Msaada wenu wajuzi wa computer: Bitlocker password kwenye external HDD

kikoozi

JF-Expert Member
Jun 24, 2015
2,030
2,926
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima, ikabidi niiache mpaka kesho yake ikawa bado haijamaiza, nikaacha mpaka jumapili bado haikuwa imemaliza ila ikawa imeganda kwenye 20% (note: nimekaa siku 3 pasipo kuitoa kwenye computer), mwisho wa siku nikaona niitoe tu.

tatizo lipo hapa: nikiichomeka tena inaendelea kusoma zile parcentage ila haimalizi pia nashindwa ku access data zangu zilizokuwepo, naombeni mtaalamu anayeweka kunisaidia hapa nifanye nini, ikiwezekana sitaki tena hii external HDD iwe na password kabisa, iwe kawaida tu kama mwanzo.

1591699454241.png
1591699454241.png
 
Haya mambo haya, hii kitu iliwahi kuniingiza hasara kubwa sana. Kuna mzee ni mwandishi wa hivi vitabu vingi vinavyotumika sekondari katika somola kiswahili aliacha soft copy ya kitabu chake ambacho alikuwa ameshakiandika inasubiriwa kuhaliliwa na BAKITA.

Mimi nikaweka hii kitu siku ya kwanza ikafanya poa nilipozimaPC nakuiwashaikawa ikawa balaa siwez access data zangu hata niweke password, nikaitoa na kuiweka kwenye PCnyingine ikagoma. Mwisho ilibdi nije niiformat.
 
Haya mambo haya, hii kitu iliwahi kuniingiza hasara kubwa sana. Kuna mzee ni mwandishi wa hivi vitabu vingi vinavyotumika sekondari katika somola kiswahili aliacha soft copy ya kitabu chake ambacho alikuwa ameshakiandika inasubiriwa kuhaliliwa na BAKITA.

Mimi nikaweka hii kitu siku ya kwanza ikafanya poa nilipozimaPC nakuiwashaikawa ikawa balaa siwez access data zangu hata niweke password, nikaitoa na kuiweka kwenye PCnyingine ikagoma. Mwisho ilibdi nije niiformat.
mkuu je ulipo format ilikubali na password ziliondoka au
 
issue inakuja kwenye hii external kuna data zangu za muhimu mnooo
 
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima, ikabidi niiache mpaka kesho yake ikawa bado haijamaiza, nikaacha mpaka jumapili bado haikuwa imemaliza ila ikawa imeganda kwenye 20% (note: nimekaa siku 3 pasipo kuitoa kwenye computer), mwisho wa siku nikaona niitoe tu.

tatizo lipo hapa: nikiichomeka tena inaendelea kusoma zile parcentage ila haimalizi pia nashindwa ku access data zangu zilizokuwepo, naombeni mtaalamu anayeweka kunisaidia hapa nifanye nini, ikiwezekana sitaki tena hii external HDD iwe na password kabisa, iwe kawaida tu kama mwanzo.

View attachment 1473107View attachment 1473107
[\QUATYS]

Mambo vip?
Pole kwa Tatizo la kiufundi Lililojitokeza
Hata ivo ni kawaida KutOkea ivo Kuwa na Amani.

Umeshafanikiwa kutatua TaTizo ?
Kama bado Niko Kutoa Msaada

Tucheki +255 675 803 318 WhatsApp
Kwa msaada zaidi wa Kiufundi

Technical Expert
Geniuz/Omar
KETs CENTER
 
Habarini za muda huu, naomba msaada wenu, kwenye ili, nina HDD (Hard Disk Drive) niliitaji kuiwekea password basi siku ya ijumaa saa 3 asubuhi nikafanya ilo zoezi nilifata procedure zote ila ilipoanza kufanya zoezi la kusoma percentage baada ya ku-react password, ilisoma percentage siku nzima, ikabidi niiache mpaka kesho yake ikawa bado haijamaiza, nikaacha mpaka jumapili bado haikuwa imemaliza ila ikawa imeganda kwenye 20% (note: nimekaa siku 3 pasipo kuitoa kwenye computer), mwisho wa siku nikaona niitoe tu.

tatizo lipo hapa: nikiichomeka tena inaendelea kusoma zile parcentage ila haimalizi pia nashindwa ku access data zangu zilizokuwepo, naombeni mtaalamu anayeweka kunisaidia hapa nifanye nini, ikiwezekana sitaki tena hii external HDD iwe na password kabisa, iwe kawaida tu kama mwanzo.


Mambo vip?
Pole kwa Tatizo la kiufundi Lililojitokeza
Hata ivo ni kawaida KutOkea ivo Kuwa na Amani.

Umeshafanikiwa kutatua TaTizo ?
Kama bado Niko Kutoa Msaada

Tucheki +255 675 803 318 WhatsApp
Kwa msaada zaidi wa Kiufundi

Technical Expert
Geniuz/Omar
KETs CENTER
 
Back
Top Bottom