwa anaejua tafadhali

    Line yangu imeibiwa nikawaomba Tigo wai-block ili mwizi asitume meseji kwa watu na Tigo wakaifungia sasa nataka kui-renew Ila nina wiki bado haifanyi kazi mnara unasoma lakini ukipiga unaambiwa line imefungiwa wakati Tigo wenyewe walinipa masaa 48 baada ya hapo line itafanya kazi. Nimerudi tena...
  2. Wisdom Flag

    Msaada wa kupata kioo cha Samsung galaxy S7 edge

    Wakuu habari zenu,ni matumaini yangu mnaendelea vizuru Mungu atupe uzime hili janga lipite Nina simu yangu ya Samsung Galaxy S7 edge imepasuka kioo Kam kun mtu yeyote anayeweza nisaidia kupata kioo Cha mkononi maana dukani kina Bei NAOMBENI MSAADA WENU WADAU NA MAFUNDI simu
  3. matunduizi

    Afrika yapokea msaada wa Testkits 1.1 Mil za Corona Kutoka Ali baba: Na sisi tuwahi hii fursa

    Ni vizuri Kushtuana wakuu. Kuna Lab testkit na vifaa mbalimbali vya matibabu 1.1 Mil kutoka kwa kampuni hiyo. Kama vimetumwa afrika basi na sisi tuvifukuzie huko mapema.
  4. Mdaiwa-Sugu

    Tetesi: Corona virus: lran imekataa msaada kutoka Marekani

    Kiongozi mkuu wa kidini nchini Iran, Ayatollah Ali Khamenei amesema Iran haitopokea msaada wowote kutoka Marekani, katika kubadili hali ilivyo kutokana na wimbi la maambukizi ya virusi vya corona nchini mwake. Katika taarifa yake hiyo Khamenei alirejea kuizungumzia dhana ya kwamba virusi hivyo...
  5. MKONGORO

    Msaada wa special namba

    Wakuu habarini za kazi naombeni msaada nataka special namba ya laini ya tigo isomeke 0655544791 ili ifanane na laini yangu ya voda nimejaribu kuiangalia namba hiyo kwa kutest kuitumia pesa bado haina mtu. Nimejaribu Kwa watu wanao sajiri jibu nalopewa no kuwa Siku hizi hakuna huduma ya...
  6. M

    Msaada: Nini tofauti ya Ngono, Tendo la Ndoa na Unyumba?

    Wapendwa, Kwa wenye ufahamu naomba msaada wa maana na matumizi sahihi ya maneno haya matatu NGONO, TENDO LA NDOA NA UNYUMBA. Nimeyasikia mara nyingi lakini sina hakika kama yanamaanisha kitu hicho hicho au tofauti.
  7. Dr Mathew Togolani Mndeme

    Utafiti mpya wa kisayansi wa Covid19 – Msaada mkubwa wa kujikinga na kuzuia maambukizi kwa wengine

    Watafiti wa vyuo vikuu na taasisi kadhaa za utafiti wa magonjwa ya mlipuko nchini Marekani, wamechapisha utafiti mpya wa kimaabara unaotoa mwanga mkubwa wa namna virusi wa Covid19 wanavyasambaa na kuambukizwa kutoka mtu mmoja hadi mwingine (UKO HAPA). Kwa kuwa sio kila mtu anasoma machapisho ya...
  8. M

    Msaada Kisheria: Nimeibiwa fedha mtandaoni

    Nimekuwa mteja wa mtandao mmoja wa simu hapa nchini kwa zaidi ya miaka 20 sasa. Licha ya kupata huduma bora katika kipindi chote hicho, hata hivyo hivi karibuni nimekuwa Nikishuhudia wizi wa fedha nilizokuwa nikitunza kama akiba kwenye account yangu ya simu. Yaani unaamka tu asubuhi unataka...
  9. R

    Msaada Naomba kujua utaratibu wa kuhamisha kesi

    Naomba kujua utaratibu wa kuhamisha kesi toka primary court kwenda district court. Nahitaji before tomorrow. Niko kijijini na sina msaada wa haraka kufika kwa advocate.
  10. A

    Msaada wakuu tatizo la vijipu kwenye makalio nateseka

    Habar za jion wakuu nmekumbwa na tatzo LA kutoka vijipu kwenye makalio yangu hadi inafikia wakati nikiendesha baiskel au nikikaa kW muda mrefu napata maumivu nifanye nn?
  11. Paddy

