msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Martin Kemosabe

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kudownload series (all in one)

    Kama yupo ataeweza nisaidia kujua namna ya kudownload series all in one package nitafurahi sana, site nyingi ninazoingia series inanibidi nidownload episode 1 moja jambo ambalo linanichosha. Naomba mwenye kujua site ambayo naweza download mfano prison break zote ziwe kwenye singo torrent...
  2. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada katika kujua utaratibu wa hizi ajira za utumishi wa mahakama, kipengele cha masharti ya uombaji

    Aidha, inasisitizwa kwamba: - 9.1 Waombaji wawe na umri kati ya miaka 18 na 44 9.2 Maombi yote yapitishwe kwa Katibu Tawala wa W ilaya anayoishi mwombaji. 9.3 Waombaji walio katika Utumishi wa Umma wapitishe maombi yao kwa waajiri wao wa sasa. 9.4 Waombaji walioacha kazi katika...
  3. g_code

    JamiiForums Tanzania Msaada wakuu nahitaji pycham pro

    Naomba msaada ambaye ana pycham Pro anisaidie nahitaji hata kama link cracked itakuwa poa tu
  4. pandagichiza

    JamiiForums Tanzania Kwanini hatufuniki macho kujikinga na Corona wakati virusi vinaweza kuingia kupitia hapo

    Corona inaingilia machoni, puani na mdomoni. Tunafunika mdomo na pua kujikinga na corona. KWANINI HATUFUNIKI MACHO KUJIKINGA NA CORONA? Nawasilisha.
  5. faru joni

    JamiiForums Tanzania Watanzania msaada wenu, nasumbuliwa na kifua

    Ndugu wana jamiiforum, naombeni msaada wenu, nasumbuliwa sana na kifua. Dalili ninazoziskia mpaka muda huu ni hizi hapa: 1. Kwanza nianze kusema sikohoi kabisa, nikimeza mate naskia mkwamo wa kitu kooni, ila nikimeza chakula naskia kawaida (kwenye kumeza chakula sisikii maumivu yeyote) 2...
  6. Z

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada yako kunitafsilia maneno haya kwa Kiswahili

    Nimetoa Wikipedia. The four mild Coronaviruses have a seasonal incidense occuring in the winter months in Temperate climate. There is no preference towards a particular season in Tropical climate.
  7. Miss Zomboko

    JamiiForums Tanzania Diamond Platnumz aanza kutoa msaada wa kodi ya miezi 3 kwa kaya 500

    Mkurugenzi wa kampuni ya Wasafi, msanii Diamond Platnumz ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni wajane, walemavu pamoja na wasiojiweza. Msaada huo ni awamu ya kwanza katika ile dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la mlipuko wa...
  8. RAKI BIG

    JamiiForums Tanzania Msaada; AKO Group Ltd wanaohusika na kupika wanapatikana wapi?

    Nimejaribu google lakini sijaelewa walipo. Me natokea Mbezi Kimara. Kwa anayejua msaada wa kuelekeza.
  9. Mkogoti

    JamiiForums Tanzania Msaada: Jinsi ya kuweka picha JF Profile picture (avatar)

    Husika na kichwa cha habari hapo juu👆 lengo langu ni kupewa msaada jinsi gani! Ntaweza kuweka picha na kwenye wasifu wangu! Na pia jinsi ya kuweka video JF na picha za habari tofauti tofauti! Msaada wenu tafadhali
  10. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Msaada wa mawazo: COVID19 inanirejesha nyumbani, baba naye hanitaki

    Habari za uzima ndugu zangu, poleni sana na miangaiko ya hapa na pale, Mimi ni kijana mwenye miaka 37 kwa sasa elimu yangu ni degree, kama mnakumbuka nilishawai kuja na uzi wa baba yangu mzazi wa kunizaa kunitimua nyumbani kisa eti mimi ni mwanachama wa chama cha mapinduzi kisa cha kunifukuza ni...
  11. omben

    JamiiForums Tanzania Tatizo la ukosefu wa haja kubwa kwa watoto wadogo na Vichanga. Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu

