msaada

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Msaada please!

    Salaam! Hongereni na poleni kwa majukumu, naomba msaada kati ya Degree ya Science (ICT) na Degree ya Science (Data Management) zinazotolewa na Open University of Tanzania ipi ni bora zaidi hasa katika ulimwengu huu na dunia ijayo. Ahsanteni. Be blessed!
  2. Goti la samaki

    Msaada Chapu chapu

    Habari za humu , natanguliza shukran zangu za dhati kwenu wana JF. Kama kichwa cha habari hapo juu , Naombeni msaada , jana nilipata ajali kazini nikiwa na mtoto mzuri kitandani getoni kwangu. Ni baada ya kukaa muda mrefu bila kuonja asali ya papuchi jana nilipata hio bahati ,lakini bahati...
  3. ADAM SMITH

    Msaada wa soft copy ya vitabu, pamhets, kwa masomo ya uchumi na accounts A level na professional studies

    Wakuu naomba msaada kwa mwenye soft copy ya vitabu, pamhets kwa masomo ya uchumi na accounts A level na professional studies
  4. Mabubwesone

    Msaada:Naomba kufahamishwa kiwanda kinachotengeneza turubai, gumboots na yemboyebo

    Habari wakuu mimi ni mjasiliamari nashida ya kujuwa viwanda/kiwanda kinachotengeneza turubai na kiwanda kinachotengeneza gumboots na yemboyebo.
  5. N

    Msaada wa dawa ya ugonjwa wa Arthritis

    Wadau mama yangu anasumbuliwa na huu ugonjwa hospitali anapewa pain killer tu. Naombeni msaada kwa wengine wanaofahamu tiba maana penye wengi hukosi msaada. Asanteni
  6. 200K

    Ukisoma Instructional Design and Information Technology unakuwa nani?

    Ndugu wana Jamii Forums naomba mnasaidie kujua Course ya INSTRUCTIONAL DESIGN AND INFORMATION TECHNOLOGY ina deal na nini na pia baada ya kuisoma unaifanyia kazi field gani msaada plz🙏🙏
  7. P Accountant

    MSAADA: University of Dodoma

    Wakuu, Nahitaji msaada wenu, namna ya ku unconfirm selection kwa chuo cha DODOMA kama tayari umesha confirm tayari. Nawasilisha.
  8. P Accountant

    Msaada unaitajika wa namna ya ku unconfirm selection UDOM

    Husika na kichwa hapo juu. Inawezekana ku unconfirm selection kwa chuo cha UDOM? Maana katika account ya application hawaonyeshi sehemu ya ku edit. Kuna mdau alitaka aende Mzumbe, huku tayar kathibitisha UDOM. Nawasilisha.
  9. Kiraka Kikuu

    Msaada: Kanisa la TAG maeneo ya Lamadi, Simiyu

    Habari wakuu. Nipo kwa muda hapa Lamadi wilaya ya Busega mkoa wa Simiyu. Naomba msaada kwa anae fahamu location ya kanisa la TAG lililo maeneo ya Lamadi. Natanguliza shukrani.
  10. T

    Msaada: Tofauti ya Bsc. In Chemistry- UDSM na Bsc. In Chemistry- MUCE.

    Habari wakuu naomba kufahamu kama hizo course zinatumia mtaala mmoja,
  11. CalifNice

    Msaada wa camera

    Naomba wanajamvi kwa mwenye elimu ya kamera za smartphone kupiga picha au video kama inavoonekana katika attachment file anijulishe picha ambazo inaoneka kawaida katika lakin pembeni yake iko blured
  12. Heater

    Msaada kimawazo: Nimezaa na mwanamke ambaye anaishi na mwanaume. Mtoto kazaliwa copyright na mimi

    Kibaya zaidi ni kwamba Mwenzangu huyo anaamini kwamba ni mtoto wake na anahudumia kama baba. Mtoto anamiezi kumi ivi sasa, Natamani sana niweze kumpata lkn nashindwa ni vipi nitaweza kumpata. Natamani hata Mwanaume huyo angeujua ukweli, lkn naogopa madhara yatakayoweza kutokea baada ya kuujua...
  13. Lager

    Msaada nitumie dawa gani kwa tatizo hili la ulimi?

