Habari za humu , natanguliza
shukran zangu za dhati kwenu wana JF.
Kama kichwa cha habari hapo juu , Naombeni msaada , jana nilipata ajali kazini nikiwa na mtoto mzuri kitandani getoni kwangu.
Ni baada ya kukaa muda mrefu bila kuonja asali ya papuchi jana nilipata hio bahati ,lakini bahati...