    BAADHI YA MASWALI YALIYOULIZWA KUHUSU TATIZO HILI Nina mtoto mchanga mwenye umri wa miezi 4 ana tatizo la kutokupata haja kubwa. Tatizo hilo limeanza juzi, leo ni siku ya pili bila kupata haja. Ana joto la kawaida ila leo amebaki analialia tu. Nimekwenda zahanati wananiambia hana tatizo...
  12. muksinihamisi

    JamiiForums Tanzania Msaada: Nashindwa kuinstall file japokuwa nina account ya Google

    Nimecreate account ya Google kwenye simu yangu lakini kila nipotaka kuinstall fail kutoka Google naambiwa kuwa account yangu haija access so sijui nifanyeje
  13. Mwenda_Pole

    JamiiForums Tanzania Msaada: Lodge/hotel/guest in Shinyanga

    Msaada wadau Natarajia kwenda shinyanga wiki ijayo. Naomba kujua Guest/Lodge au hotel nzuri ya gharama kati ya 20,000 na 30,000 kwa siku. Mimi ni mgeni kabisa Shinyanga. Natanguliza shukrani
  14. hp4510

    JamiiForums Tanzania Msaada Tafadhali: Kufactory Ipad

    Wakuu, Nina Ipad yangu zile za kitambo za 16 BG Sasa nataka kuresert / Factory nimejaribu Kuingiza password zote ambazo nakumbuka but imekataa inasema ni wrong. So please kwa mtu yeyote ambaye anajua manouver ya kufanya nikaresert kila kitu. Coz kuna mtu nataka kumpa ikiwa haina kitu changu...
  15. N

    JamiiForums Tanzania Naomba ufafanuzi kuhusu kozi ya tourism

    habari zenu wanajamvi, Kama title inavyosema hapo juu. Nimemaliza form 4 mwaka jana na kupata division 3 jijini kampala na sasa nimejiunga na A level. Sasa kiu yangu ni kusomea elimu yangu ya chuo kikuu nchini Tanzania, kwaiyo ningependa kufahamishwa kuhusu kozi ya tourism particularly tour...
  16. E

    JamiiForums Tanzania Msaada hapa nifanyeje? Nilinunua gari wakasema limepata ajali naombeni ushauri

    Mimi nilikuwa nataka kununua Gari, kutokana na kutokuwa mzoefu na mambo ya magari na hii ni mara yangu ya kwanza kununua gari nikaamua kumtumia ndugu yangu ambae ana gereji yake nikiamini angenisaidia kupata chaguo zuri. Basi akanitumia picha nyingi tu za magari mwishowe akanishauri kununua gari...
  17. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Serikali yapokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 ili kupambana na Corona

    Serikali imepokea msaada wa shilingi bilioni 14.9 kutoka Global Fund, Airtel Tanzania, Rotary Club Tanzania ambazo sehemu kubwa zitatumika kununua vifaa kinga kwa watumishi wa afya na vifaa tiba kwa ajili ya kuwahudumia wagonjwa wenye maambukizi ya COVID-19. Waziri wa Afya, Maendeleo ya...
  18. W

    JamiiForums Tanzania Nahitaji dagaa wa kununua

    Amani iwe nanyi nyoote. Wakuu naomba kufahamishwa bei na pahara wanapopatkana dagaa wakavu either wa Mwanza, Bukoba n.k kwa hapa jiji la Dar. Nahitaji wanaouzwa kwa kipimo cha debe (ndoo ya lita 20) na sio kwa kg. Thanks for advance.
  19. M

    JamiiForums Tanzania Nataka kuanza Biashara ya duka la rejareja msaada ushauri

    Hbr ndugu. Nimeshalipa frame sehemu ambayo imechangamka na haina maduka mengi ya mtindo huo. Naomba ushauri mtaji wangu si mkubwa sana ni vitu gani vya muhimu vinavyotoka sana ili nianze navyo? Lakini pia ushauri wowote unao ona utanifaa ili nijikongoje mdogo mdogo. NB Naomba ushauri pia juu...
  20. Mukulu wa Bakulu

    JamiiForums Tanzania Rwanda na Ethiopia waomba msaada Marekani kupambana na corona, Trump aahidi kutoa msaada

    Wenzetu wanapambana kwa hali na mali kusaidia na kuokoa maisha ya wananchi wao. Sisi tumeamua kukaa kimia raia wajifie wenyewe.
Back
Top Bottom