Kuna Movie nzuri ya kivita alicheza John Rambo inaitwa "First Blood 1 ya mwaka 1982.
Movie hii inaanza Rambo akitembea akitokea mbali na kufika kijiji fulani na kuanza mazungumzo na Mama fulani aliyemwambia kuwa rafiki yake kipenzi alikufa kwa Cancer.
Rambo anatoka hapo kunyongwa sana na...
Jamani wanaJamiiForums,
Jamani tusaidiane ipi ni tiles bora zaidi ya nyingine kutokana na brand hapo juu. Maana kuna mafundi wawili tofauti wote kwa maelezo yao waliniambia kampuni fulan katiya hizo tajwa hapo juu,tiles size zinapishana hivyo huwafanya waonekane wao mafundi wabovu.
Jumamos hii...
ndugu zangu wanajamiiforums, poleni kwa majukumu mazito yanayotukabiri kila kukicha. maisha yamenipiga Mtanzania mwenzenu, hali yangu kiuchumi inazidi kuwa mbaya kila kukicha nipo kwenye ajira sekta binafsi, lakini naishi nikiwa nimeshaumaliza mshahala kabla sijaupokea. Naona kabisa kwenye hii...
Naombeni msaada wenu wakuu ambao waliokwisha pitia hali kama hii ninayopitia mimi. Nina miaka 30 na kitu, sina ninachomiliki zaidi ya godoro langu, radio ndogo ya muziki, vyombo vya udongo ndani ya beseni pamoja na nguo zangu.
Nahisi kukata tamaa kabisa na haya maisha. Mliokwisha pitia hali...
Gari yangu 1KZ inapoteza nusu lita ya maji kila siku, lakini haichemshi kamwe. Radiator ilishasafishwa hivi majuzi, mfuniko ushabadilshwa mara mbili, lakini bado inapoteza maji.
Kwenye reserve tank yako hayaongezeki hayapungui, na hakuna dalili zozote za engine oil kwenye radiator wala reserve...
Habari Wakuu!
Husika na kichwa cha habari hapo juu nahitaji msaada kwa mwenye uzoefu au details za jinsi ya kuimport tractor (s) kutoka UK kuja Tanzania.
Wakuu habari za maisha na mapambano ya maisha kwa ujumla? Poleni kwa Corona na uhaba wa sukari.
Msaada kwa yeyote mtaalamu wa kilimo hasa cha green house na hiki kilimo cha kisasa cha hydroponic.
Nina shida na liquid seaweed fertilizer concentrate, akitoa ushauri na matumizi yake na wapi...
Wadau kwa sasa kuna dawa ambayo inapigiwa upatu kwamba inasaidia kuongeza kinga ya mwili dhidi ya corona. Ni mchanganyiko wa vyakula vya asili. Inaitwa NIMRCAF.
Kama kuna yeyote anaifahamu utuambie inapatikana wapi.
===
ZAIDI KUHUSU DAWA HII SOMA HAPA
= > NIMR yatengeneza dawa ya kupunguza...
Wanabodi habarini, ninahtaji msaada wa ushauri kwa experienced people whether wamefanya au ona kwa macho au wenye kuwa na uzoefu
Kumekuwa na mazoea ambayo baadhi yetu yanasokota mioyo yetu hasa pale unamtumia mpenzi wako vocha pengine ya1000/5000-unamtumia kwa lengo la upendo, ukitaraji pengine...
Nimeitafuta kwenye TANZLII lakini some pages are missing. Kama kuna mwenye complete judgment tafadhali anitumie inbox. Nitashukuru sana.
IN THE COURT OF APPEAL OF TANZANIA
AT MWANZA
CORAM: JLJMA. C.J...
Kwenye website ya IMF Tanzania Jana imeupdate taarifa yake lakini inaonekana kama imepikwa kwa sababu hakuna serikali imefanya kwenye kuhakikisha uchumi hautetereki hasa kwenye SME.
Angalia nakala ambatanishwa.
TANZANIA
Background. Tanzania has reported 480 positive cases, and 16 deaths of...
Kama yupo ataeweza nisaidia kujua namna ya kudownload series all in one package nitafurahi sana, site nyingi ninazoingia series inanibidi nidownload episode 1 moja jambo ambalo linanichosha.
Naomba mwenye kujua site ambayo naweza download mfano prison break zote ziwe kwenye singo torrent...
Aidha, inasisitizwa kwamba:
-
9.1
Waombaji wawe na umri kati ya miaka 18 na 44
9.2
Maombi yote yapitishwe kwa
Katibu Tawala wa
W
ilaya
anayoishi mwombaji.
9.3
Waombaji walio katika Utumishi
wa Umma wapitishe
maombi yao
kwa waajiri wao wa sasa.
9.4
Waombaji walioacha kazi katika...
Ndugu wana jamiiforum, naombeni msaada wenu, nasumbuliwa sana na kifua.
Dalili ninazoziskia mpaka muda huu ni hizi hapa:
1. Kwanza nianze kusema sikohoi kabisa, nikimeza mate naskia mkwamo wa kitu kooni, ila nikimeza chakula naskia kawaida (kwenye kumeza chakula sisikii maumivu yeyote)
2...
Nimetoa Wikipedia. The four mild Coronaviruses have a seasonal incidense occuring in the winter months in Temperate climate. There is no preference towards a particular season in Tropical climate.
Mkurugenzi wa kampuni ya Wasafi, msanii Diamond Platnumz ametoa msaada wa kodi ya pango kwa watu 57 ambao ni wajane, walemavu pamoja na wasiojiweza.
Msaada huo ni awamu ya kwanza katika ile dhamira yake ya kusaidia kodi ya pango kwa kaya 500 nchini zilizoathirika kiuchumi na janga la mlipuko wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.