msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. H

    Msaada mwenye kujua fedha zilizoisha muda zinapatikana wapi

    Nimekuwa nikipita maeneo kadhaa ya Dar na kuona fedha za Tanzania ambazo kwa sasa hazitumiki zikiuzwa. Na nimejaribu kuwauliza wanakozipata hawanipe majibu stahiki. Sasa nimekuja kwenu wana jf mnipe taarifa wapi zinakopatikana
  2. U

    Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja Tsh. 30,000/-

    Nimeambiwa na mpangaji mwenzangu kuwa tunatakiwa kuchangia kila mmoja sh.30000/- kila mmoja yaani umeme wa sh.60,000/- ndiyo unatosha kumaliza mwezi eti kwa kuwa kila mmoja ana TV screen na kwamba kwa Siku TV moja inatumia units mbili,naomba anayeujua ukweli aijuze tafadhali!
  3. Removers

    Msaada: Taratibu za namna ya kujenga nyumba ya kisasa ya mbao

    Habarini ,wakuu Naomba msaada kwa wale wenye uzoefu/walio na ujuzi na pia waliofanikisha ujenzi wa Nyumba za mbao ,,mfano mzuri Nyumba za wenzetu wa ulaya, wanipe msaada na maelekezo juu ya mahitaji muhimu ya kuanzisha ujenzi huu, mazingira yanayofaaa kujenga.. Nimeamua nianze ujenzi huu...
  4. JituMirabaMinne

    Naomba msaada kwa mnaoagiza vitu aliexpress

    Naomba kufahamu kwa mtu aliyewahi kuaguza kitu china na akatumia njia ya "Aliexpress Standard Shipping" au njia yoyote isiyokuwa na tracking. Atajuaje kama mzigo wake umefika?
  5. Brilucy

    Msaada kwa Wanafunzi wa Kidato cha Kwanza hadi cha 4

    Mwanafunzi wa Sekondary Kuanzia Form 1-Form 4 weka swali linalokutatiza then usaidiwe na walimu waliopo humu na wenye uelewa na mada husika. **karibuni Msiogope**
  6. Removers

    Msaada: Nahitaji Mbuzi wa maziwa kwa wale wakazi wa mkoa wa Mara na mikoa jirani

    Wakuu habariniii, Kama mada inavyojielezaa nahitaji Mbuzi wa maziwa kwa wale wauzaji na wakazi wa mkoa wa Mara ,Naomba tujulishane. Kama upo sehemu yoyote au mikoa jirani. Msaada tafadhali nahitaji wa kununua ... Asantenii wakuu Usisite kujaaa PM 🙏📞
  7. P

    Nimemkosea sana mke wangu. Ushauri wenu tafadhali

    Kiufupi tu. Ndugu zangu huwa mnafanyaje mnapojua kimada wa pembeni kapata mimba/kajifungua na mtoto ni wako? Sitaki kuona damu yangu hii inateseka wakati uwezo wa kuihudumia ninao, tatizo huwa mnafanyaje ili mke asijue na huku mtoto akipata matunzo yote ya baba? Hapa najua nimemkosea sana mke...
  8. MAJIYAPWANI

    Msaada juu ya hiki chombo cha usafiri

    Habari Wana Jf Leo katika pitapita zangu nimekutana na chombo cha usafiri aina ya piki piki hii wauaji wanasema ni made in korea Nataka kujua upatikanaji wa Spare, ulaji mafuta ukoje na Je vinadumu? Havisumbui?
  9. Jeff

    Msaada kuhusu ukokotoaji wa ushuru wa gari TRA

    Habari wandugu! Naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Nimekuwa nikisikia kuwa ukinunua gari ambalo lina miaka zaidi ya kumi kuuoka nje. Kunakuwa na kodi ya uchakavu (Excise duty due to age). Lakini nimefuatilia kwenye kikokotoo cha kodi TRA kuhusu kodi hiyo ya uchakavu nimeona kuwa...
  10. Guus

    Msaada Tutani Tafadhali!!

