Wanajamvi, nimehamasika sana ktk uchaguzi huu. Kikubwa ni uhakika wa anguko kubwa la CCM ktk uchaguzi huu.
Kwahiyo nataka niwe sehemu ya historia inayokwenda kuandikwa.
"Tundu Lisu the rescuer. From the edge of the grave to the state house"
Nimeamua toka moyoni kujitolea kuwakusanya wapiga...
Habari wanajukwaa pendwa,
Naomba kuuliza wengi tunajua duniani kuna nchi zaidi ya mia tisini, je ni kigezo gani kilizingatiwa mpaka maamuzi makubwa kidunia kuamuliwa na G 7 pekee?
Je, kama wanazingatia uchumi Kwanini hawakuchukua kila bara angalau nchi tatu zenye uchumi wa juu kwa kuunda...
Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisumbuliwa na kichomi na nimeshatumia dawa nyingi sana za hospitali lakini bado tatizo liko pale pale. Naomba mnisaidie dawa itakayonisaidia kuondokana na tatizo hili.
Heshima kwenu nyote wana jukwaa, naomba kufahamu hili tatizo kwenye picha hapo chini kama linavyoonekana kwenye picha linasababishwa na nini na jinsi ya kulitatua. Naomba kuwasilisha kwa yeyote ambaye anaufahamu wa hili tatizo
Poleni na Majukumu ya kila siku.
Changamoto niliyonayo ni jinsi gani ya kupata fundi/gereji nzuri ya nissan hardbody hapa dar ambayo imepack kama miezi sita.Hapo awali ilikuwa iko poa tu,tatizo niliposafiri hapakuwa na mtu wa kuwa anaiwasha kila siku asubuhi.
Naomba mwenye kujua fundi...
Ndugu zanguni naombeni msaada mnijuze TAESA kwa Kilimanjaro kama ipo na iko maeneo gani na mimi niende nikapeleke huko vyeti huku mambo mengine ya kupambana kutafuta ajira sehemu mbalimbali yakiendelea.
Hakuna rais anaechezewa Rafu mbaya sana kama Trump, Ila cha kushangaza ni Kwamba Rais huyu huibuka kidedea na kuwaacha wengi midomo wazi ni vipi na kawezaje kuhimili mishale mingi kiasi hiki.
Siri ni Moja Tu, Trump Anamtanguliza sana mungu ambae ni Mwema mwenye rehema, Asiepatwa na usingizi waa...
Habari za jioni wadau?
Naomba msaada wa kujua total overtime, gross na net salary ya mtu (KWA MWEZI), kwa mwenye basic salary ya 2,192,540 Tshs anayolipwa kwa kufanya saa 45 kwa wiki moja, i.e Mon-Fri (08:00-17:00) na Sat (08:00-13:00).
Lakini akatakiwa kufanya na overtime ya kila siku kwa 12...
Habari wana Jf
kama mada inavyo jieleza hapo juu nimekua nasumbuliwa na meno hasa haya magego kiasi kwamba nikinywa kitu cha baridi nasikia yanauma na mda mwingine upepo ukiingia mdomoni tu nasikia yanauma na yakiambatana na kichwa kugonga sana
Habari zenu wanajamvi.
Naulizia ili kufahamu kwa niaba ya rafiki yangu.
Rafiki yangu alikuwa ni mfanyakazi wa kampuni fulani hapa jijini Dar es Salaam na alikuwa akifanya kazi na hiyo kampuni kwa takriban miaka mitano.
Kwa kawaida kampuni ambayo alikuwa akifanya nayo kazi ilikuwa inawapatia...
Wakuu habari naombeni ushauri na maoni yenu kuhusu hii chuma ya mwingereza maana inanivutia na ndo gari ya ndoto yangu msaada Wa uimara wake pamoja na changamoto zake ukizingatia Mimi ni mkulima na mda mwingi Niko porini na vipi kuhusu spea na matengenezo yake hasa ikiwa ni diesel version...
Juzi juzi tu hapa nilifungua account. Baada tu ya kuifungua nikadeposit pesa USD 10 na cent 50. Ni kama elfu 24 hivi. Hiyo hela niliideposit kutoka kwenye mastar card ya M-PESA. Hela ikaingia na nikaiona kabisa balance USD 10.50
Nia yangu nilikuwa nataka deposit tena kutoka skrill kwenda kwa...
Salaam sana wakuu,
Kama wiki mbili zilizopita nilienda kumpima wife ujauzito ambapo majibu yalikua ni U.P.T negative na akachomwa sindano ya kuzuia mimba ila sasa napata mashaka. Ishu ni kwamba haoni siku zake na kwa kawaida ilitakiwa awe ameziona . Pili amekua akiniagiza vitu hususan soda na...
Wakubwa naitaji kumiliki gari moja wapo kati ya hizi Subaru Forester ya 2005 na Nissan Dualis 2007 je, Ipi inanifaa zaidi ikizingatiwa ndo mara ya kwanza kutaka kumiliki gari?
Nilitaka kujua kuhusu ubora ,gharama ya vifaa
Subaru Forester 2005
Nissan Dualis 2007
Kenya imetoa msaada wa vyakula na madawa kwa zaidi ya watu 300,000 Mozambique waliofurushwa kutokana na vita vya kigaidi vya kundi la Ansar al-Sunna.
Anyway kila mtu akichangia watapata usaidizi kwenye janga hili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.