    Ni kama ulimi umechanikachanika japo si sana na radha nahisi bado ila nahisi Kama kuwa na ganzi midomoni!.. Nitumie dawa gani?
  14. Chagu wa Malunde

    Naomba msaada kwa Mwanasheria mwenye namba ya DPP

    Kuna tukio lilitokea Mwanza mwaka jana,kwa ufupi mwanajeshi na mgambo waliwapiga watuhumiwa, ndani ya ofisi ya kata, mmoja alifariki. Polisi walidanganya marehemu aliuwawa na wananchi. Baadae mke wa marehemu alimuona mkuu wa mkoa,na upelelezi ukafanyika na maelezo yakachukuliwa,na kesi ilikuwa...
  15. M

    Msaada nahitaji kununua gari

    Wakuu katika miangaiko yangu nimejichangachanga hapa nimepata Mil 8 nahitaji kununua ndinga kwa mtu anayeuza tuwasiliane. Vigezo gari iwe katika hali nzuri, ambayo iko chini ya km 100,000 na ambayo haijawahi kupata ajari. Napendelea toyota allion, Allex au Runx
  16. Zikwe

    Naomba Ushauri na Msaada Kwenye hili

    Nataka kununua kiwanja kwa Hawa Ma-Agent Wa kuuza Viwanja na Mashamba na kuna Marafiki zangu kama wawili hivi wameshanunua viwanja kwao, Kwa Upande wangu kiwanja ambacho wanataka kuniuzia kwa mujibu wa maelezo yao wanasema kuna mtu alikipenda na alishaanza Kukilipia ila akapatwa na matatizo...
  17. Zanzibar-ASP

    Tanzania sio maskini na IMF ni mabeberu, Magufuli ukatae msaada wao sasa

    Siku ya leo, taasisi ya kimataifa ya fedha duniani (IMF) imetangaza kutoa msaada wa kifedha kwenda kwa nchi 28 maskini zaidi hapa duniani. Katika orodha hiyo, Tanzania imekuwa ni nchi mojawapo. Japokuwa sote tunajua misaada hii haiji hivi hivi, mara zote nchi husika 'hupiga magoti na kuwalamba...
  18. The Sheriff

    IMF yaidhinisha msaada kwa nchi 28 za kipato cha chini, Tanzania ikiwemo

    Shirika la Fedha Duniani (IMF) imeidhinisha msaada wa dharura kwa nchi 28 maskini zaidi ulimwenguni ili kuzisaidia kupunguza madeni na kukabiliana vyema na athari za janga la coronavirus. Tangazo hilo ambalo limekuja baada ya lile la mwezi Aprili lililozilenga nchi 25, linakusudia kuzisaidia...
  19. Mgiriki MTz

    Msaada Muhas admission result kwenye account yangu hakuna taarifa yoyote!

    Habari zenu wadau,husika na kichwa cha Uzi naomba msaada maana sijapata taarifa yoyote.
  20. Petro E. Mselewa

    Nimeridhika kabisa: Mbwana Samatta hakuwa msaada kwa Aston Villa, Watkins ameonesha utofauti mkubwa

    Kwa kiwango chake, ufungaji wake, kazi yake, umakini wake na mchango wake kwa timu mchezaji mpya wa Aston Villa Ollie Watkins amedhihirisha kuwa mshambuliaji Mbwana Samatta hakuwa msaada wowote kwa timu hiyo. Watkins ambaye amefunga mabao matatu katika kipigo cha mbwakoko alichokipata Liverpool...
Back
Top Bottom