    Mwenzenu huwa namshikia kidedea kijana wangu awe anajisomea kipindi hiki wako nyumbani. Sasa nimemuona leo kashika kitabu cha Kiingereza. Nilishakitazama hiki kitabu kina swali ambalo najua lazima atakuja kuniuliza, nami hakika sitoweza kulijibu. Swali liko hivi "John went to school without...
  11. L

    Jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar

    Wana jamvi, Naomba mnisaidie kunielekeza jinsi ya kupika ubuyu wa Zanzibar ule unao kuwa mlaini maana mimi nilijaribu lakini unatoka mgumu hauwi mlaini na wenye unga, nifanye nini?. ========= Jinsi ya kupika Ubuyu Mahitaji. 1. Sukari vikombe 2 2. Maji vikombe 2 3. Nusu kikombe unga wa...
  12. manchoso

    Wakuu naomba msaada wa link ya Microsoft Word

    Kama heading inavojieleza Nimejaribu kuutafuta humu bila mafanikio kwa yeyote atakaeweza kunisaidia link ya microsoft word ntamshukuru sana, nilipakua google word ya 2013 nashindwa kuitumia inataka key, natumia window 10 Ram 4 gb na sytem 64bit ikiwa vinasaidiwa kuelewa mtanisaidia vipi...
  13. DUMEGUY

    Msaada kutoa password HDD

    Habari za Musa huu wadau, Niliweka password Kwa harddrive yangu sasa nashangaa password zinakataa laptop ni Dell latitude naomba msaada kuelekezwa jinsi ya kuiformart au kuibypass maana hata ukipiga Window ukifika maala ya kuchagua disk ipo empty.
  14. jogijo

    Msaada Samsung note 8

    Habari ya asubuhi ndugu, Nina tatizo na s pen kwa wanaotumia note 8. Yaan simu haidetect kama kuna s pen, uitoe au uirudishe. Na hata kuandika kwa kioo haikubari. Msaada kwa mwenye idea.
  15. Its Pancho

    PC yangu haiwaki msaada

    Wakuu leo mchana nimeitumia fresh tu.. Nikaizima ila wakati nachomoa waya wa power ukagusa ile port ya vga kukatokea kama kishot kwa nje.. Sasa hivi nawasha haiwaki.. CHIEF MKWAWA na wengineo Msaada. PC ni dell core i2 Mrejesho... wakuu ile PC Jana tu nimeitoa kwa fundi 70000..nmelipa...
  16. Kabelwa

    Naomba ushauri nichague simu ipi kati ya Tecno na Samsung katika duka la Tigo

    Wadau habari, Nataka kununua simu duka la tigo, sasa naomba ushauri kati ya tecno spark3 pro na samsung A10s maana zote naona sifa zinafanana. Nichukue ipi?
  17. kikoozi

    Nahisi baba anataka kugawa urithi bila kunishirikisha. Naombeni msaada

    Habarini za siku, mimi ni kijana wa miaka 38 nadhani uko nyuma nilileta uzi wangu mnishauri maana baba alinifukuza kwake nilipokuwa nakaa kisa tu nilimshawishi awe na kadi ya Chama Cha Mapinduzi ambacho mimi ni mwananchama wake mtiifu aligoma na kunifukuza kwake. Nilichoshangaa baba baada ya...
  18. Fya-fyafya

    Natafuta movie ya Rambo inaitwa "First Blood 1 ya mwaka 1982

    Kuna Movie nzuri ya kivita alicheza John Rambo inaitwa "First Blood 1 ya mwaka 1982. Movie hii inaanza Rambo akitembea akitokea mbali na kufika kijiji fulani na kuanza mazungumzo na Mama fulani aliyemwambia kuwa rafiki yake kipenzi alikufa kwa Cancer. Rambo anatoka hapo kunyongwa sana na...
  19. ryan riz

    Msaada wa haraka juu ya ubora wa tiles hizi, Twyford, Good One na Goodwill kabla sijaingia mkenge

    Jamani wanaJamiiForums, Jamani tusaidiane ipi ni tiles bora zaidi ya nyingine kutokana na brand hapo juu. Maana kuna mafundi wawili tofauti wote kwa maelezo yao waliniambia kampuni fulan katiya hizo tajwa hapo juu,tiles size zinapishana hivyo huwafanya waonekane wao mafundi wabovu. Jumamos hii...
  20. X_INTELLIGENCE

    Natafuta kazi, maji yamenifika shingoni

    ndugu zangu wanajamiiforums, poleni kwa majukumu mazito yanayotukabiri kila kukicha. maisha yamenipiga Mtanzania mwenzenu, hali yangu kiuchumi inazidi kuwa mbaya kila kukicha nipo kwenye ajira sekta binafsi, lakini naishi nikiwa nimeshaumaliza mshahala kabla sijaupokea. Naona kabisa kwenye hii...
Back
Top Bottom