Mafanikio 07
Member
- Jun 18, 2019
- 57
- 36
Habari!
Naomba kupata msaada wa kisheria kuwa inawezekana mtu aliekulia Tanzania bara na akawa na vyeti vya kuzaliwa Pamoja na ambavyo vinaonesha ni wa Tanzania bara(Kitambulisho Cha utaifa) kuwa anaweza kupata kitambulisho cha mzanzibari?
Bila kusahau cheti cha kuzaliwa cha Zanzibar alipozaliwa anacho.
Msaada wa kimawazo.
Naomba kupata msaada wa kisheria kuwa inawezekana mtu aliekulia Tanzania bara na akawa na vyeti vya kuzaliwa Pamoja na ambavyo vinaonesha ni wa Tanzania bara(Kitambulisho Cha utaifa) kuwa anaweza kupata kitambulisho cha mzanzibari?
Bila kusahau cheti cha kuzaliwa cha Zanzibar alipozaliwa anacho.
Msaada wa kimawazo.