    Msaada: Nahitaji mbwa wakali wa kufuga shambani Bagamoyo

    Habari za leo wakulima! Naomba mwenye mbwa wadogo kwa ajili ya ulinzi shambani anipe contacts zake nina uhitaji wa hao mbwa shambani kwangu. Nashukuru sana
  12. Freightliner

    Msaada mtoto wangu anakohoa sana

    Mtoto wangu ana miaka5 ana tatizo la kukohoa hasa usiku lakini cha ajabu mchana hakohoi.nimejaribu kumpa dawa kama mucolyne lakini imedunda nimejaribu kumpa zecuf nayo hazina msaada nikawaza labda ni kile wanaita kimeo nikaenda kumkata lakini bado imeshindikana bado anakohoa sana..sijui shida ni...
  13. konda msafi

    Msaada kuhusu cheque kutoka nje ya nchi na kuidepost hapa nchini

    Habari zenu wakuu. Kwa wale wenye uelewa wa hili naomba mnifahamishe kama inawezekana. Kuna hela kutoka Canada natakiwa nitumiwe. Mtumaji amejaribu kunitumia kupitia bank account yangu hapa nchini. Hela kaituma toka tarehe 10, siku ya Jumanne lakini hela haikuweza kufika kwenye account yangu...
  14. hp4510

    Msaada wapi napata mafriza used

    Wakuu habari za weekend Naitaji Frizer used Mwenye nayo an dm
  15. Nigrastratatract nerve

    Tundu Lissu anahitaji msaada wa kisaikolojia, watu wake wa karibu wamrudishe Hospitali akatibiwe kisaikolojia hayuko sawa

    Kwanza nampa pole huyu kijana mwenzangu hali iliyompata haikuwa nzuri mtu yeyote aliyepitia aliyoyapitia Tundu Lisu anaweza Fanya anayoyafanya kwa sasa asipopata washauri wazuri Mpaka sasa haijajulikana ni nani alimpiga zile brancos Tundu Lissu yaani mfano wa Risasi Yaweza kuwa Chama chake...
  16. Raja_Makuku

    Naomba msaada wa mawazo au tiba

    Ndugu zangu wana JF nina mambo mengi ila mawili ndio makubwa sana kwangu 1. Sipati usingizi napohitaji kulala Hivi, ukiwa kitandani unahitaji kulala akili yako inatakiwa kuwa focused katika jambo gani ili uupate usingizi? Maana nimejaribu mengi bado nipo palepale. Mimi ni dereva na kutokana na...
  17. anti-negative energy

    Msaada kwa anae fahamu kujirecord video na kuiwekea wimbo wowote kwenye background

    JAmani wanajamvi nilikua na utata, kama kuna mtu anaweza utundu wa kuweka muziki kwenye video ya kujirecord anielekeze, au hata kama kuna app basi tuambizane.
  18. Joseph Mathew

    Nimemaliza kidato cha nne mwaka 2018 natafuta kazi yoyote ya halali

    Hello wana JF, Mimi ni kijana nimemaliza form four 2018, natafuta kazi nina ujuzi wa kutumia computer, pia nafanya kazi yoyote YA HALALI , pia nafanya kazi yoyote inayohsu mambo ya computer. Msaada wenu wana JF niko Dar Gongo la Mboto
  19. Baba Jadecah

    Msaada wadau. Naomba mwenye ujuzi wa kuinstall application kwenye PC

    Naomba mwenye huo ujuzi wa kuinstall aps mbalimbali kwenye pc, mfano dictionary,bible nk. Au kama kuna link ya kuinstall hizo Apps naomba msaada na maujuzi zaidi, kumbuka sihitaji kuinstall bluestalk maana kwenye pc yangu inazingua sana yaani bluestalk inakuwa slow sana kuload engine...
  20. Mr Kazembe

    Msaada kuhusu Western Union anayeijua vizuri

    Mimi ni Youtuber na adsense wanamfumo wa malipo kupitia western union wanahitaji majina tu ili watume pesa uwende ukachukue sasa... Kitambulisho cha kura huwa jina la kati wanalikata Mfano Aliyy Omary Hemed Kwenye kitambulisho wataandika Aliyy O Hemedy Nachotaka kujua je kitamburisho cha...
Back
Top Bottom